Habari wapwa!
Sasa nimekuja kuelezea ahadi yangu niliyoitoa kuhusu👇👇👇
💢Kuflash simu ni nini?
💢Tools zitumikazo kuflash simu
💢Tofauti kati ya hard reset vs kuflash simu
💢Kuroot simu ni nini?
#Uzi 👇👇👇
*Softbrick
*Hardbrick
SOFTBRICK
-Hii ni hali ambayo pindi unaflash simu kabla haijamaliza process nzima simu inazimika yenyewe au ukaweka wrong firmware na simu ikazima au tatizo la umeme kuzimika, n.k
..Hii hali hufanana na softbrick lakin tofuati ni moja tu, hardbrick simu inaweza ikazima pindi unaflash kwa kuweka wrong firmware au tatizo la umeme, n.k sasa kabla hujamaliza simu ikazimika na kukataa kuwaka kabisa hata ukichomeka...
*Hivyo tuwe makini sana pindi tunaflash simu...
💢Hard reset vs kuflash simu.
Hard reset ni kitendo cha kurejesha mfumo wa simu kama awali, yaan ukifanya tu hivyo unaweza kufuta data zako zote na apps ambazo uliinstall mwenyewe..
Why?
...because, kwenye IMEI repair kuna temporary na permanet repair sasa ukitumia...
...hiki ni kitendo cha kuondoka umiliki wa simu kujipa wewe mwenyewe(administrative privilege).
...ukiroot simu ile warrant nayo inatoka, ukiroot simu unaweza kuifanyia chochote upendacho kama vile kuzitoa apps zote ambazo zimekuja na simu...
Mwishoo
__________________________
@TOTTechs @razaqdm01 @knwlerKIKoti @FettyDamass















