SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile picture
Sep 8, 2021 16 tweets 5 min read Read on X
LEVERAGE: kifaa muhimu zaidi unachohitaji kutoboa.

In a Nutshell🧵
1. Wote hapa nahisi tulimsoma mgiriki Archimedes, moja kati ya Mathematicians wachache sn waliobarikiwa naturally.

Ubongo wa Archimedes ulituletea ugunduzi wa mashine nyingi za mwanzo zilizochangia kuleta modern civilization.🙏🏾 Image
Archimedes aliwahi kusema “Give me a lever long enough and a fulcrum on which to place it, and I shall move the world.”

Simple yet very complex. ImageImage
3. Kiufupi Archimedes alimaanisha ‘ukiwa na fimbo ndefu, chini ya hiyo fimbo ukaiwekea support fulani, basi utaweza kusogeza kitu chochote’

Principle rahisi na ndio uvumbuzi uliotuletea wheelbarrow (mkokoteni)

Kitu kama hiki👇🏾 👇🏾 Image
4. Kimsingi point ya Archimedes ni kwamba Mwanadamu pekeyake hajakamilika, ili kupata maximum efficiency lazima apewe supportive tools.

Kuwa na uwezo wa kutafuta external supportive tools za kukusaidia kufanikisha jambo lako ndio ‘leveraging’ na hizo tools ni leverage Image
5. Mfn mimi na ww kila m1 akapewa task ya kukata miti 365 kila mti tunalipwa elfu 10 total inakuwa

Ukiamua kukata mti mmoja kila siku, itakuchukua mwaka mzima kupata 3,650,000

Mimi nikiamua kuita watu 100 wanisaidie, kwa mti nawalipa 5,000. Nitatumia siku 4 kuingiza 1,825,000 Image
6. Its basically working less but getting paid more... hakuna mtu yyt duniani amewahi kufanikiwa bila kutumia leverage.

Sasa tuingie ndani kuelewa leveraging. Kuna aina 6 za tofauti za leverage
i. Time Leverage
Since siku 1 ina masaa 24, kama task yako inahitaji masaa 100, ili kumaximaze faida inabidi hiyo task uifanye siku 1. But how?!

Unanunua muda wa mtu. Thats time leverage... kumwajiri mtu kukusaidia task maanake umenunua muda wake.

Elon alisema juzi👇🏾
ii. Technology leverage
Kazi za mashine ni kuturahisishia kazi na kuongeza efficiency... na since mashine zinahitaji nguvu kazi kubwa kuoperate, unahitaji automated system kufanya machine iwe efficient zaidi

Sasa hii ndio technology leverage Image
iii. Communication leverage
Bidhaa/Service unayotoa ili iwe kubwa zaidi unahitaji uwafikia watu wengi zaidi. Since una mdomo mmoja tu unawafikiaje watu wengi zaidi?

Unanunua audience ya watu wengine kupitia Database, magazine, social media, influencers’ audience etc Image
iv. Network leverage
Una mishe yako potential sana ambayo unahitaji blessings za katibu wa wizara

Ila ww ndio kwanza umetoka chuo, huelewi kbs hata wizarani unafikaje. What do u do?

Unatumia mahusiano uliyonayo na watu wengine kupata mahusiano mapya na watu unaowahitaji kutoboa Image
v. Knowledge/Skill leverage
Kuna aina 2 ya mitaji
i. Monetary Capital
ii. Human/physical capital

Kama tu walivyosema kidole kimoja hakivunji chawa, unahitaji kidole cha pili. Kwenye kutoboa unahitaji watu wenye knowledge, skills na experience
vi. Financial leverage
Una mil 1 lkn ili utusue unahitaji mil 5, hiyo mil 4 unaitoa wapi? Lazima ujue kuLeverage
-partnership
-grands
-Joint Venture
-Mkopo

Lkn mimi naipenda zaidi Investment Leverage. Hapa traders na investors watanielewa zaidi.
Unafungua trading acc lk bahati mbaya huna mtaji mkubwa wa kukimbizana na movement za soko unafanyaje?

Unaombq leverage ili uwe na uwezo wa kutrade financial assets nyingi zaidi. Mfn una mtaji $100, unachukua leverage ya 100

So automatically unakua na uwezo wa kutrade $10,000 Image
Kama umechukua route ya kukomaa na mtaa kwa kujiajiri ni LAZIMA ujue the art of leveraging and using other peoples’ resources for mutual benefics.

Lengo ni kukurahisishia safari yako ya mafanikio na kupunguza muda wa kusota kabla hujatoboa.
“Give me a lever long enough and a fulcrum on which to place it, and I shall move the world.” Archimedes

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with SIR JEFF⚡🇹🇿

SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Sirjeff_D

Jan 3
THE MONEY GAME...💵

Soma huu uzi kama una miaka 18-30.

Uzi 🧵👇 Image
1. Nimeshakua maskini mpk kufika hatua ya kukosa mia 5 ya kula mlo mmoja wa mihogo.

Nishakua na pesa mpk kufikia hatua ya kuishi apartment ya $2k (Tzs 5M) per month, in the wealthiest suburb in the country.

Na nisharudi hatua ya kulala hostel chumba cha elfu 40 per month... Image
2. Katika hivi vipindi vyote viwili nimejifunza vitu vingi sn.

Kwenye huu uzi kwa leo nitashare vichache nilivyojifunza kwa sababu ya muda (majukumu) na changamoto ya mtandao huku porini nilipo kujitafuta upya baada ya kuanguka chini tena, from riches.

Tuanze sasa... Image
Read 18 tweets
Oct 11, 2022
Katika maisha yng sijawahi kufanyiwa job interview,so sijui experience inakuwaje mtu akiwa intervied

Ila, nimefanikiwa kuinterview mamia ya watu,nikimsikiliza mtu kwa dakika 10 tu najua km anafaa ama hafai

Kuna vitu employers huangalia,ukiwa navyo vitakutofautisha na wenzio
🧵
Watu wengi wanaingia kwenye chumba cha interview na fikra potofu.

Wengi wanazungumzia experience zao
Wengi wanazungumzia juhudi na jitihada zao
Wengi wanazungumzia elimu/ufaulu wao
Wengi wanazungumzia qualifications zao

WRONG APPROACH

Utatembeza sana CV!!
Employer anakutana na mamia ya watu wenye elimu, ufaulu, juhudi nk; ili kustand out of the crowd inabidi uwe MEMORABLE & RELATABLE

1. Memorable
First impression matters, simaanishi ukivaa suti utapata kazi ama ukivaa jeans utakosa kazi. HAPANA!

Unatakiwa usitoke kichwani kwa…
Read 14 tweets
Feb 17, 2022
Being successful begins with how you THINK🧠

It’s a thread 🧵
1. First Principle Thinking🧠

Break down any complex problem into it’s most fundamental/basic elements and reassemble from ground up.

It allows you to filter noise and cut through clouded assumptions, where you don’t really have to follow the crowd or norm

Think for yourself
2. Objective thinking🧠

Reasoning without the influence of emotions, perception, beliefs, imagination, superstition or bias.

It helps you to think rationally, and see things from a different viewpoint

Have emotional discipline to resist opinions, instincts and herd mentality
Read 10 tweets
Feb 13, 2022
KANYE WEST: The King of HIPHOP and The Greatest RAPPER of All Time.

Ufalme wa Saint Pablo, Yeezus, LV Don.👑

Uzi🧵 Image
1/ Mwaka 1667 science ilibadilika kbs ika-advance zaidi hadi leo miaka 355 tupo hapa tulipofika

Sir Isaac Newton alijiuliza swali ambalo hkn binadamu aliwahi kujiuliza kabla

Kwanini tunda linaanguka chini kutoka mtini? Kwanini lisigande hewani? Kwanini lisiende juu ama sideways Image
2/ Newton hakupata majibu lkn haikumzuia kutafuta majibu. Kwenye kutafuta majibu, akazama ndani zaidi

Swali ‘apple kuanguka mtini’ lili-invent branch mpya ya hesabu, CALCULUS ambayo ina sub-branches 2;

Differential na Integral, ambazo zitarevolutionize sayansi kwa miaka 355+ Image
Read 35 tweets
Jan 31, 2022
Crypto Twitter njooni tupige story: 🧵

Mimi kama long-term crypto assets investor, nimejiuliza nawezaje kupata passive income ya muda mfupi, wakati nasubiri returns za muda mrefu.

Nikakutana na huu mgodi 🧵
Kwanza niseme tu... huu uzi ni wa kudiscuss; sio financial advice.

Pia, niseme mimi kama investor moja ya responsibility yangu ni kumanage risk... Hiyo inaweza kuhusisha mimi kupoteza part ya capital yangu.

Sasa tuendelee...
1/ nimekutana na smart contract protocol inayorun kwenye AVAX inaitwa @thornodes . Ni fork ya $strong na $rise . Model yao ya passive income ni kwa “noding”

Unanunua node, then hiyo node inagenerate passive income. Funds za kwenye treasury zinatumika na protocol ku...
Read 15 tweets
Jan 8, 2022
Jan 7 mwaka 1943 katika chumba kidogo wake umekufa ulikutwa umekufa. FBI walifika ndani ya dakika 30 na kuchukua kila kitu walichokuta.

Kabla ya kifo chake aliishi kinyonge, akiwa mpweke, afya mbovu na fukara.

Nini kilimtokea mwanasayansi NIKOLA TESLA.

🧵In a nutshell Image
1/Ukiamka asubuhi ukachomeka simu kwenye charger, ukaenda kuwasha heater uoge, then ukaenda jikoni kupasha chakula kwenye oven, na kuchukua maziwa kwenye fridge

Unaanza kula huku unatazama TV ukimaliza uwashe gari uende kuchakarika. Vyote hivi visingewezekana bila Nikola Tesla. Image
2/Siku aliyozaliwa kulikuwa na radi kali sana mpk daktari akatia “atakukua mtoto mwenye nguvu za radi” mama’ke akasema “hapana atakuwa na nguvu za mwanga💡” (radi ni kelele tu, mwanga ndio real energy)

Tesla alizaliwa Croatia 1856, familia duni sana lkn mama’ke alikua genius🤯 Image
Read 31 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(