My Authors
Read all threads
🚫TAHADHARI : Kama Una Mpango Wa Kuuza Courses Au Ebooks Mtandaoni Usifanye Kosa Hili...
.
[UZI 👇🏽]
.
Kama Una Mpango wa Kuuza Knowledge, skills au Taarifa zozote Mtandaoni usipuuze uzi huu kwasababu nakwambia ukweli uliopo sokoni
.
Binafsi naamini kama 👇🏽
Kitu haukiishi basi haukijui (If you don’t live it, you don’t know it)
.
Kabla sijakwambia ni Kitu gani nataka nikupe story fupi kuhusu my own experience kwenye Hii Topic
.
Mwaka 2018 niliacha kazi na kuamua kufanya online business kama full time job 👇🏽
Kwasababu tayari nilishajenga ujuzi wa Copywriting na Closing skills
.
Kwahiyo nilikuwa na uwezo wa kuuza bidhaa/huduma yoyote online aidha ni ya kwangu binafsi au ya watu wengine (Affiliate & dropshipping) na nikatengeneza pesa on my own time
.
👇🏽
Nilikuwa na Online groups za whatsApp & telegram zaidi ya 15 ambazo nilikuwa natoa Free Training kuhusu Closing skills na copywriting skills japo kibongo bongo copywriting skills watu bado hawajaidaka vyema lakini ni moja ya ujuzi muhimu mno kwenye soko la 👇🏽
Sasa linaloitwa “Skills Economy”
.
Baada ya Muda nikaamua Kutengeneza Mini- course inayohusu Online positioning kwa lengo la kuuza bidhaa/huduma yoyote
.
Kwasababu nilihisi kuna tatizo hilo Sokoni na watu wengi walikuwa wana kosa mauzo kibao kisa tu Jinsi 👇🏽
Wanavyojiweka Sokoni na sio Kwasababu bidhaa/huduma zao ni mbaya
.
Kwasababu wateja huwa wanamnunua mtu aliepo nyuma ya kile kimachouzwa na sio bidhaa/huduma kama Jinsi ilivyo
.
Ndio maana unaweza ukachukua ebook yangu ya copywriting au closing na usiweze 👇🏽
Kuiuza popote kwasababu hakuna anaenunua ebook watu wanamnunua eliyepo nyuma ya hiyo ebook ( They buy BRAND behind the product/service)
.
Mfano unaweza ukachukua madini yote ya @GillsaInt anayotema hapa TL ukatengenezea ebook ila cha ajabu hakuna mtu 👇🏽
Atakaenunua kutoka kwako lakini mwenye hayo madini anaweza akachukua ebook hiyo hiyo na akauza kama katanga
.
Unadhani ni kwanini?
.
Kwasababu watu hununua brand, watu humnunua eliyepo nyuma ya bidhaa/huduma (People buy people)
.
Chukua Hii hapa👇🏽👇🏽
“Watu wanaweza kucopy kila kitu kutoka kwako aidha Ni bidhaa/huduma kama Jinsi ilivyo ila hawawezi kucopy kitu kimoja tu ambacho ni UHUSIANO wako na wateja wako”
.
Okay tuendelee...
.
Ile course nilitengeneza kwasababu NILIHISI kuna uhitaji Sokoni 👇🏽
Neno nilihisi nimeliandika kwa herufi kubwa kwasababu ni kosa Kubwa Kutengeneza au kuuza bidhaa/huduma unayohisi watu wanaitaka
.
Usihisi, waulize au fanya utafiti wa kutosha juu ya kile unachotaka kukiuza
.
Kwahiyo kosa la kwanza ilikuwa ni kuhisi Kuwa watu
Walahitaji Course yangu
.
Kamwe usisahau kitu hiki hapa👇🏽
.
Usiuze bidhaa/huduma kwasababu unataka kuuza, Uza bidhaa/huduma ambayo wateja wako wanataka kununua
.
Kumbuka wewe sio mteja
.
Ukiuza au Kutengeneza bidhaa/huduma kwa kujiwaza wewe basi utajiuzia👇🏽
Mwenyewe
.
Nilipoteza Muda zaidi ya miezi miwili Kutengeneza course yenye zaidi ya videos 22 zenye dkk 10
.
Nikafungua YouTube Account kisha nikazipandisha kwenye Private Account ambayo huwezi kuona mpaka nikupe access baada ya kulipia
.
Nikiwa na furaha 👇🏽
Kwamba naenda kupiga mpunga kama laizer😃
.
Siku naitangaza course rasmi ebhana eh wateja walinipiga spana yaani course imetangazwa zaidi ya week sikufanya sale hata mtu mmoja
.
Swali likaja “WHY?” , kwanini hawanunui wakati naona kabisa wanahitaji 👇🏽
Positioning na branding ili Wauze bidhaa/huduma zao online?
.
Never Unlearn this👇🏽👇🏽
.
“Kuna tofauti kubwa sana Kati watu kuhitaji kile unachotaka kukiuza na Kuwa tayari kulipia kile unachotaka kukiuza”
.
Watu wanaweza kukwambia kabisa wanahitaji bidhaa/👇🏽
Huduma yako lakini kumbe Hawapo tayari kulipia Pesa ili kupata hiyo bidhaa/huduma yako
.
Wateja hawana tofauti sana na wajumbe wanaweza wakakutia upepo na ukapoteza Muda na pesa ukaleta bidhaa/huduma halafu Wakala kona
.
Fanya Hivi hapa chini ili kuepuka 👇🏽
Kuingia kwenye mtego huu kabla hujapoteza pesa na Muda wako
.
1. Kabla hujaingia gharama yoyote ya Kutengeneza bidhaa/huduma waulize kwanza wanahitaji kusolve tatizo gani hasa
.
Na baada ya kujua tatizo Lao waulize wanadhani watakuwa tayari kulipia Tshs👇🏽
Ngapi endapo mtu atawaletea solution ya tatizo Lao?
.
Kiufupi watakwambia kila kitu wanachotaka wao kununua sio kile unachotaka wewe kuuza
.
2. Tengeneza LISTS aidha ni e-mail lists, WhatsApp & Telegram Groups nk
.
Kwa Muda nlofanya biashara online 👇🏽
Nitakwambia hakuna kitu muhimu kama “LISTS”
.
List ndio soko lako lenyewe
.
Ukiniuliza ni kitu gani muhimu Kuwa nacho kwenye biashara yoyote online Nitakwambia ni “A HUNGRY CROWD” yaani soko lenye Njaa ya kile unachokiuza
.
Najua wengi watasema ni Copy👇🏽
Au copy
.
Nitakwambia Kuwa na Lists ni muhimu kwasababu utaweza kuuza bidhaa/huduma yako hata kama huna hata Mia ya kurun Matangazo siku hiyo
.
Utatuma tu OFA kwenye whatsApp, Telegram au e-mail list yako then Boooom you make money 👇🏽
Kama unataka Kutengeneza products mfano course au ebook na tayari una list yako fanya hivi👇🏽
.
Tengeneza Tittle tu ya ebook au Course Kabla hujaanza Kutengeneza anza kufanya “Pre-sell” (Pre-order)
.
Mfano..
.
Unawaambia kwenye groups zako au kwenye e-mail👇🏽
List yako au hata Followers wako wa social medias
.
“Una Mpango wa Kutengeneza Course au ebook yenye kusolve tatizo fulani na baada ya Course au ebook kukamilika itauzwa Tshs kadhaa
.
Ila nataka hii Course au ebook tuiandae wote Mimi pamoja nanyi
.
👇🏽
Course au ebook Hii itakapoisha itakuwa inauzwa Tshs 40,000
.
Lakini nataka nitoe nafasi kwa watu 100 tu watalipia Tshs 20,000 tu na watakuwa wa kwanza kuipata course au ebook Kabla haijatoka popote
.
Kumbuka hapo unatest market response Kabla 👇🏽
Hunapoteza Muda wako na pesa zako Kutengeneza kitu wasichokitaka wao
.
Ukiona wanaanza kulipia jua hicho kitu kita soko
.
Kwahiyo utajikuta umeshapiga HELA za pre sell hata kabla hujaandaa chochote
.
Na utajikuta unaandaa bidhaa/huduma tayari Ina soko na👇🏽
Wanaisubiri kwa hamu
.
Nakumbuka Course yangu ya Pili nilipiga mpunga hata kabla sijaandaa course
.
Siri Hii ni kubwa mno japo I learned it in a very hard way!
.
Chukua itumie haina haja ya kuijaribu tayari nilishaijaribu kwa ajili yako
.
Kikubwa zaidi👇🏽
Hongera sana kwa kusoma uzi huu mpaKa mwisho
.
Can you do me a Favor? (I know you said YES!)
.
RETWEET Uzi huu
.
Mgodi ndo unaanza kutema tanzanite 😃
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with AmosiNyanda

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!