Miaka kadhaa iliyopita nilipata mzuka wa kwenda kutimiza moja ya ndoto zangu kubwa - kupanda Mlima Kilimanjaro.

Siku zote nilitamani kufika juu kabisa ya "Paa la Afrika". Nikasema ipo siku tu!

Hatimaye siku zikawadia za kuitimiza ndoto yangu hii kongwe.

Ilikuwaje?

THREAD👇🏾
Kampuni niliyotumia inaitwa Origin Trails. Sikusafiri peke yangu, kundi letu tulikua 21. Njia tuliyotumia ni Marangu.

Gharama ilikuwa ni USD 560 kwa kila mmoja na hii ilihusisha kila kitu kuanzia usafiri Dar-Moshi, chakula, hoteli, vifaa, ada za getini, personal guides n.k.
MAANDALIZI YA SAFARI

Baada ya kuthibitisha ushiriki wangu kupanda Mlima Kilimanjaro, jambo la kwanza nilifanya medical checkup. Nikawa 100% fit kupanda mlima na hadi kufika kileleni.

Basi, nikaanza mazoezi. Nakimbia uwanja huki nazunguka mara 7-10 kila siku kuuandaa mwili..
..mazoezi ya kupandisha ngazi wanaojua jengo la Uhuru Heights.. Nimepanda na kushuka zile ngazi saana..

Pia tulikuwa tunafanya Sea Cliff Walk. Haya yalikuwa matembezi kutoka Upanga hadi Sea cliff kwenda na kurudi kila jumamosi kwezi mara mbili. Kim Beach Kigamboni kutembea etc..
Nilijisajili na kitengo cha Flying Doctors Africa. Hawa wako chini ya @Amref_Worldwide. Wanatoa huduma ya helikopta kwa ajili ya kufanya uokozi (rescue) mlimani pakitokea dharura.

Nilikuwa nikiambiwa kina huduma yeyote lazima nijisajili ili kujihami 😃😃
Kusema ukweli nilikuwa muoga sana kwa sababu ya stories niIizokuwa nikizisikia. So nilichukua tahadhari zote ukizingatia ndio mara yangu ya kwanza kwenda kupanda mlima na huwezi jua nini kitatokea huko juu milimani.

Fee ya @Amref_Worldwide ilikuwa ni 50$ kwa mtu mzima..
Nilisoma kila habari kuhusu Kilimajaro na kupanda Mlima; vifo vinavyotokea, risk ukiwa mlimani, mambo ya kufanya na kuepuka n.k.

Itoshe kusema nilijipanga haswa. Sikutaka kufanya makosa yatakayokuja kunigharimu safarini.

Nilishagusiwa kwa one mistake, safari inaaishia hapo 😣😣
Kwa leo niishie hapa.

Nashauri kila anayetaka kwenda kupanda Mlima huu ajipange vizuri kwenye maandalizi. Ukijiandaa vizuri, safari haitakuwa ngumu sana.

Kesho nitaanza na kituo cha kwanza cha safari hii ndefu yenye chungu na tamu zake.

Kituo hicho ni hii Milima ya Uluguru..

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Habiba Mtanzania 🇹🇿

Habiba Mtanzania 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!