My Authors
Read all threads
🎥U Z I

Aya..
Em Tuelekezane Jinsi Ya Kudownload Muvi Leo Au Sio, Mana Nakuwa Napata Maombi Mengi Ya Kuelekeza Jinsi Ya Kupakua Muvi

Sasa Leo Iwe Mwanzo Na Mwisho, Ole Wako Usielewe. Na Hata Usipoelewa Nenda Kwenu Kawaambie Mi Fala Sana Yaani Huwa Sielewi Vitu Vidogo Vidogo😒
2) SIMU

Kwanza Naona Tuanze Na Simu, Mana Wengi Wetu Skuizi Kuwa Na Smartphone Imekuwa Sio Ishu Tena. Mana Mpaka Wadada Wetu Wanao Tusaidia Kazi Za Ndani Wanazo

Hivyo Ngoja Nianzie Hapa Kwanza Alafu Tutaenda Sehemu Lengwa Yaani Kwa Kutumia PC, Basi Kuwa Makini Na Nfatilie Fresh
3)SIMU

Kwanza Kabisa Ukitaka Kudownload Muvi Inabidi Uvijue Vitu Viwili Vikuu Na Muhimu

1 - Mitandao Ya Kupakulia

2 - App Za Kupakulia

Sasa Huwa Kuna Njia Nyingi Za Kupakulia Muvi Au Series Ila Hizi Ni Zile Njia Za Kawaida Na Nzuri Zaidi. Hizi Nyingine Ni Maalumu Kwa Wabobezi
4) SIMU

Cha Kwanza Kabisa Sasa Ukitaka Kupakua Muvi Unazozitaka Inabidi Uwe Na Application Inaitwa Bittorrent Au Utorrent Hizi Sisi Wabobezi Tunaita Vipakulishi, Au Mwiko 😁 Si Unajua Kazi Ya Mwiko Jikoni Ni Nini.. Naaam Basi Kwenye Muvi Au Series Bila Hizi Vitu Huwezi Pakua!
5) SIMU

Unaona Bana! Sasa Kuzipata Hizi Apps Inabidi Uende Playstore Tu. Kule Zipo Za Kila Aina Ila Hizi Ndio Bora Na Nzuri, Sasa Kila Mtu Mtumiaji Wa Smartphone Anajua Jinsi YA Kutafuta Kitu Playstore Sidhani Kama Nna Haja Ya Kubwabwaaaja Hapa 😄

Sasa Ukisha Ipakua Hii,
7) SIMU

Hii App Yaani Moja Kati Ya Utorrent Ya Bittorrent Basi Unaifungua Na Ukisha Ifungua Huwa Zenyewe Automatically Zina Fanya Kazi Nyuma Ya Pazia Mda Wote. Kwa Hiyo Hata Ukiifunga Hata Usijali, Sababu Itaendelea Kufanya Kazi. Baada Ya Hapo Unatoka Sasa, Unaachana Nayo
8) SIMU

Unaenda Na Kufungua Browser Yako, Labda Nfafanue Tu Kidogo Kwa Wasioijua Browser

Ni Ile Sehemu Ambayo Ukitaka Kufungua Mtandao Wowote Ule Kwa Kutumia Intaneti Unaenda. Mfano Ukitaka Kuangalia Matokeo Ya Form4 NECTA. Basi Ile Sehemu Unayofungulia NECTA Ndio Browser Sasa
9) SIMU

Na Browser Mfano Za Kwenye Simu Huwa Zipo Skuizi Za Aina Mbalimbali Sababu Ya Ukuaji Wa Teknolojia. Moja Wapo Ndio Kama Hizi Ziitwazo "chrome" n.k

Sasa Ukishafungua Hii Browser Hakikisha Pia Una Bando La Kutosha. Mana Cha Kwanza Kabisa Itabidi Uende Kufungua,
10) SIMU

Kufungua Sehemu Ya Mitandao Wa Muvi Ili Uweze Kutafuta Muvi. Na Mitandao Ya Muvi Ipo. Mingo Sana, Ila Ina Tofautiana Ubora Tu Si King one. Mana Kuna Ambayo Ina Muvi Chafu. Na Nikisema Chafu Namaanisha Sio HD, Yaani Huwa Zina Kuwa Zime Rekodiwa Kutoka Kumbi Za Sinema
11) SIMU

Siku Moja Ntawaelezea Kwanini Muvi Huwa Zina Rekodiwa Kutoka Kwenye Sinema, Na Kuwekwa Kwenye Mitandao 😒 Tuombeane Uzima Tu.

Sasa Mitandao Mzuri Ya Kupakulia Muvi Nimeshawahi Iposti Na Kuielezea Sasa Kama Ndugu Yangu Bahati Mbaya Haukuwahi Kuiona Basi Ingia Kwenye,
12) SIMU

Kwenye Hii Hashtag Ya #NindiJrMITANDAOBORA Utaona Unacho Hitaji Kukijua Kwa Wakati Huu Zaidi. Sasa Tuendelee!!! Na Baada Ya Kujua Mtandao Gani Unafaa Zaidi Na Pia Ushaandaa Listi Ya Muvi Unazotaka Kuzipakua, Mana Jinsi Ya Kupakua Series Kuna Utaalamu Wake, Ntawaelezea,
13) SIMU

Ntawaelezea Siku Nyingine, Leo Ni Muvi Tu!

Hiyo Listi Yako Ya Muvi Unazozitaka Sasa Ndio Utaanza Nayo Sasa!

UNAPAKUAJE SASA!
Hapa Nataka Niwafundishe Kama Mtu Anaefundishwa Gari Vile Anaanza Kufundishwa Kwa Kutumia Gari Ya Gia
14) SIMU

Alafu Gari Za Auto Unaziendesha Mwenyewe Bila Kuelekeza Saaana! 😊 Au Sio. Unaona Bana, Ukishafungua Mtandao Wa Kupakulia Muvi. Mfano Kuna Mtandao Unaitwa magnetdl.com Huu Ni Mtandao Kweli Na Unakila Kitu! Basi Unaenda Sehemu Ile Ya Kusechi, Pale Utaandika,
15) SIMU

Utaandika Unachotaka, Mfano Unataka Kudownload Muvi Ya "SUPERMAN". Naitumia Sana Mfano Wa Muvi Ya superman Sababu Ndio Muvi Maarufu Sana Duniani Hivyo Inajulikana Na Kila Mtu Si Ndio

Muvi Zako Zitakuja Pale Kwa Matokeo Meeengi Baada Ya Kusechi Hii Muvi Sasa, Yaani
SIMU

Yaani Zitakuja Muvi Kwa Kutumia Jina Ulilotafutia La SUPERMAN Kwa Matokeo Meeengi Kama Mfano Wa Picha Hapo Chini. Baada Ya Hapo SAS Utaangalia Wewe Unataka Ya Mwaka Gani. Na Baada Ya Hapo Pia Katika Mtiririko Huu Wa Matokeo Mengi Yaliokuja Ya Muvi Ya Aina Moja Pia Kuna,
16) SIMU

Kuna Zingine Ni Chafu Na Mbaya Kuangalia, SAS Mbaya Huwa Mara Zote Kwanza Zina MA GB Makuuuubwa Bila Sababu, Penda Kudownload Muvi Zenye MB Chache Tu. Kama Vile Zikiwa Nyingi Basi Ni MB 800 Au MB 950 Mwisho GB 1

Cheza Hapo Usipende Ma GB Mengi Yatakujazia Nafasi Bila
17) SIMU

Bila Sababu Yoyote. Basi Ukisha Tazama Hivyo Vya Msingi Alafu Unaangalia Sehemu Iliyo Na Kitu Kama Mfano W Sumaku, Wazungu Wanaita Magnet Hiyo Sehemu Mfano Kama Kwenye Picha Hapo!

Basi Unai 'Tap' Yaani Unai Touch Hapo Kama Unabonyeza Kuashiria Ndio Unaitaka Kuidownload
18) SIMU

Sasa Si Unakumbuka Kipakulishi Chako Yaani Ule Mwiko Wetu Ulivyo Udownload Uliuacha Wazi Namaanisha Torrent Yako Ile, Basi Kite do Cha Wewe Kugusa Tu Hapo Ndio Unakuwa Unaanza Kuidownload Muvi Ulioichagua

Sasa Utaona Ghafla Unatoka Hiyo Sehemu Na Kupelekwa Moja Kwa,
19) SIMU

Kwa Moja Mpaka Kwenye Torrent Yako! Basi Ukishaona Hivi Ujue Mzigo Ushakaa Sawa Na Unaanza Kupakua Muvi Yako, Na Ukisha Weza Kumasta Hivi Na Mwanzo Ulikuwa Huwezi Basi Jua Wewe Ni Noma, Ila Ukishindwa Kabisa Nenda Kwenu Piga Kelele Sema "MIMI FALAA" 😄 Maana we Ni Fala
20) SIMU

Hizo Ndio Njia Nyepesi Kabisa Za Mtu Ambae Ndio Anaanza Leo Kutaka Kupakua Muvi Mtandaoni Anatakiwa Kuzijua. Mana Ukishafikia Hapo Nlipokufikisha Ndio Mwisho Kila Kitu Unakirudia Kama Unataka Kupakua Muvi Nyingine, Na Sio Uende Tena Kupakua Torrent Nyingine,
21) COMPUTER

Nyingine Playstore Hapana, Aisee Utakuwa Fala Sana Ukifanya Hivi 🤣 Unarudia Njia Zile Zile Za Kutaka Muvi Nyingine Na Kupakua Baasi

Sasa Mi Naona Twende Kwa Upande Wa Kompyuta. Huko Kwa Simu Hakuna Tena Ishu, Na Wale Wa iPhone Mtanisamehe Mana Simu Zenu Ziko,
22) COMPUTER

Ziko Limited Sana!

Sasa Ukiwa Na LAPTOP Au PC Njia Ni Zile Zile Tu Kama Kwenye Simu Hakuna Maajabu Huku. Iko Hivi Na Twende Kwa Makini Hapa Mana Sitoelekeza Sana Mana Nshasema Njia Ni Zile Zile

Kwenye PC Inabidi Pia Uwe Na Torrent Yaani Iwe Utorrent Au Bittorrent
23) COMPUTER

Na Kwenye PC Sasa Huwezi Eti Kwenda Tena Playstore Hapana, Hii Unaipata Kwa Kudownload Kupitia Google Simple Tu Alafu Unai Install, Baada Ya Hapo Unaenda Kwenye Mitandao Kama Vile Ilivyokuwa Kwa Simu Alafu Unafata Njia Zile Zile Kupakua Muvi Yako! Simpo Kama Hivyo
24) COMPUTER

Na Nilishawaelekeza Jinsi Ya Kutumia Subtitles Au Sio. Basi Kwenye PC Tu Ndio Utaweza Kufanya Hivyo Ila Sio Kwenye Simu
#MASTORIyaNindiJr
Mpaka Hapo Nafikiri Hakuna Ambacho Hujui Sasa Kuhusu Kupakua Muvi, Inamaana Saivi Katembee Kifua Mbele Ukijua Unaweza Kupakua Muvi😊

ONYO:
Usipende Kudownload Muvi Kwa Kutumia Simu, Unaua Ubora Na Uhai Betri La Simu, Penda Kutumia PC Au LAPTOP
#NindiJrJIFUNZEKUPAKUA
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Enjoying this thread?

Keep Current with Nindi.Jr ㄷㄱㅑㅊ

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just three indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!