1.Moja ya changamoto kubwa kwa wajasiriamali na wafanya biashara wengi ni katika kumiliki soko ni upangaji wa bei za bidhaa au huduma. #MpangoWaBei @Mkuruzenzi
![Image](https://pbs.twimg.com/media/EbLqP_1XgAEQFy9.jpg)
Bei ya bidhaa au huduma hupangwa kutegemea na moja kati ya vigezo hivi au vyote kama vinavyoelezwa hapa;
![Image](https://pbs.twimg.com/media/EbLxXWjXQAEwvqB.png)