Fahamu utajiri uliopo kwenye uwekezaji wa dhamana za Serikali(Treasury Bills & Bonds)
Uwekezaji kwenye dhamana za serikali umegawanyika makundi mawili.
i) Dhamana za muda mfupi (treasury bills)
ii) Dhamana za muda mrefu (treasury bonds)
Kwa nchi yetu ya Tanzania biashara ya dhamana za serikali inasimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kwa niaba ya serikali ya Tanzania.
Dhamana za muda mfupi (treasury bills)
Hizi ni dhamana za muda mfupi ikimaanisha zinaiva ndani ya mwaka mmoja. Lengo kubwa hasa kwa serikali kuweka Treasury bills ni kupata fedha kwa ajili kukabiliana na mapungufu ya fedha katika bajeti na pale inapohitaji fedha kwa haraka.
Dhamana za muda mfupi zipo katika makundi manne kutegemea na mda zitakapoiva: ya siku 35, siku 91, siku 182 na siku 364.
Uwekezaji katika Treasury bill una faida zifuatazo kwa mwekezaji;
i)Hazina hatari yoyote kubwa (risk free) kwa mwekezaji na ni uwekezaji wa uhakika kwa sababu zinatolewa na serikali.
ii)Zaweza kuhamishika kutoka umiliki wa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Ikimaanisha pale mwekezaji anapotaka kuuza anaweza akafanya hivo.
iii)Zaweza kutumika kama dhamana za kuombea mikopo kwenye taasisi za fedha bila usumbufu wowote kwa sababu thamani ya treasury bill coupon haibadiliki kwa hiyo ni rahisi kwa taasisi za fedha kuzipa kipaumbele kutumika kwenye dhamana.
iv)Gawio ni kubwa pale unapowekeza kwenye treasury bills zaidi hata ya kuwekeza kwenye taasis yeyote ya fedha kupitia fixed deposits. (namaana ya kwamba riba katika treasury bills ni kubwa maradufu ya riba za benki)
Soko la treasury bills
Biashara na soko la treasury bills zinafanyika kwa njia mbili;
a) Soko la awali (primary market) hapa ni pale banki kuu ya Tanzania inapotoa kwa mara ya kwanza treasury bills kwa wawekezaji.
b) Soko la pili (secondary market) hii inahusisha kuuza na kununua treasury bills na hii inafanyika Dar es salaam stock exchange DSE. Hapa ndipo pale mtu anapotaka kuuza treasury bills anayoimiliki anaweza kwenda kuuza.
Kianzio cha kuwa mwekezaji wa moja kwa moja kwenye treasury bills kwa Tanzania ni sh. 5,000,000. Ina maana kwamba ukiwa na mtaji wa kuanzia milioni tano basi unaruhusiwa moja kwa moja kushiriki kwenye mnada wa treasury bills (treasury bills auction).
Kwa wawekezaji wa mtaji chini ya milioni tano basi wao watashiriki kwenye mnada kupitia primary dealers ambao kwa urahisi ni mabrokers na commercial banks
Primary dealers ambao wamethibitishwa na BOT ni hawa wafuatao (ambao wale wenye mitaji chini ya milioni tano watapitia kwao) Akiba Commercial Bank Ltd, Citibank (T) Ltd, CRDB Bank Ltd, Diamond Trust Bank (T) Ltd, Eurafrican Bank (T) Ltd.Exim Bank (T) Ltd. Habib African Bank Ltd.
International Commercial Bank (T) Ltd. Kenya Commercial Bank (T) Ltd.NBC Limited. NMB Ltd. Stanbic Bank (T) Limited Standard Chartered Bank Ltd.Orbit Securities Co. Ltd. Rasilimali Limited Solomoni Securities Ltd. Core securities Ltd.
Unapata vipi pesa kupitia dhamana za muda mfupi?
Serikali kupitia BOT inapotoa treasury bills zinakuwa katika mfumo wa zabuni ikimaanisha kwamba wawekezaji watatakiwa kwa mfano kusema watanunua kila shilingi 100 ya serikali kwa kiasi gani? (hatua hiyo ya kwanza inaitwa bidding)
Ili kupata faida kwa wawekezaji wanatakiwa kutoa bei ambayo ipo katika discout, ikiwa na maana mwekezaji anaweza kununua shilingi 100 ya serikali kwa shilingi 93 hivo mda wa kuiva ukifika atapata faida ya shilingi 7.
Mfano serikali imetoa treasury bills ya siku 365. Kisha mwekezaji akaweka bid ya kununua kila shilingi 100 kwa shilingi 75. Kama mwekezaji atafanikiwa kwenye zabuni hiyo atapata treasury bill yenye (face value) ya Tzs 100,000,000 ingawaje kiasi alichotoa ni Tzs 75,000,000
kwa sababu ndicho kiasi alicho bid katika kabrasha la zabuni yake.
Baada ya treasury bills kuiva yaani kutimia siku 365, mwekezaji atalipwa na BOT kiasi cha TZS 100,000,000 ambayo italeta faida ya (TZS 100,000,000-TZS 75,000,000= TZS 25,000,000).
Hivo faida itakuwa ni TZS 25,000,000.
Ukiweka katika asilimia ni kama ifuatavyo;
- Kanuni ya kukokotoa riba katika treasury bills:
Riba=(F-P)/P ×(365×100)/N
F= face value ya treasury bills ambayo ni 100
P= bidding price ambayo ni 75 kama mfano unavosema
N= idadi ya siku treasury bills itapoiva mfano wetu ni siku 365
Riba= (100-75)/75 ×(365×100)/365
=0.3333×100
Riba = 33.33%
Ikiwa na maana kwa pesa ambayo utatoa kununua treasusry bills utapata gawio la asilimia 33.33% ndani ya siku 365 yaani mwaka mmoja tu.
• • •
Missing some Tweet in this thread? You can try to
force a refresh
Je, Kuna uwezekano kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA @freemanmbowetz kuoneshwa Mubashara kwenye vituo vya TV?
Mhe. Rais @SuluhuSamia katika mahojiano na @BBCNews umesema kesi ya Bw. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka kwa usawa na uwazi.
Kutokana na ukweli kwamba tangu mwalimu Julius Nyerere apewe kesi ya aina hiyo ‘UGAIDI’ na wakoloni wa Uingereza hakuna kiongozi wa kisiasa amshafunguliwa mashtaka ya aina hiyo tangu Uhuru. Basi itakuwa vema @judiciarytz ikimpa Bw. Mbowe ‘open, fair and transparent trial’
Kesi ya Bw. @freemanmbowetz ina ‘public interest’ kubwa sana. Ili kujenga imani na @judiciarytz uendeshaji mzima wa jaribio ‘trial’ ufanyike mubashara. Watanzania na dunia iweze kufuatia shauri hili lenye maslahi makubwa kwa demokrasia, haki na utawala wa Sheria. Ni ushauri wetu.
Ni maajabu kuona CHADEMA wanamjibu Rais @SuluhuSamia katika masuala mbalimbali ambayo ametoa maoni yake Kikatiba.
Swala la @freemanmbowetz Rais SSH amesema wazi tuache @judiciarytz wafanye kazi yao na kuhakikisha Haki inatendeka.
UKWELI MCHUNGU, hakuna utulivu ndani ya CHADEMA, tulitegemea wachukue MUDA kutafakari na kuyafanyia kazi yale aliyosema Rais @SuluhuSamia sio kukurupuka kuita ’Press’ eti wanamjibu. Watakuwa wanamjibu kila akifanya mazungumzo?
KWAMBA RAIS KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA
Ni dai lenye akili ambalo halijazingatia ’logic na facts’. Rais @SuluhuSamia amejibu swali la @Salym na kupitiliza kidogo kuzungumzia kesi ya Mbowe kitendo ambacho hata Chadema wamekuwa wakisema kuwa Mbowe kafunguliwa mashtaka ya kisiasa.
CHADEMA wanakutana kujadili mahojiano ya Rais @SuluhuSamia na @bbcswahili ili kujibu nini?
Tumeona mahali @godbless_lema ameandika kwamba @ChademaTz kitakutana kujibu mahojiano ya Rais SSH na @Salym, wanataka kukutana kujibu nini?
Chama kinaendeshwa kwa matukio? 🧐
Tunashauri CHADEMA waache kukurupuka na kuparamia kila jambo. Tunashauri kwa mapenzi yetu kwa CHADEMA, Rais Samia kasema kuna Uhuru wa Habari, Baada ya Uchaguzi tujenge Nchi, Kesi ya Mbowe ilikuwepo lakini upelelezi haukuwa umekamilika, tuache Mahakama itafsiri sheria.
Ukweli Mchungu, wote humu tunajua kwamba ni kweli kesi ya @freemanmbowetz ilikuwepo, sio ya sasa, Rais amesema uongo? Kuhusu swala la kujenga CHADEMA wanatakiwa kujitathimini, kuanzisha na kuendeleza migogoro isiyoisha hakutatupa mwanya kushiriki katika Ujenzi wa nchi.
Mahojiano Maalum ya Rais @SuluhuSamia aliyofanya na @bbcswahili na mwandishi nguli @Salym yamegusa mambo mengi kwa mfano;
• Demokrasia
• Uhuru wa Habari na Vyombo vya Habari
• Uhuru wa kujieleza na kutoa maoni
• Siasa bbc.com/swahili/habari…
• Uhuru wa vyama vya siasa kufanya siasa
• Uchumi
• Hali ya maisha ya watanzania
• Tozo Mpya za Miamala
• Kesi ya UGAIDI inayomkabili Bw. @freemanmbowetz
• Uhuru wa Mahakama @judiciarytz kutoa Haki.
Mwandishi @Salym ameuliza maswali mazuri ambayo yana tija kwa sasa.
Mwandishi @Salym amegusa kila eneo ambalo alipaswa kugusa kwa weledi kabisa. Kwa wale waliotazama mahojiano hayo watagundua kuwa Rais @SuluhuSamia amejitahidi kujibu kila swali aliloulizwa. Mwandishi amefanya kazi yake vema sana na amegusa maeneo yote muhimu aliyopaswa kugusa.
Tofauti ya uwekezaji wa hati fungani na masoko mengine ya mitaji kama Hisa
Hatifungani ni tofauti kabisa na masoko mengine ya mitaji kwa mfumo wake na hata faida zake.
Kwenye hatifungani unapata faida bila ya kujali uchumi unakwendaje. Kwa sababu unaponunua hati fungani unajua kabisa ni riba kiasi gani unapata kwa mwaka. Lakini kwenye hisa hujui ni faida kiasi gani unapata kwenye uwekezaji wako.
Faida inategemea na hali ya uchumi, uimara wa Soko.
Kwenye hisa unapata faida pale hisa zinapofanya vizuri na unapata hasara pale hisa zinapofanya vizuri. Kwenye hatifungani unapewa riba uliyoambiwa bila ya kujali fedha ulizowekeza zimezalisha au la.
I think there can be a collective activism. Maybe some symbolize the struggle for human's rights and Equality a little more than others, but I think it's absolutely necessary for the activists to be united in order to make the struggle effective,
instilling hatred and blocking other activists for personal reasons kills the power of struggle and helps the oppressor. No struggle for justice has ever been won anywhere in the world without unity and solidarity of the frontline defenders.
I think if we, say, if all of the major activists in this struggle for human's rights, equality, rule of Law are at, at war with each other, then I think it would be very difficult to make this social revolution the kind of powerful revolution that we wish to be.