Tatizo kubwa sana linalozikabiri biashara nyingi leo si ukosefu wa bidhaa bali ni....

Fuatana nami katika #UZI Huu makini

Fanya ku ❤️ kisha Retweet 🔁🔁 ku show love and Support

Tayari? Haya twendezetu tule madini⤵️
Naam...

Tatizo kubwa sana linalozikabiri biashara nyingi leo si ukosefu wa bidhaa bali ni....
ukosefu wa Wateja.....

Bidhaa unayouza/Kutengeneza unajua kabisa hauko peke yako sokoni ila una washindani kibao..
Lakini pia Makampuni mengi yanaweza kuzalisha bidhaa nyingi kuliko mahitaji ya wateja wanavyo weza kununua....

Na kutokana na uwezo huo, wanapotengeza bidhaa huweka makisio ya juu sana ya ukuaji wa biashara, wanapofika kwenye soko mambo huwa tofauti kwa ground...
kwani kama walidhani biashara ingekuwa kwa asilia 10 inapokuwa kwa asilimia 3 au 2 wanafikiri kama washindani wao wamefanya zaidi....

Jambo hilo hupelekea kuanza fujo ya soko kwa mshawasha wa kupata wateja zaidi....
Hapo BEI zitashushwa, zitatolewa zawadi kwa wateja(giveaway) za kumwaga n.k.....
Njia hii huonekana ni nzuri lakini hushusha kiwango cha faida, hushusha uzalishaji na biashara au makampuni mengine hufa kabisa.
Kumbe wakati mnahangaika kushusha bei ili kushindania wateja na washindani wako nao huwenda wana hali mbaya zaidi yako...
Kosa Au Tatizo Liko Wapi?

Usihofu nipo kwa ajili ya kuifanya 2022 iwe ya tofauti kwenye biashara yako....

Unachotakiwa kufanya ni kunifollow na kuweka alama ya kengere on ili usipitwe na madini maana mgodi ushafunguliwa sasa....
Lakini pia kuna Mgodi wa @NyandaAmosi

Naomba Uretweet  🔁 huwezi jua kuna mtu anahitaji madini haya

Asante

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Nickson Kisinga

Nickson Kisinga Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @shemasiwazamu

28 Dec
Baada ya kujua kwamba Wateja ndiyo bidhaa adimu Sokoni leo wacha nikupe ufunguo ambao watu na Makampuni mengi wanaudharau.....

Ufunguo huu utakuwezesha kunasa wateja kama Dan Bilzerian  na madem zake... @NyandaAmosi anamfahamu huyu kamanda

UZIII TYM, YEEEAHH Image
Ngoja kwanza, unaweza ku ❤️ kisha Retweet 🔁 ku show support?... Eeh ndiyo hivyo, wengi watapata madini ukifanya hivyo...

Asante sana,

Twendezetu tukale
madini ⤵️
MASOKO au kwa Kizungu (MARKETING)

Ndiyo jibu litakalo kusaidia kuwashinda washindani wako badala ya kushindana kushuusha beeeiiii weee mpaka unaleta changamoto kwa biashara yako unauza bila faida.... Kuna mbinu za kufanya punguzo, uzi wa siku nyingine huo..... Image
Read 13 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(