#TOTTechs Profile picture
Aug 21, 2021 23 tweets 11 min read Read on X
ARTIFICIAL INTELLIGENCE (AI) [ AKILI BANDIA ]

Akili Bandia (AI) hii ni Teknolojia inayozipatia mashine uwezo wa akili ya kibinadamu ili kuweza kufikiria na kutenda matendo kama kibinadamu.

Je, hizi AI zikoje na zianatumika wapi?

THREAD [ UZI ] 👇

#ElimikaWikiendi
Watu wengi wakiona neno AI ( Artificial Intelligence) hufikiria moja kwa moja ni roboti. Ili iwe AI inahitaji Software(Program endeshi) na Hardware. Software ndio kama ubongo unahitaji kupachikwa data ambazo zitakuwa zinatoka command/maelekezo kwenye hardware.

#ElimikaWikiendi
AI ina jifunza (learning), Fikiri (reasoning) na mtazamo (perception). Ndivyo hivyo sehemu ya akili ya binadamu inafanya kazi. Kwa miaka ya sasa hii Teknolojia inakuwa kwa kasi sana.

Imefikia hatua wataalamu wanataka AI iwe na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi kama mwanadamu,
AI iweze kutafsiri na kutatua matatizo makubwa bila uhitaji wa binadamu

Teknolojia ya 5G ina changia kwa asilimia kubwa Teknolojia hii kufanya kazi kwa viwango vinavyotakiwa.Baadhi ya watu waliopo kwenye nchi zilizoendelea wanaanza kuishi ndani ya hii Teknolojia
#ElimikaWikiendi
Mtu anafanya asilimia kubwa ya shughuli za nyumbani kupitia simu yake au sauti yake pekee.

Makampuni makubwa kama Google, Amazon n.k yamekwisha anza kuitumia hii Teknolojia kwenye majukumu yao ya kila siku. Ni faida kwa dunia pia vivyo hivyo kuna hasara zake.

#ElimikaWikiendi
JINSI AI INAVYOFANYA KAZI

Hapa tunarudi kwenye zile points zetu 3.

🔸Learning processes
Hii ni issue ya algorithm hapa AI inatafuta data na kuweza kuzifanya ziweze kutoa maagizo hatua kwa hatua ili kuweza kukamilisha kazi inayotakiwa ikamilike.

#ElimikaWikiendi
🔸Reasoning processes
Hapa program ya AI inachagua algorithm sahihi ili kufikia lengo linalotakiwa

🔸Self-correction processes
Hii sehemu imeundwa kwenye program ya AI kuweza kuitayarisha vizuri algorithms na kuhakikisha zinatoa matokeo sahihi zaidi iwezekanavyo
#ElimikaWikiendi
AI imegawanyika katika makundi mawili (Weak na Strong AI)

Weak Artificial
Hii inapatiwa uwezo wa kufanya kazi moja kama ilivyo Siri ya Apple, Google assistant, Cortana, Alexa au Ella ya Tecno hapa unamuuliza swali anakujibu kulingana na maulizo yako

#ElimikaWikiendi
Strong Artificial

Hii inapatiwa uwezo mkubwa kama ilivyo akili ya binadamu ambapo inaweza kutatua tatizo gumu bila binadamu kuingilia/kusaidia. Mfano Machine zinazotumika hospitali kwenye vyumba vya operesheni, hizo ni Strong AI

#ElimikaWikiendi
AI INATUMIKA WAPI?

🔸Huduma za afya

Kwa miaka ya hivi karibuni hii Teknolojia imepokelewa vizuri sana kwenye hii sekta ya afya. Zimetengenezwa mashine zenye uwezo mkubwa wa kutambua ugonjwa zaidi ya akili ya binadamu pia zinapunguza gharama za mgonjwa.

#ElimikaWikiendi
Teknolojia inayojulikana sana kwenye hii nyanja inaitwa IBM Watson Healthcare AI. Hii system inachimba taarifa za mgonjwa na vyanzo vingine na kutengeneza hypothesis tuseme ni Nadharia au Maelezo ya hizo taarifa na namna ya kutibu

#ElimikaWikiendi
🔸Elimu

Hii Teknolojia itakuja kuchukua nafasi ya waalimu kutokana na namna inavyookoa muda na kupunguza gharama. Siyo jambo zuri kwenye suala la Ajira na pia ni zuri kwenye uboreshaji na utoaji wa Elimu.

#ElimikaWikiendi
Artificial Intelligence ina uwezo wa kuandaa masomo, kufundisha Darasani, kujibu maswali, kutunga Mitihani, kusahihisha Mitihani, Ku-grade matokeo na kutoa Reports. AI ina uwezo wa kutambua uwezo/uelewa wa kila Mwanafunzi

#ElimikaWikiendi
🔸Kwenye Sheria
Sifa ya hii Teknolojia inaokoa muda na inamboreshea mteja huduma, kuna baadhi ya wanasheria wamekwisha anza kusifia uwezo wa hizi mashine katika kutabiri matokeo.
Tumeona hivi karibuni kuna Roboti wakili ametengenezwa, inauwezo wa kuandaa Ripoti na kusimamia kesi kama ilivyo kwa binadamu, pia AI inasadia idara za usalama kukamata wahalifu, kutambua kama kuna ajali inatokea sehemu flani n.k

#ElimikaWikiendi
🔸Social Media

Social Media hutumia AI Tools kukusanya na Kutambua taarifa za watumiaji, Matangazo kwenye Social Media hutumia AI ili kumfikia mlengwa kulingana na sehemu alipo, kama uko Tanzania utaona matangazo ya Tz tu na baadhi ya vitu unapenda kufanya

#ElimikaWikiendi
AI inakusoma nini unapenda kuangalia kwenye Mtandao, mfano YouTube inakupa Suggestion videos kulingana na Search zako etc

Makampuni yanatumia Chatbots kuwasiliana na wateja wake 24/7, kuna Automated Content creator kutengeneza na ku-manage contents za makampuni

#ElimikaWikiendi
🔸Usafirishaji
Huku hii Teknolojia imepiga hatua kubwa sana sasa kuna magari yanayojiendesha yenyewe, traffic controller 🚥, kutambua muda wa ndege kutua na kuboresha usalama wa usafiri wa maji.

#ElimikaWikiendi
🔸 Huduma za kibenki

Inasahidia kurahisisha customer care kwa wateja mfano Chatbot, kutambua na kutunza taarifa zote za mteja kwa muda mfupi na kutoa muongozo. Kuzuia/kutambua wizi wa fedha, ku-verify malipo ya kibenki N.K, vitu vingi vya kibenki hulindwa na AI Softwares
🔸Viwandani

Huku pia AI inatumika sana, mfano viwanda vya vinywaji hutumia AI kuchanganya na kubalance ingradients etc, Viwandani hutumia AI kutengeneza na ku-process bidhaa kwa wakati, Hii inapunguza ajira maana kazi nyingi hufanywa na AI

#ElimikaWikiendi
🔸Kilimo

Kilimo cha sahihi hutumia teknolojia ya AI kusaidia kugundua magonjwa kwenye mimea, wadudu,na lishe duni ya mimea kwenye shamba. Teknolojia ya AI inaweza kugundua na kulenga magugu na kisha kuamua ni dawa gani inayoweza kutumika kwa usahihi

#ElimikaWikiendi
Kwenye maisha yetu ya kila siku tunatumia Artificial Intelligence, mfano unatumia Google Maps,Siri, Alexa au Cortana au Games kwenye vifaa vyako, Automatic Doors, Smart Home mfano Friji za kisasa unaweza ku-monitor hata kama uko mbali. AI imerahisisha vitu vingi

#ElimikaWikiendi
FAIDA ZA AI
🔸 Inaboresha upatikanaji wa huduma za kijamii.
🔸 Inapunguza gharama.
🔸 Inatoa ajira

HASARA ZA AI
🔸Usiri na Usalama wa taarifa za watu
🔸Gharama za kuweka mifumo
🔸Inapunguza ajira

#ElimikaWikiendi

AHSANTENI

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs

#TOTTechs Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

Sep 23, 2023
SABABU ZINAZOPELEKEA SIMU KULIPUKA.

Hivi karibuni tumeona matukio ya simu kulipuka zikiwemo simu za Oneplus Nord 2, Galaxy Note 7 na
baadhi ya simu ya nyingi zikiwemo simu kutoka kampuni ya iPhone, Oppo, Xiaomi, Vivo, n.k

Powered by #ElimikaWikiendi × @fiidzsocial

UZI MFUPI 👇
Image
Image
Kati ya matukio makubwa ya simu kulipuka ilikuwa ni simu za
Galaxy note 7 hii ilipelekea Samsung kuomba simu hizo zirudishwe kiwandani kwa uchunguzi zaidi.

Matukio ya simu kulipuka yanajirudia kila siku japo kuna makosa ya kiufundi makosa na mtumiaji.

#ElimikaWikiendi
Image
Image
SABABU KWANINI SIMU ZINALIPUKA.

1. Kasoro za utengenezaji.

Moja ya sababu au kasoro inayofanya simu zilipuke ni kutoka kwa watengezaji (kiwandani), Betri ya Lithium-ion ambayo hutumika kwenye smartphone inahitaji kujaribiwa vizuri kabla kusafirishwa.

#ElimikaWikiendi Image
Read 24 tweets
May 30, 2023
Maoni ya busara kwa leo.

Uzi mfupi

• Kama wewe ni Fan/shabiki wa kitu au kampuni flani, unatakiwa ujue kuheshimu mawazo ya watu wengine, unatakiwa ujue kutofautisha kizuri na kibaya, unatakiwa ujue kutofautisha Facts/ukweli na Opinions/maoni.  👇 ImageImageImageImage
• Acha kuhoji na kubeza maamuzi ya watu, ingawa unaweza kutoa maoni yako kuhusu maamuzi yao.

• Unapoibeza kampuni nyingine kwa kufanya kitu, lakini unatetea kampuni unayoipenda kwa kufanya kitu kile kile, hiyo inamaanisha WEWE ndiye tatizo.
• Wakati mtu X anakejeli kikundi cha watu flani, usitarajie hicho kikundi cha watu kusema kitu cha busara kujibu taarifa ya mtu X.

• Unapomwambia mtu jambo la hovyo/ajabu usitegemee kukuheshimu au kupata majibu ya heshima kutoka kwake
Read 10 tweets
Dec 18, 2021
Wakati huu tunapo kwenda likizo za sikukuu za Christmas na mwaka mpya, huwa ni muda mzuri kukaa na familia zetu, ndugu, jamaa na marafiki kutafakari mwaka ulivyokuwa na kujiandaa na mwaka unaofuata.

#ElimikaWikiendi

STADI/SKILLS ZA MUHIMU KUJIFUNZA

UZI [THREAD] 👇
Pia ni kipindi ambacho watu wengi hupendelea kuwepo mitandaoni. Wakati unatumia mitandao ni vyema ukapata ujuzi mpya wa namna unaweza faidika na mitandao.

Tutakuelezea baadhi ya ujuzi wa mtandaoni unaoweza kuwa na faida kwako kwa namna moja ama nyingine.

#ElimikaWikiendi
ONLINE SHOPPING

huu ni ununuzi wa bidhaa na huduma mtandaoni bila ya wewe kuwepo katika duka au biashara husika kimwili.

Ni rahisi sana kujifunza namna ya kununua vitu mtandaoni kutoka sehemu yoyote ile Duniani na malipo hufanyika kwa njia ya mtandao.

#ElimikaWikiendi
Read 18 tweets
Aug 7, 2021
BITCOIN, BLOCKCHAIN AND CRYPTOCURRENCIES

Turudi nyuma mwaka 2008, Bwana mmoja aitwaye Santoshi Nakamoto mtaalamu wa Computer na Hesabu alitengeneza Program na kuiita jina la BITCOIN

Je, Bitcoins ni nini na zinafanyaje kazi ?

Twende na uzi 👇

#ElimikaWikiendi
Bitcoin ni toleo la pesa taslimu ya ki-mtandao ( peer-to-peer version of electronic cash ) ambayo unaweza kutuma moja kwa moja kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine pasipo kupitia taasisi za fedha kama benki, Mobile money etc, unahitaji kuwa na internet tu

#ElimikaWikiendi
Kitu muhimu kwenye Bitcoin huwezi kugushi/forge, miamala fake haiwezi kufanyika, siyo lazima uwe na kitambulisho cha Taifa ( National ID) wala Bank account, Bitcoin iko decentralized ( imegawanyika ), mwamala ukifanyika hauwezi kubadilishwa na ina ulinzi sana

#ElimikaWikiendi
Read 25 tweets
Aug 1, 2021
VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA MacBook

Je! Unampango wa kununua MacBook mpya? Kabla ya kufanya ununuzi unahitaji kuielewa MacBook.

Aina nyingi za MacBook zinapatikana sokoni. Tutakusaidia kununua MacBook bora kulingana na mahitaji yako

Uzi mfupi 👇
Kabla ya kufanya ununuzi wowote angalia toleo la MacBook ambalo utaenda kununua. Kila Mwaka Apple hutoa toleo jipya la MacBook, unaweza kutembelea Apple’s official website, news, na social media kujua mda ambao Apple watatoa toleo Jipya
AINA ZA MacBook:

Kuna aina mbili za MacBook, MacBook Pro na MacBook Air: MacBook Air ni Nyembamba, nyepesi na ni rahisi kusafiri nayo wakati MacBook Pro ni nene kidogo.

Zote ni nzuri lakini zina utofauti sana kwenye Miundo ya ndani ( Internal Architecture & Specs)
Read 11 tweets
Jul 31, 2021
Tesla Motors ni moja ya kampuni zenye ubunifu zaidi katika magari. Elon Musk, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo kwa sasa ni mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni. Hivi karibuni, C.E.O wa Tesla na SpaceX alisema kwamba alijaribu kuuza kampuni yake ya gari kwa Apple 👇
Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Apple, Tim Cook aliripotiwa kukataa kupanga mkutano kujadili ofa hiyo. Hiyo ilibainika baada ya Musk Ku-tweet kwenye Page yake juzi alipoulizwa na Mwandishi wa BBC Kuhusu Habari iliyovuma kuwa alitaka kuwa CEO wa Apple mwaka 2016
Kulingana na ripoti hiyo, Elon anadai kwamba hakuwahi kuzungumza na wala kumwandikia Tim Cook. Lakini bilionea huyo alisema aliwahi kuomba mkutano kati yake na Tim Cook juu ya Apple kuichukua Tesla, na hakupata majibu yoyote wala mkutano haukufanyika.
Read 5 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(