, 20 tweets, 10 min read
My Authors
Read all threads
#Library4Future

Sasa nimekuja, tunatakiwa tujue haya👇👇👇
💢Blog ni nini?
💢Aina kuu za Blogs
💢Domain ni nini?
💢Mifano ya Domain

Hitimisho
#Uzi 👇
💢Blog ni nini?
-Neno blog linatokana na maneno mawili ya kiingereza ambayo ni:-
&web logs
&logs

Tafsiri yake ni kuweka kwenye rekodi. Hivyo Blog ni aina ya tovuti ambayo inaongezewa makala mpya kila mara kuendana na maudhuo ya blog husika.
💢Kuna aina kuu mbili za blogs ambazo ni:-
(1)Blogs za bure
(2)Blogs zq kulipia

Ila kwenye huu uzi tutaelezea zaidi blogs za kulipia. Ili udesign blog inayolipa inahitaji vitu hivi

📍Top level Domain(TLD)
Sasa tuichambue hii Domain ni nini...👇
Domain ni nini?
-Domain ni jina la blog. Mfano; Jamiiforum.com, Millardayo.com
Yote haya ni majina ya blog au tovuti. Domain au jina la blog huwa na sehemu kuu mbili ambazo ni;
&Mzizi(jina)
&Kiambishi tamati(extension).

Hivyo jamiiforum
...na millardayo hayo yote mawili ni sehemu ya mzizi au jina na .com ni kiambishi tamati au Domain extension kama tulivyozoea kuziita.

Ili uwe na blog unayotaka iwe ina kulipa kitu cha kwanza kufikiria ni Top level domain na hizo domains huwa hazipatikani...
....bure bali unalipia na bei zao inategemea na kampuni unayotaka kununua hizo domain na bei zao zinaanza na 10, 000 na kuendelea.
Top level domain mara nyingi huwa baada ya jina la blog yako inafuatia extension(domain).
Mfano; Jamiiforums baada ya jina..
...mwishon inafuatia .com hivyo kwa pamoja tutasoma jamiiforum.com.

Zile ambazo sio Top level domains huwa za bure na unakua huna uhakika wa umiliki kwa 100% hivyo unaweza ukaamka siku inayofuata usiione blog yako hewani na ukiuliza utaambiwa...
...umekiuka masharti yao.

Hivyo ukitaka kuwa na blog itakayokuwa inakulipa kila mwezi unatakiwa ununue domain.
Blog ambazo sio top level domain huwa ndefu mfano; jamiiforum.blogspot.com
Sasa hii ni ngumu kutamka tofauti na top level domain
Tuchukulie mfano hawa jamiiforums wangeamua kutumia jina la bure kutoka Google kwa mfano, jina lao lingekua linasoma hivi; jamiiforum.blogspot.com si umeona tofauti na jamiiforums.com
Hivyo top level domain ni fupi na rahisi sana kutamka na kuikumbuka
Kwa kifupi unapochagua domain name angalia hiyo name iendane na contents zake. Mfano;-

.org domain
---Organization, hutumika kwenye organization hasa nacte.org

Huwezi sema nacte.com au tp.org
.net domain
---Network, hutumika kwa websites za mambo ya network kama CISCO na vyuo vya network mfano; udsm.net au cisco.net

.info domain
---information, hutumika kwa websites zinazohusu masuala ya information
👇
.com domain
-comercial, hii hutumika kwa blogs na website zinazofanya biashara mfano mwananchi.com

.mil domain
---Millitary, hiihutumika zaidi kwenye website au blog za jeshi mfano; jwt.mil.tz pia huwezi sema jwt.com
.go domain
--governiment, hii hutumika kwenye websites au blog za serikali mfano; tcu.go.tz huwezi sema tcu.com pia inaweza kuwa tcu.net inagegemea na website au blog imahusika contents gani.
.co domain
---Company, hutumika zaidi kwenye websites au blogs za kampuni. Mfano; azam.co.tz pia usikariri inaweza ikawa azam.com kwa sababu hujishughulisha na biashara. Angalia azam imajishughulisha na nini...
.ac domain
---Academic, hutumika kwa vyuo na taasisi husika zinazojihusisha na masuala ya elimu. Mfano; udom.ac.tz pia usikariri maana udom ni chuo kinaweza husika na network kitakua udom.ne au udom.co.tz
Hizo nilizozitaja ndizo Top level domains hivyo unapotaka kuanzisha blog au website angalia kwanxa hiyo website au blog itahusika na mambo gani kisha chagua domain name na lipia. Kwenye kununua domain name hutumika zaidi US dollars na unatakiwa uwe mjuzi...
...wa hizo mambo ili ufanikishw ukoshindwa tafuta wataalamu wakufanyie kazi kisha wanakupa uendeshe mwenyewe, kumbuka unaweza kufanya hosting ya website au blog yako.

Na unaweza kuchagua domain ya nchi yako. Mfano; .tz(tanzania), .ke(kenya), ug(uganda),
.uk(united kingdom)

Na mengine meengi.

Hitimisho!!
Viti vyw kudhingatia unapotaka kununua domain name ni kama hivi;
&Jina liwe fupi ili iwe rahisi kulitamka
&Liendane na maudhui ya blog au website. Mfano; jamiiforum, limebeba maudhu ya blog yenyewe.
NB: Kutokana na sheria za mitandao serikali imeamua kila mmiliki wa blog au webite anatakiwa kulipia hutegemeana na contents anazochapisha au biashara anayouza, n.k

Mwisho🛠🛠🛠
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with InfoLab

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!