SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile picture
Sep 29, 2021 18 tweets 4 min read Read on X
UZI KWA CRYPTOCURRENCIES TRADERS AND INVESTORS.

In a Nutshell 🧵
1/n) Huu sio uzi wa kuzungumzia kwanini kijana yoyote smart anatakiwa kujua technolojia ya Cryptocurrencies etc

Huu ni uzi specific wa kijana smart kutafuta fursa za kupiga pesa wakati hii space ikikua kwa kasi sana GLOBALLY.
2/n) Kuweka hela yako leo kwenye Crypto ni sawa na kuweka hela yako kwenye Amazon 1995, kipindi ambacho 99% ya watu duniani walikua hata hawaelewi Internet ni nini na italeta mapinduzi gani duniani miaka 20 baadae

Mtu aliyeweka $1,000 kwenye Amazon 2000 leo angekuwa na $2 mil
3/n) Lakini hiyo miaka ya 90s pia kulikuwa na Internet projects nyingi sana kama Amazon ambazo zimekufa na leo haziExist kbs

zingine zilisurvive miaka kadhaa then baadae zikaja kuzidiwa innovations na kampuni mpya, zikatolewa kbs kwenye existence.

Wapo watu wakapoteza pesa.
4/n) Same applies to Cryptos

Kuna zaidi ya Cryptos 10,000 sasa hivi, na kila siku kuna Cryptos mpya. Ila ktk hizi ni projects kama 50 tu or even less zitaSurvive mpk 2030

Nyingi zitakufa, na watu watapoteza sana pesa zao kwenye Crypto. Crypto italiza sana watu
5/n) Lakini kuna Outliers wachache ambao watatajirika insanely na Cryptos. Cryptos 50 ambazo zitaSurvive by 2030, zitatajirisha vijana smart vibaya mnooo.

Cryptos & Token-Based Economy itatajirisha watu kuliko Land ikivyotajirisha wazee smart wa 90s walionunua plots O’bay & Co
6/n) Mara ya kwanza kbs naisikia Bitcoin ilikuwa FB, nilijua ni Pyramid Scheme tu. Ilikuwa kitu km $200 hivi

Mara ya 2 ikashika attention yangu nilivyoona CEO wa Voda kipindi hicho Ian Ferrao kaPost Chart ya Bitcoin

Ningeweka $1,000 kipindi hiko leo ingekuwa $200K - $300K
7/n) Kazi yako kama kijana SMART na tajiri wa baadae ni kujua Crypto projects ambazo zitaSurvive by 2030. We will be in our 30s & 40s, bado vijana kbs

Swali... Sasa Jeff unaangalia nini kujua kama hii Prohect itaSurvive na hii Itakufa?

Jibu...
8/n)
i. MATUMIZI - Utility
Hiyo Crypto project ina matumizi gani ktk Kukuza human civilization. Hiyo project inajaribu kusolve tatizo gani?

Mfn ni Uber imerahisisha sana interaction kati ya abiria na dereva ktk industry ya usafirishaji.

Tafuta Crypto inayosolve tatizo fulani.
9/n)
ii. Thamani - Value
Tafuta crypto project yenye thamani kwasasa na kwa baadae.

Japo Warren Buffett sio Investor mzuri kwenye Technology, lkn kupitia mafanikio yake katufundisha somo kubwa la ‘Value Investing’

Thamani ya Solana ni kubwa kuliko Ethereum. Hope naeleweka
10/n)
iii. Crypto Fundamentals
Tofauti na traditional investments huku tunaangalia zaidi facts & figures. Hakuna siasa!

- On-chain & market metrics
Hua natumia CryptoQuant

- Project metric
Hua nasoma White Paper ya hiyo Crypto Project, nijue purpose na tech behind the project
11/n)
-Tokenomics
Hapa ni kujua uchumi wa Token ya hiyo crypto project.

Coin zipo ngapi kwenye mzunguko, ICO ilifanyikaje, token ni inflationary ama deflationary

Coins mpya zinaingiaje kwenye mzunguko, node operations na Mining kama ipo, ipoje?

Coin distribution pia naangalia.
12/n)
-Financial Metrics
Market Capitalization (supply x price)
Liquidity: urahisi wa kuuza ama kununua token (uwepo wa buyers & sellers)
Transaction count

Hizi zote ni fundamental metrics za crypto project Muhimu kuzifahamu

Lkn kitu cha mwisho kuangalia ni...
13/n)
iv. TEAM & Community
Who is the team behind a crypto project. Credibility yao? Crypto Philosophy yao?

Filosofi ya @IOHK_Charles na @VitalikButerin na @gavofyork na @BenJorgensen ni tofauti kabisa.

Jamii inasema nini huku hiyo crypto project
14/n) CRYPTO PROJECTS ZA KUKWEPA (redflags🚩)

i. Epuka sana Crypto project ambayo haina track record. Unakuta crypto haijulikani, haitambuliki, haina history. Crypto imeanza 2021 June😂 Image
ii. Epuka Meme & community coins
Sijui Flock, DaddyDoge,Safemoon. Zote hizi zinakufa

Iii) Epuka crypto ambazo hazitatui kitu chochote

iv) Epuka Give aways. Hizi zipo sana utaziona kwenye comments za social medias

v) Epuka Kufata mkumbo kama nyumbu with FOMO-Fear of Missing Out
15/n) USIJE KUWEKA HATA SHINGI 100 YAKO KWENYE KITU USICHOKIELEWA

-Fanya research
-Tafuta taarifa sahihi (Google, YT, Reddit)
-Uliza maswali
-Double check
-Usiwe na pupa, relax & think
-Verify taarifa ulizokusanya
16/n) USHAURI WANGU
i. Kuwa smart na fanya maamuzi makini
ii. Usiweke hela yako kwenye Shitcoins
iii. Epuka kuhesabu kuku kabla mayai hayajatagwa
iv. Price ya muda mfupi isikupotezee muda
v. Elewa unachokifanya

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with SIR JEFF⚡🇹🇿

SIR JEFF⚡🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Sirjeff_D

Jan 3
THE MONEY GAME...💵

Soma huu uzi kama una miaka 18-30.

Uzi 🧵👇 Image
1. Nimeshakua maskini mpk kufika hatua ya kukosa mia 5 ya kula mlo mmoja wa mihogo.

Nishakua na pesa mpk kufikia hatua ya kuishi apartment ya $2k (Tzs 5M) per month, in the wealthiest suburb in the country.

Na nisharudi hatua ya kulala hostel chumba cha elfu 40 per month... Image
2. Katika hivi vipindi vyote viwili nimejifunza vitu vingi sn.

Kwenye huu uzi kwa leo nitashare vichache nilivyojifunza kwa sababu ya muda (majukumu) na changamoto ya mtandao huku porini nilipo kujitafuta upya baada ya kuanguka chini tena, from riches.

Tuanze sasa... Image
Read 18 tweets
Oct 11, 2022
Katika maisha yng sijawahi kufanyiwa job interview,so sijui experience inakuwaje mtu akiwa intervied

Ila, nimefanikiwa kuinterview mamia ya watu,nikimsikiliza mtu kwa dakika 10 tu najua km anafaa ama hafai

Kuna vitu employers huangalia,ukiwa navyo vitakutofautisha na wenzio
🧵
Watu wengi wanaingia kwenye chumba cha interview na fikra potofu.

Wengi wanazungumzia experience zao
Wengi wanazungumzia juhudi na jitihada zao
Wengi wanazungumzia elimu/ufaulu wao
Wengi wanazungumzia qualifications zao

WRONG APPROACH

Utatembeza sana CV!!
Employer anakutana na mamia ya watu wenye elimu, ufaulu, juhudi nk; ili kustand out of the crowd inabidi uwe MEMORABLE & RELATABLE

1. Memorable
First impression matters, simaanishi ukivaa suti utapata kazi ama ukivaa jeans utakosa kazi. HAPANA!

Unatakiwa usitoke kichwani kwa…
Read 14 tweets
Feb 17, 2022
Being successful begins with how you THINK🧠

It’s a thread 🧵
1. First Principle Thinking🧠

Break down any complex problem into it’s most fundamental/basic elements and reassemble from ground up.

It allows you to filter noise and cut through clouded assumptions, where you don’t really have to follow the crowd or norm

Think for yourself
2. Objective thinking🧠

Reasoning without the influence of emotions, perception, beliefs, imagination, superstition or bias.

It helps you to think rationally, and see things from a different viewpoint

Have emotional discipline to resist opinions, instincts and herd mentality
Read 10 tweets
Feb 13, 2022
KANYE WEST: The King of HIPHOP and The Greatest RAPPER of All Time.

Ufalme wa Saint Pablo, Yeezus, LV Don.👑

Uzi🧵 Image
1/ Mwaka 1667 science ilibadilika kbs ika-advance zaidi hadi leo miaka 355 tupo hapa tulipofika

Sir Isaac Newton alijiuliza swali ambalo hkn binadamu aliwahi kujiuliza kabla

Kwanini tunda linaanguka chini kutoka mtini? Kwanini lisigande hewani? Kwanini lisiende juu ama sideways Image
2/ Newton hakupata majibu lkn haikumzuia kutafuta majibu. Kwenye kutafuta majibu, akazama ndani zaidi

Swali ‘apple kuanguka mtini’ lili-invent branch mpya ya hesabu, CALCULUS ambayo ina sub-branches 2;

Differential na Integral, ambazo zitarevolutionize sayansi kwa miaka 355+ Image
Read 35 tweets
Jan 31, 2022
Crypto Twitter njooni tupige story: 🧵

Mimi kama long-term crypto assets investor, nimejiuliza nawezaje kupata passive income ya muda mfupi, wakati nasubiri returns za muda mrefu.

Nikakutana na huu mgodi 🧵
Kwanza niseme tu... huu uzi ni wa kudiscuss; sio financial advice.

Pia, niseme mimi kama investor moja ya responsibility yangu ni kumanage risk... Hiyo inaweza kuhusisha mimi kupoteza part ya capital yangu.

Sasa tuendelee...
1/ nimekutana na smart contract protocol inayorun kwenye AVAX inaitwa @thornodes . Ni fork ya $strong na $rise . Model yao ya passive income ni kwa “noding”

Unanunua node, then hiyo node inagenerate passive income. Funds za kwenye treasury zinatumika na protocol ku...
Read 15 tweets
Jan 8, 2022
Jan 7 mwaka 1943 katika chumba kidogo wake umekufa ulikutwa umekufa. FBI walifika ndani ya dakika 30 na kuchukua kila kitu walichokuta.

Kabla ya kifo chake aliishi kinyonge, akiwa mpweke, afya mbovu na fukara.

Nini kilimtokea mwanasayansi NIKOLA TESLA.

🧵In a nutshell Image
1/Ukiamka asubuhi ukachomeka simu kwenye charger, ukaenda kuwasha heater uoge, then ukaenda jikoni kupasha chakula kwenye oven, na kuchukua maziwa kwenye fridge

Unaanza kula huku unatazama TV ukimaliza uwashe gari uende kuchakarika. Vyote hivi visingewezekana bila Nikola Tesla. Image
2/Siku aliyozaliwa kulikuwa na radi kali sana mpk daktari akatia “atakukua mtoto mwenye nguvu za radi” mama’ke akasema “hapana atakuwa na nguvu za mwanga💡” (radi ni kelele tu, mwanga ndio real energy)

Tesla alizaliwa Croatia 1856, familia duni sana lkn mama’ke alikua genius🤯 Image
Read 31 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(