Dah!.. Unajua Nini,
Wakati Nachimba Chimba Huku Mgodini Kwangu. Imebidi Tu Nipunguze Punguze Sana Mana Mzigo Wa Taarifa Ni Mkubwa Na Hauwezi Kutosha Wote Hapa! Kwahiyo Nlichofanya Nmechuja Chuja Na Kubakia Na Madini Ya Msingi Ya Kuwapa Nyie. Watu Wangu
Mwanangu @chapo255 Alitamani Kumjua Mwanzilishi Kiini Wa Series Ya LA CASA DE PAPEL, Kwahiyo Nkaona Wacha Nifanye Kama Kawaida Yangu Niende Deep Zaidi. So Huu Uzi Utakuwa Mrefu Zaidi Tangu Kuanza Kwangu Kuwahi Kuandika UZI
Hivyo Nisikuchoshe Usinchoshe
Kwanza Niwaambie Tu, Hivi Vinyago Vimetokana Na Binaadamu Mmoja Ambae Anaheshimika Duniani Kote, Hasa Kwa Upande Wa Watu Wanao Fatilia Sana Sanaa Za Uchoraji. Mana Uchoraji Umegawanyika Sana Asee Sio Tu Kuchora Na Peni Na Karatasi Lako Basi. HAPANA
Kuna Kila Namna Ya
Ingawa Atakumbukwa Kwa Mengi Huyu Jamaa Maana Mwaka 1982 Mkewe Alifariki Baada Ya Kuonekana Ilitokana Na Kesi Nyingi Kali Zilizohusisha Mafua (flu) Ilikuwa Ni Juni 10 Mwaka Huo! 😦 Sasa Shida Ikaja Baada Ya Kuaminika Kuwa Eti Inawezekana Jamaa Alimla Nyama Mkewe 😕
Kuna Kipindi Jamaa Akawa Akikaa Anapiga Sana Makelele Bila Sababu Au Analia Machozi Sana, Dah! Mapenzi Nyie Acheni Tu Ndo Hivi Ukiskia Mtu Kawa Chizi Kwa Mapenzi Usishangae Kama Hujawahi Kupenda. Mana Mbaya Zaidi Kuna Kipindi Akawa Ana Ukwangua Uso Wake Mwenyewe🤔
Sasa Tukimwangalia SALVADOR Kama Mwasisi Wa Vinyago Vinavyotumika Kwenye Series Ya LA CASA DE PAPEL Yeye Alizaliwa Zamani, Yaani Tunaweza Kusema Huyu Ni Mhenga Haswaa
Sababu Mwaka 1904 Mei 11 Kule Nchini Hispania Ndio Alizaliwa, Na Alifariki Mwaka 1989, Ilikuwa Ni
Ni Januari 23, Huko Huko Hispania. Sasa Ukitaka Ujue Kuwa SALVADOR Alikuwa Mkali Sana Kwenye Sanaa Ya Uchoraji, Baada Ya Hicho Kifo Chake Unaambiwa Mpaka Leo Kuna Makumbusho Iko Kule Marekani Jijini Florida Eneo La St. Petersburg Inaitwa Makumbusho Ya,
Wa Kipekee Sana, Na Akasema Kuwa Yeye Mpaka Kuwa Hivyo Alishawishiwa Sana (inspired) Na Mfululizo Wa Ndoto Alizokuwa Akiota Na Maono Aliokuwa Akipata
Mwaka 1988 Aliwahi Ingia Hospitali Huku Moyo Wake Ukikaribia Kufeli😦, Lakini Baadae Akajiskia Vema Mwaka Uliofatia Aka
Alafu Nmekumbuka Bana Jamaa Alikuwa Na Tatizo Liitwalo Kitaalamu 'phobias', Unaambiwa SALVADOR Alikuwa Anaogopa Sana Panzi, Wale Watoto Wanaitaga Balale 😄 Na Alikuwa Anaogopa Mtu Akibadilika Usoni Katika Hali Ya Aibu Tangu Utotoni Mwake, Kitaalamu Iliitwa ereuthophobia
Ebana Hapatoshi😄 Itaendelea !
#NindiJrSERIES #NindiJrLACASADEPAPEL