🌡Kama huna kifua basi usisome uzi huu haukufai maana mi natoa visa vya ukweli kama ifuatavyo...👇
Nipo na mwana ananionesha picha af ananiuliza "unaikumbuka hii"..naichek af nacheka ni picha ya kitambo kidgo,tukiwepo sisi na wasichana watatu..mmoja wao akiwa VERO
Basi hapo kati Vee kama nilivyokua namwita akapata mimba ya mchizi
Siku zikaenda vee akanasa nyingne..ila sasa hii ikaja kujulikana sio ya mchizi..ugomvi mkubwa tu ukatokea..vee akaona isiwe shida coz anampenda mchizi nayo akaitoa..
Mchizi alikua na big expectations na alikua tayar yani so aliyumba kidgo ilivyotokea...
Ila jamaa alimweka nyingine ila hii haikukaa hata miezi miwili..na haikuchukua muda sana wakaachana moja kwa moja.
Hapo kati niliwasiliana nae mara chache sana..ila nilijua alikuja pata mtu mwingne..
Nikafungua mlango..
Alikua amebadilika..kwanza mashavu tu yalikua hamna nyama nilizozoea kumtaniaga..utando mdomoni..nywele kama zimenyolewa kwa mkasi..macho yamemtoka..alivyoniona akataka kujifunika kwa aibu..nikamzuia..hata mambo sikumpa ilibidi nianze kuuliza tatzo
Moja kwa moja nikajua basi ashaukwaa ugonjwa wetu..nikaogopa kuuliza..ila kwa jinsi nilivyomwangalia nahisi alijua kwamba nilishajipa majibu..alismile kwa shida af akaniambia "sio ukimwi shem"
Akanieleza kua ana uvimbe kwenye uzazi na gonjwa moja la zinaa
Akaniambia "kevi mi nakufa..naomba unipeleke tu nyumbani,atleast ukiwepo ntakua na ujasiri wa kuwaeleza yaliyonisibu"
Ngoma nikaona nzito..nikatoka nje nkampigia mchizi aje
Tukampigia usafi pale wa kishkaji..yule sista wa nje tukampa elf 20 tukaomba amsaidie aoge..amfulie vinguo kadhaa na usiku ampikie..kesho yake amwandae maana tutakuja kumpeleka kwao..
Kesho mapema na mchizi tukampeleka moro
"KWENYE KILA TATIZO KUNA TUNDU LA KUTOKEA....LITAFUTE"
Acha nipige pasi hapa,kama kawa usiyempenda kaja😅
#fanani✍️ hapa
Retweet zenu kwa uzi huu itapendeza ili vijana waskate tamaa🙏