H Simba - MCIPS Profile picture
Jun 8, 2019 3 tweets 2 min read Read on X
@jchakutema Palizi imepita, mvua imebariki, kasi imetamalaki Image
Image
Trial plot #oneacre #bananas

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with H Simba - MCIPS

H Simba - MCIPS Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @simbahd

Feb 27, 2021
Ili uweze kuchangamkia fursa zinazotokana na sheria na kanuni za local content kwenye madini ni lazima kwanza ujue kuna nini jikoni. Kwa ufupi madini ni sekta inayokadiriwa kuzungusha Tsh trilioni 4 kwa mwaka kwenye manunuzi. Sasa tambua ni nini kipo ndani.

#localcontent
Fursa zipo za aina mbili
Moja utoe huduma kwenye migodi na sekta ya madini kwa ujumla, yaani huduma kama chakula (catering), ujenzi, Maintenance, huduma za meno na kinywa, bima, data, mawasiliano, usafirishaji, utafiti na kadhalika.

Naambatanisha tangazo hapa kama mfano
Fursa namba 2 kwenye manunuzi ni kuuza bidhaa. Hapa tunazungumzia bidhaa ambazo migodi na wadau wake wanahitaji. Hizi ziko nyingi sana, mfano grinding media, vilainishi, ground support, kemikali, baruti, vyakula kama nyama, matunda, ni vingi sana sana.
Read 5 tweets
Feb 25, 2021
Mining Local Content - Insurance and reinsurance opportunities
A contractor, subcontractor, licensee or other allied entity engaged in a mining activity in the country shall comply with the provisions of the Insurance Act

##localcontent
The insurable risks relating to Mining activity in the country shall be insured through and indigenous brokerage firm or where applicable on indigenous reinsurance broker

Local Insurance companies, this is a real deal, know what is in.

#localcontent #insurance
Read 5 tweets
Sep 30, 2020
Post Tender Negotiations: Majadiliano baada ya kuwasilisha Zabuni.

Haya ni majadiliano yanayolenga kuboresha uelewa wa pande mbili za zabuni yaani MNUNUZI NA MUUZAJI (buyer/procuring entity and Seller/Supplier)
Majadiliano haya hufanyika baada ya wasilisho rasmi la zabuni na kabla ya kutolewa hati ya mahindi 'award notice'. Ni lazima yafanyike kwa uwazi na kwa kushirikisha wadau wote muhimu, taarifa zitunzwe kama ukaguzi utahitajika.
Majadiliano haya hulenga maeneo muhimu kama
-gharama ya zabuni, mradi
-taratibu za malipo
-garantii na waranti
-gharama za 'Maintenance na Msaada' mwingine
-nk
Read 9 tweets
Sep 26, 2020
Moja kati ya njia bora ya #uwezeshajiwazawa yaani #localcontent ni ushirikishwaji na uwezeshwaji wa wafanyabiashara wa ndani. Nitaandika namna tuliwahi fanya katika safari ya uwezeshaji wazawa katika sekta ya madini hasa utoaji huduma kwenye migodi mikubwa hapa Tanzania
Mwaka 2014 kulikuwa na mradi mkubwa wa uzuiaji kutu 'corrosion control' kwenye matenki ya process plant ya mgodi. Manunuzi yalikuwa yafanyike kwa manunuzi ya moja kwa moja 'sole source' kwenda kwa mkandarasi wa nje ya nchi. Gharama za mradi zilikuwa zaidi ya dola milioni moja.
Wakati tunaanza hatua za majadiliano akabadilishwa Meneja Mkuu wa mgodi na huyu mpya alipoingia moja ya kitu aliona kinaweza badilishwa ni pamoja na utekelezaji wa mradi huu. Alikuwa na mawazo tofauti. Kwa wasifu yeye ni mbobezi wa sekta nje na ndani ya Tanzania
Read 14 tweets
Sep 25, 2020
Miaka miwili iliyopita nilikutana na kampuni ya Kitanzania wakiwa wanasaka fursa za kufanya kazi na makampuni ya madini, migodi mikubwa na ya kati

Nikaomba taarifa zao, tukazipitia taarifa zao na kisha wakasajiliwa kama suppliers nilipokuwepo. Wakaanza kidogo kidogo
Nikafanya mazungumzo na Mkurugenzi wao juu ya matakwa ya #localcontent na kwa namna gani wanaweza kunufaika zaidi na sheria hizo.

Lazima watafute wabia wa nje ambao kwa sheria mpya za uwezeshaji wazawa wanaelekezwa kufanya kazi na kampuni za wazawa kwa ubia.
Nikawaunga na kampuni za Australia na Uchina. Jamaa akasafiri kwenda Uchina akafanya mazungumzo na akafunga dili. Kisha jamaa wa Australia wakaja Tanzania wakakutana wakafunga dili.

Akawa 'Sole Authorised Distributor' kwa Ukanda wa East Africa wa makampuni matatu hivi.
Read 6 tweets
Aug 5, 2020
Mwaka 2018 nikiwa kwenye majukumu yangu nilifuatwa na supplier mmoja wa bidhaa za migodini. Akaniambia natafuta fursa ya ku-supply hapo 'kwenu'. Nikamuambia nitumie profaili yenu halafu tutawasiliana.

Baada ya wiki kadhaa ya ukimya nikakutana naye tena, nikamuuliza kimya?
Mara hii akanitumia profaili yao. Ilikuwa vyema na alikuwa ameniambia wana uwezo wa kukidhi vigezo vyote.

Ili kampuni iwe mtoa huduma lazima isajiliwe kwenye mifumo ya manunuzi hivyo inapaswa supplier alete nyaraka zake za kampuni

Tukamuomba akaleta karibu zote.
Katika nyaraka zile hakukuwepo na hati safi ya mlipa kodi 'tax clearance certificate'. Nikamuomba, akaituma.

Nikamuuliza swali lingine je una mashine ya EFD? Na naweza pata nakala ya risiti ya EFD ya kampuni yako ikionesha unatoa risiti zinazokubalika? Maana bila EFD hakuna kitu
Read 6 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(