How to get URL link on X (Twitter) App
"For those who don't know Tanzania, Is a country in East Africa strategically located to be a gateway to Africa, from the Indian ocean" - President of Tanzania- Pres of Tanzania @SuluhuSamia
Sheria ya huduma za posta na mawasiliano(CAP 306) wakaamua section 164A
Haijawahi kutokea hivi toka nchi hii ipate uhuru( kama lipo tukio nisagihishwe)
wanaambiwa waondoke watakipwa kwa simu? (Tigopesa/Mpesa/Airtel Money)
wakazirudisha fedha hizo BoT.
👉Katiba hii imesema kwenye ibara ya 14 imetoa haki ya kuishi kwa kila mtanzania- hivyo Rais Samia aunde tume na kuruhusu uchunguzi huru toka nje juu ya mauaji yaliyofanywa na utawala wa MEKO na akina Makonda,Mwigulu ,Ngusa na Dotto na wachukuliwe hatua kali za kisheria haraka