#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture
Dec 18, 2021 18 tweets 9 min read Read on X
Wakati huu tunapo kwenda likizo za sikukuu za Christmas na mwaka mpya, huwa ni muda mzuri kukaa na familia zetu, ndugu, jamaa na marafiki kutafakari mwaka ulivyokuwa na kujiandaa na mwaka unaofuata.

#ElimikaWikiendi

STADI/SKILLS ZA MUHIMU KUJIFUNZA

UZI [THREAD] 👇
Pia ni kipindi ambacho watu wengi hupendelea kuwepo mitandaoni. Wakati unatumia mitandao ni vyema ukapata ujuzi mpya wa namna unaweza faidika na mitandao.

Tutakuelezea baadhi ya ujuzi wa mtandaoni unaoweza kuwa na faida kwako kwa namna moja ama nyingine.

#ElimikaWikiendi
ONLINE SHOPPING

huu ni ununuzi wa bidhaa na huduma mtandaoni bila ya wewe kuwepo katika duka au biashara husika kimwili.

Ni rahisi sana kujifunza namna ya kununua vitu mtandaoni kutoka sehemu yoyote ile Duniani na malipo hufanyika kwa njia ya mtandao.

#ElimikaWikiendi
HOME WIFI NETWORK

Inawezekana nyumbani kwako kuna shida ya mtandao hasa upande wa internet na kila mtu humo ndani analalamika kuhusiana na hili.

Home WiFi network ni mtandao ambao unakupa uwezo wa kupata internet kupitia kifaa kimoja kiitwacho router

#ElimikaWikiendi
Home wifi network unaweza kupata kwa urahisi kutoka kwa mtoa huduma ( Internet Service Provider) yeyote anayetoa huduma maeneo ya nyumbani kwako.

Mfano nunua WiFi Router na Modem kutoka TTCL, jifunze kuunganisha na vifaa vyako kama Simu, Computers, Smart TV

#ElimikaWikiendi
DIGITAL MARKETING

ni utangazaji wa bidhaa/huduma ya chapa/Brand Fulani kwa kuunganisha biashara hiyo na wateja kupitia internet na miundo mingine ya mawasiliano ya mtandao. Hii inahusisha utumiaji wa email, mitandao ya kijamii na mesejii.

#ElimikaWikiendi
Kwenye digital marketing unaweza kuwa unatangaza biashara yako au biashara ya mwingine na faida yako iko katika kipato utakachopokea kupitia matangazo hayo

• Content Marketing
• SEO
• Affiliate Marketing
• Pay-per-click Marketing
• Social Media Marketing

#ElimikaWikiendi
UI/UX DESIGNING

Websites na apps zote unazoziona hazikuundwa tu hivi hivi. Kuna watu wenye ujuzi wa kufanya designing tunaowaita UI/UX designers.

Watu hawa huwa na ujuzi wa kuandaa michoro au designs za namna muonekano uwe ili kurahisisha utumiaji wa mfumo

#ElimikaWikiendi
Na kumshawishi mtumiaji kuendelea kutumia mfumo huo.

UI/UX haikuhitaji kuwa na elimu tofauti na uelewa wa watu wanatumia vipi simu/PC zao na kutengeneza muonekano mzuri wa system unaoshawishi mtu kutumia.

Unaweza kujifunza UI/UX Designing kupitia mtandao

#ElimikaWikiendi
BORESHA USALAMA

Kipindi cha sikukuu kubwa kama hizi za Christmas na Mwaka mpya, huwa kuna uhalifu kwa kiwango kikubwa hasa wizi manyumbani na biashara. Hii ni kwasababu watu wengi husafiri na kuacha biashara zao bila usalama wa kutosha.

#ElimikaWikiendi
Boresha usalama wa nyumbani au biashara yako kwa kufunga CCTV cameras, Alarm systems, Funga taa janja zinazajiwasha giza linapoingia, kuwa makini na vitu unapost mtandaoni na usiache ishara yoyote kwamba umesafiri

#ElimikaWikiendi
BLOCKCHAIN, NFT & CRYPTOCURRENCIES

Dunia ya leo ni tofauti na dunia ya miaka ya 1980's, tupo kwenye digital/Information age ambapo mambo mengi yanafanyika kupitia mtandao. Kuanzia kuwasiliana, ununuzi na malipo ya bidhaa, usafirishaji, Masomo mtandaoni etc

#ElimikaWikiendi
Tukiangalia kwa Amazon pekee, zaidi ya Packages million 1.6 hununuliwa kwa siku, zaidi ya Order 66,000 kwa saa, na kuna wauzaji wa kujitegemea zaidi ya 9.1 Million Duniani, kwahiyo unaweza kuona Pesa inayozunguka Mtandaoni

#ElimikaWikiendi
Tupo kwenye Dunia ya Digitali na malipo kwenye baadhi ya huduma yanafanyika kwa Fedha ya mtandaoni, ni muhimu sana kwa sasa kujifunza au kuwa na uelewa wa Cryptos, NFT na Blockchain maana tunakoelekea itakulazimu kuzitumia kulingana na ushawishi mkubwa wa soko la mtandaoni
INTERNET OF THINGS (IoT)

Teknolojia inakua na matumizi ya internet yanaongezeka, vifaa vinavyotengenezwa sasa ni "Smart Devices" Je uliwahi kufikiri kama unaweza kuunganisha Jokofu/Friji na simu yako ya mkononi, unaweza kuzima au kuwasha TV hata kama uko mbali?

#ElimikaWikiendi
Umewahi kufikiria kama unaweza kupata taarifa zote za gari yako kupitia simu yako? Yote hayo yanafanyika sababu ya Internet of Things ( IoT ), Internet of Things maana yake "Everything is Connected" Jifunze namna IoT inavyofanya kazi uendane na dunua ya leo

#ElimikaWikiendi
GRAPHICS

Hapo awali watu wengi waliamini ili kujifunza Graphic designing lazima uwe umesomea IT, lakini nikwambie kitu mtu yeyote anaweza kujifunza designing, Dunia inahamia mtandaoni hasa upande wa Biashara ni muhimu kuwa na uelewa/skills za Graphics

#ElimikaWikiendi
Kuna Tools ambazo unaweza kuanza nazo na unaweza kutumia hata simu yako ya mkononi endapo kama hauna Computer, baadhi ya hizo tools

• Canva
• Pixlr
• Affinity Designer
• Figma
• Fotor
• Adobe Photoshop

Zipo nyingi ila unaweza kuanza na hizo.

#ElimikaWikiendi

SHARE

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with #TOTTechs 🇹🇿

#TOTTechs 🇹🇿 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @TOTTechs

Sep 23, 2023
SABABU ZINAZOPELEKEA SIMU KULIPUKA.

Hivi karibuni tumeona matukio ya simu kulipuka zikiwemo simu za Oneplus Nord 2, Galaxy Note 7 na
baadhi ya simu ya nyingi zikiwemo simu kutoka kampuni ya iPhone, Oppo, Xiaomi, Vivo, n.k

Powered by #ElimikaWikiendi × @fiidzsocial

UZI MFUPI 👇
Image
Image
Kati ya matukio makubwa ya simu kulipuka ilikuwa ni simu za
Galaxy note 7 hii ilipelekea Samsung kuomba simu hizo zirudishwe kiwandani kwa uchunguzi zaidi.

Matukio ya simu kulipuka yanajirudia kila siku japo kuna makosa ya kiufundi makosa na mtumiaji.

#ElimikaWikiendi
Image
Image
SABABU KWANINI SIMU ZINALIPUKA.

1. Kasoro za utengenezaji.

Moja ya sababu au kasoro inayofanya simu zilipuke ni kutoka kwa watengezaji (kiwandani), Betri ya Lithium-ion ambayo hutumika kwenye smartphone inahitaji kujaribiwa vizuri kabla kusafirishwa.

#ElimikaWikiendi Image
Read 24 tweets
May 30, 2023
Maoni ya busara kwa leo.

Uzi mfupi

• Kama wewe ni Fan/shabiki wa kitu au kampuni flani, unatakiwa ujue kuheshimu mawazo ya watu wengine, unatakiwa ujue kutofautisha kizuri na kibaya, unatakiwa ujue kutofautisha Facts/ukweli na Opinions/maoni.  👇 ImageImageImageImage
• Acha kuhoji na kubeza maamuzi ya watu, ingawa unaweza kutoa maoni yako kuhusu maamuzi yao.

• Unapoibeza kampuni nyingine kwa kufanya kitu, lakini unatetea kampuni unayoipenda kwa kufanya kitu kile kile, hiyo inamaanisha WEWE ndiye tatizo.
• Wakati mtu X anakejeli kikundi cha watu flani, usitarajie hicho kikundi cha watu kusema kitu cha busara kujibu taarifa ya mtu X.

• Unapomwambia mtu jambo la hovyo/ajabu usitegemee kukuheshimu au kupata majibu ya heshima kutoka kwake
Read 10 tweets
Aug 21, 2021
ARTIFICIAL INTELLIGENCE (AI) [ AKILI BANDIA ]

Akili Bandia (AI) hii ni Teknolojia inayozipatia mashine uwezo wa akili ya kibinadamu ili kuweza kufikiria na kutenda matendo kama kibinadamu.

Je, hizi AI zikoje na zianatumika wapi?

THREAD [ UZI ] 👇

#ElimikaWikiendi
Watu wengi wakiona neno AI ( Artificial Intelligence) hufikiria moja kwa moja ni roboti. Ili iwe AI inahitaji Software(Program endeshi) na Hardware. Software ndio kama ubongo unahitaji kupachikwa data ambazo zitakuwa zinatoka command/maelekezo kwenye hardware.

#ElimikaWikiendi
AI ina jifunza (learning), Fikiri (reasoning) na mtazamo (perception). Ndivyo hivyo sehemu ya akili ya binadamu inafanya kazi. Kwa miaka ya sasa hii Teknolojia inakuwa kwa kasi sana.

Imefikia hatua wataalamu wanataka AI iwe na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi kama mwanadamu,
Read 23 tweets
Aug 7, 2021
BITCOIN, BLOCKCHAIN AND CRYPTOCURRENCIES

Turudi nyuma mwaka 2008, Bwana mmoja aitwaye Santoshi Nakamoto mtaalamu wa Computer na Hesabu alitengeneza Program na kuiita jina la BITCOIN

Je, Bitcoins ni nini na zinafanyaje kazi ?

Twende na uzi 👇

#ElimikaWikiendi
Bitcoin ni toleo la pesa taslimu ya ki-mtandao ( peer-to-peer version of electronic cash ) ambayo unaweza kutuma moja kwa moja kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine pasipo kupitia taasisi za fedha kama benki, Mobile money etc, unahitaji kuwa na internet tu

#ElimikaWikiendi
Kitu muhimu kwenye Bitcoin huwezi kugushi/forge, miamala fake haiwezi kufanyika, siyo lazima uwe na kitambulisho cha Taifa ( National ID) wala Bank account, Bitcoin iko decentralized ( imegawanyika ), mwamala ukifanyika hauwezi kubadilishwa na ina ulinzi sana

#ElimikaWikiendi
Read 25 tweets
Aug 1, 2021
VITU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA MacBook

Je! Unampango wa kununua MacBook mpya? Kabla ya kufanya ununuzi unahitaji kuielewa MacBook.

Aina nyingi za MacBook zinapatikana sokoni. Tutakusaidia kununua MacBook bora kulingana na mahitaji yako

Uzi mfupi 👇
Kabla ya kufanya ununuzi wowote angalia toleo la MacBook ambalo utaenda kununua. Kila Mwaka Apple hutoa toleo jipya la MacBook, unaweza kutembelea Apple’s official website, news, na social media kujua mda ambao Apple watatoa toleo Jipya
AINA ZA MacBook:

Kuna aina mbili za MacBook, MacBook Pro na MacBook Air: MacBook Air ni Nyembamba, nyepesi na ni rahisi kusafiri nayo wakati MacBook Pro ni nene kidogo.

Zote ni nzuri lakini zina utofauti sana kwenye Miundo ya ndani ( Internal Architecture & Specs)
Read 11 tweets
Jul 31, 2021
Tesla Motors ni moja ya kampuni zenye ubunifu zaidi katika magari. Elon Musk, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo kwa sasa ni mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni. Hivi karibuni, C.E.O wa Tesla na SpaceX alisema kwamba alijaribu kuuza kampuni yake ya gari kwa Apple 👇
Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Apple, Tim Cook aliripotiwa kukataa kupanga mkutano kujadili ofa hiyo. Hiyo ilibainika baada ya Musk Ku-tweet kwenye Page yake juzi alipoulizwa na Mwandishi wa BBC Kuhusu Habari iliyovuma kuwa alitaka kuwa CEO wa Apple mwaka 2016
Kulingana na ripoti hiyo, Elon anadai kwamba hakuwahi kuzungumza na wala kumwandikia Tim Cook. Lakini bilionea huyo alisema aliwahi kuomba mkutano kati yake na Tim Cook juu ya Apple kuichukua Tesla, na hakupata majibu yoyote wala mkutano haukufanyika.
Read 5 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(