Margaret Mitchell Profile picture
AI ethics researcher. Formerly at OpenAI, Google. Views my own.
Oct 8, 2024 26 tweets 12 min read
🚨Yes Mwaka 1991 ndo Mitsubishi RVR anazaliwa huko Japan.
.
Ilipofika 2002 uzalishaji ukasimama wenyewe wanaita [production halt].
.
Huu ni usimamishaji wa uzalishaji kutokana na kushuka kwa mauzo na kutopokea order mpya.
.
Najua umejiuliza kwanini uzalishaji ulisimama, sababu👇Image Kwenye Biashara Kubwa mauzo yakianza kushuka na usipopokea order mpya [minimum order quantity].
.
Kwa zaidi ya siku 180 basi ili hasara isiwe kubwa sana unapiga chini uzalishaji.
.
Hii ndo kitu iliowakuta RVR back in the days, unaweza jiuliza nini hasa kiliwakuta RVR kama RVR. Image
Mar 22, 2023 15 tweets 8 min read
🚨Mazda CX 5 Balaa Lingine hili, Mafuta hadi Passo anakaa..
.
Hii gari tumeileta juzi tukapiga test drive ni balaa, mafuta inanusa..
.
Tumetia mafuta ya 20K [Inatumia Diesel ] piga route za kutosha..
.
Posta - Masaki- Kariakoo - Kigamboni mshale umegoma kushuka tukafikiri mbovu.. Image Kumbe chuma inatafuna mafuta mdogo mdogo sana kama kibogoyo na nyama.
.
Ndani iko very comfortable na spacious + seats zake zinakupakata.
.
Inaunguruma vizuri kwa utulivu [ina base nzito] kama kijana aliyetoka jando.
.
Kama unapenda SUV za kitofauti Mazda CX 5 is the best opt. Image
Dec 13, 2022 9 tweets 4 min read
🚨Mwisho wa Mwaka umefika, safari za Mikoani na gari binafsi zitakua nyingi..
.
Niwakumbushe tu Katika SAFARI ndefu kunakuaga na LIGI za Kimya kimya..
.
Kuwa makini nazo zisikutoe kwenye reli ukapunguza umakini wako Barabarani..
.
Sio anapitwa hafu anaanza kumtafuta aliyekupita.. Pia angalia na chombo chako kama kina uwezo wa Ligi if not achana na Ligi fanya yako..
.
Ligi zina wenyewe kuna time wana overtake hata sehemu hatarishi..
.
Sasa na wewe kisa ligi ukiwaiga my friend utakua unahatarisha maisha yako..
.
Sometime ligi inakuja yenyewe automatic..
Dec 9, 2022 27 tweets 13 min read
🚨Mazda CX 5 A best option kwa Gari za Juu..
.
Kama unapenda gari za juu na unapenda utofauti basi Mazda CX5 is the best..
.
Ndani ya dakika moja nitakujuza kwanini hii ni best option kwa gari kama kina Harrier..
.
Kaa vizuri andaa juice na kitumbua chako gonga RT tuanza safari.. Image Mazda CX 5 ni compact crossover SUV ambayo imekua kwenye uzalishaji toka 2012 ikiwa mrithi wa Tribute na CX 7..
.
Ni Mazda ya kwanza kutumia kodo design [muonekano wa kipekee unaofanya gari ionekana iko kwenye motion hata kama imesima]..
.
Pia ikiwa na mifumo ya kitechnologia👇 Image
Nov 13, 2022 24 tweets 11 min read
Jinsi Mrembo Irene Alivyotengeneza gari Yake Usiku Harusini Baada ya Kukataa Kuwaka..
.
Najua utakua umejiuliza huyu mrembo imekuaje amegeuka fundi tena..
.
Twende pamoja gonga RT kabisa ndani ya dk moja tu utapata Jibu..
.
Jibu ambalo hata wewe pia linaweza kukusaidia mbeleni.. Ilikua Jumamosi tulivu siku ya Bata kwa watu ambao umri umesogea kidogo [30+]..
.
Nikisema umri umesogea namaanisha wale ambao agemates wanaoa/kuolewa so weekends lazima harusi ziwahusu..
.
Siku hiyo Irene alikua na Harusi pale Maeneo ya Mbezi beach kwenye Ukumbi wa Mbezi Inn..
Nov 6, 2022 36 tweets 15 min read
🚨Shikamoo Mpemba..
.
Ilikua December Mwaka jana 2021 Ijumaa Usiku Boni alinitext WhatsApp..
.
Akanambia anatafuta Toyota Harrier ya mkononi Tako la nyani yenye hali nzuri..
.
Akasema budget yake ni Million 18 Net hapandi wala hashuki, akipata white au silver itakua safi..
. ImageImage Akasema yuko Dodoma ila ikipatikana hata sasa hivi anakuja kuchukua machine..
.
Basi baada ya kusoma hii text na kuona how serious he is nikamvutia wire tuongee kwa undani zaidi..
.
Basi tukaongea akanambia ana prefer hizo rangi sababu ya vumbi na jua kali la Dodoma.. ImageImage
Jul 25, 2022 6 tweets 3 min read
⚠️Kama uko rough in driving na hauna mapenzi ya kutosha na gari achana na Nissan Dualis..
.
Nissan Dualis ni mtoto wa ushuani shuruba za Chanika maji matitu haiwezi..
.
Ile gari inafaa sana wadada hasa bankers, wamama na wazee/vijana wasitaarabu..
.
Tofauti na hapo utakitesa tu.. Image Kama unahitaji SUV nzuri ya kiumeni na uko na mzigo go for Vanguard..
.
Ikishindikana Mitsubishi Outlander au Subaru sio mbaya, ikigoma kabisa na we ni mtu wa kazi kazi go for Rav 4 old..
.
Rav old model ndo unaweza ukaondoka wewe gari ikabaki vijana wakaendelea kudunda nayo.. Image
Feb 27, 2022 8 tweets 3 min read
⚠️NAKUPA HII MBINU: Ya Kibabe Sana Hafu Wadau Wengi Hawaijui..
.
Mbinu yenyewe ni Jinsi ya Kubadilia Lugha za Kijapan Pale kwenye Infotainment za gari..
.
Nikisema Infotainment nalenga vitu kama Radio na Navigator na blah blah zingine zinazokuburudisha ukiwa ndani ya gari lako.. Image Wajapan bana wakileta gari huku wanaleta na lugha zao yani hawa Jamaa hata manual unaweza kuta hamna ya English..
.
Sasa sometime huwa inatupa wakati mgumu ku operate vitu na hujui vinamaanisha nini..
.
Unaishia kubofya bofya ukisikilizia respond ndo ujue button ina kazi hani.. Image
Dec 3, 2021 22 tweets 9 min read
Toyota Probox aka Box la Ki professor..
.
Hili jina linamaanisha Professional Box [Pro Box]..
.
Hii ni light commercial vehicle ambayo ilikua introduced sokoni katikati ya mwaka 2002..
.
Baada ya Muda imekuja kuwa gari pendwa sana hasa na wafanyabiashara hapa Tanzania.. Image Kwanza walianza kuipenda wafanyabiashara wa Kariakoo..
.
Baada ya Hapa Mapenzi kati ya hii gari na wafanyabiashara yakasambaa sehemu kubwa ya Tanzania..
.
Kuna Mikoa wamezigeuza kama BUS kabisa kinakula vichwa balaaa..
.
Ana ndugu yake anaitwa succeed nitawatofautisha nae baadae. Image
Nov 22, 2021 24 tweets 8 min read
🚦IJUE BMW 3 Series..
.
Siku za nyuma Wadau wengi walikua na mtizamo hasi kuhusu Bavarian Motor Works..
.
Muda unavyozidi kwenda naona mtizamo umeanza kubadilika sababu hata hapa Tweeter Request zimekua nyingi sana za UZI wa BMW 3 Series..
.
Kaa Vizuri ule vitu fresh kabisa.. Image BMW 3 Series ni line ya executive cars zilizotengenezwa Germany kuanzia mwaka 1975 ikitokea 2 series..
.
3 Series mpaka sasa ina generation 7, Generation ya 1 Ikianza mwaka [1975-1981] coded E21..
.
Generation ya 2 [1982-1990] coded E 30..
.
Generation ya 3 [1990-1997] coded E36. Image
Nov 17, 2021 22 tweets 7 min read
JIFUNZE Warning Lights za kwenye dashboard na Maana zake..
.
Watu wengi wamekua wakiuliza baadhi ya warning Lights kwenye dashboard na maana zake..
.
Hivyo basi tumeona ni nyema kuleta UZI utakaoelezea common signs za kwenye dashboard na maana zake..
.
Kaa Vizuri Ule MADINI.. Image Taa ya Oil Pressure..
.
Hii taa ikiwaka inaonyesha kwamba kuna tatizo katika oil pressure system..
.
Inawezekana oil iko chini au oil pump haizungushi oil ya kutosha kulaininisha sehemu za juu ya engine..
.
Ukiona hii Taa Zima gari tafuta Fundi hapa huchelewi Kukaanga engine.. Image
Nov 2, 2021 22 tweets 8 min read
IJUE - Toyota Alphard...
.
Alphard aka boflo ni gari iliyoanza kutengenezwa mwaka 2002 kama gari ndogo ya abiria [MPV]...
.
Mpaka sasa ina Generation 3 Generation ya 1 AH10 ikianza 2002-2007, Generation ya 2 AH20 2008-2014 na Generation ya tatu AH30 2015- Todate...
.
UZI 👇 1st Generation ilikuja na Engine za 2.4L, 2AZ-FE i4 na 3.0L 1MZ-FE...
.
Hii 3.0 1MZ ndo iko kwenye Harrier Old ya Cylinder 6 yani inabwia wese vizuri sana ndo maana unaweza kuta Harrier old ina hii Engine inauzwa million 3 au 4 ukafikiri umeokota dodo kumbe dodo ndo limekuokota.
Nov 1, 2021 20 tweets 7 min read
Usichokijua kuhusu Toyota Premio...
.
Premio ilitambulishwa sokoni huko Japan mwaka 1996 na ilikua ikijulikana kama Toyota Corona mpaka mwaka 2000...
.
2001 ndo ikawazaa Premio na Allion kwa kifupi hawa ni mapacha...
.
Kaa vizuri ule Madini 👇
.
UZI... Toyota Premio walimuweka sokoni kama moja ya saloon car za luxury tofauti na Allion...
.
Premio ina generation 2 tu, generation ya kwanza ikijulikana kama T240 ikizalishwa kuanzia mwaka 2001 - 2007...
.
Generation ya pili ikujulikana kama T260 Ikianza mwaka 2007 hadi sasa...
Oct 27, 2021 18 tweets 6 min read
Ijue Toyota Corrola Rumion aka Lunch Box...
.
Miaka ya nyuma kidogo watu wengi wametokea na wanaendelea kuziagiza/kuzinunua hizi gari kwa wingi...
.
Hivyo basi tumeona tuje na ABCD za hii gari kwa manufaa ya wanaotarajia kuzi agiza na wamiliki walionazo kwa sasa...
.
UZI
. Image Rumion katika series za Corolla aliingia sokoni 2007 Mwishoni akiwa na umbo lake kama Box flani hivi...
.
Australia wanaziita Rukus huku kwa Biden wanaziita Scion xB...
.
Rumion aliingia kum replace Runx ambayo uzalishaji wake ulikoma Mwaka 2006 na Spacio ambae alikoma 2007...
. Image
Oct 18, 2021 12 tweets 4 min read
Nissan DUALIS aka Dar Es Salaam Sweetheart...
.
Najua ukiona hii gari unapata picha flani kichwani ni gari iliyokuja kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni...
.
Ni gari yenye muonekano mzuri sana na iko very portable kama TZ sweetheart Pia inajulikana kama Nissan Qashqai...
.
👇UZI Image Hizi gari zilianza kutengenezwa Japan Miaka ya 2006 mpaka 2013...
.
Kizazi chake cha kwanza kilijulikana kama J10 baadaye ilikua replaced na Nissan Juke lakini Wajapan kwenye masoko mengine waliiendeleza kama Nissan Qashqai...
.
Gari iko na safety features za kutosha...
. Image