Wiki moja baada ya kuanza darasa la kwanza kutokana na umbo langu kua dogo kidgo kuliko wengne ilinipa ugumu maana nilishindiliwa uonevu wa kila namna..ila siku,mmoja wa wanafunzi alinikingia kifua..na si mwingine bali ni "MUDI" kama wengi tufupishavyo, jembe langu
Siku nipo zangu kariakoo hivi karibuni ikiwa imepita miaka zaidi ya kumi na..nilipigwa push moja kubwa na mbeba mizigo,kwa jazba nilitukana,kugeuka ni Mudi
Aliposhusha mzigo aligeuka akaniangalia "Dah,mwebe.." niliona machozi yakimlenga na alijaribu kuyawah kufuta kabla hayajaonekana,alichelewa.
Vyombo vikatolewa na kelele za hapa na pale,nikaona hataa acha niulze
"Kulikoni???"
Akaangalia chini kwa sekunde kadhaa alivyonyanyuka akasema "mwanangu,nailipia laana yangu" sikumwelewa.
Aliamua kurudi Dar maana alikua hana la msingi Moro na pale ilikua
Zilipita wiki tatu au nne hakuwah kunitafuta..nikiwa tena kkoo nikaona si mbya kupita sehem yake ya kazi labda
MAZEE MOYO ULINIUMA KICHIZI..
Ilibidi niende Moro kutoa heshima za mwsho
" Huyo ndo MUDI mazee,jembe langu"
#fanani hapa✌
Pitia pinned tweet katika account yangu kwa nyuzi zaidi..like na kuretweet✌