James Munisi Profile picture
Feb 24, 2022 β€’ 18 tweets β€’ 8 min read β€’ Read on X
#UZI
πŸ’¨ Juzi Marekani na UE zilizungumza kauli za kibabe dhidi ya Urusi sasa Urusi kaamua kulishambulia jeshi la Ukraine kila pande.

Tusubiri kama Marekani atajaribu kuingiza mguu kuizuia Urusi, kuna nchi kama China zinaitamani sana Super Power japo kwasasa wanajifanya πŸ‘‡ Image
Wapo kidiplomasia zaidi ila ikianza hii ligi ya wakubwa Xi Jinping lazima aungane na mwanae wa faida Putin kupambana na Marekani.

Hii vita haina tena faida kwa Marekani tuone NATO watachukua maamuzi gani dhidi ya Urusi na mbaya zaidi Urusi kaingia Ukraine akiwa Image
na Wana Ukraine kibao wanaompa sapoti, anaweza akapambana kuwaua Viongozi wa Ukraine wanaomsumbua na akapachika Viongozi wake na hii kitu Marekani alikwisha isema mwanzo.

Toka mwanzo nilisema Marekani ina uwezo mkubwa sana kijeshi lakini Urusi ni nchi ambayo haitabiriki Image
Urusi ni nchi ambayo huwa inafanya mambo mengi sirini tofauti na Marekani.

Urusi ina Raisi ambaye in nature ni jasusi (KGB) akili mingi ukiangalia namna anavyoongea kwenye speech zake toka mwanzo wa huu mzozo unaweza kuona ni mtu ambaye Image
akurupuki kuongea, anaongea kama malaika mwenye kauli tata.

Mtu aliyewaambia UE (Umoja wa Ulaya) msiiunganishe Ukraine na jeshi la NATO, UE wakamwambia hoja yako haina mashiko.

Akapeleka Wanajeshi zaidi ya 100,000 mpakani mwa Ukraine kufanya mazoezi ya kawaida tuh Image
Tena muda huo wanaita Wanahabari na kuwaambia sisi hatuna mpango wa kuivamia Ukraine ni utaratibu wetu wa kufanya mazoezi "ety Ukraine tumekanyaga ardhi yenu kwani! Ukraine: hamjakanyaga 😁😁"

Marekani wanawajua vizuri Urusi wakawa wanasisitiza Urusi wanaivamia Ukraine. Image
Huku wakawa wanawapatia Ukraine msahada ya silaha nzito nzito na mitambo mikubwa ya kisasa ya computer, NATO nao hawakua nyuma wakawa wanasogeza vikosi karibu na Ukraine.

Wanajeshi wakamaliza mazoezi wakasepa na kuna wengine wakaenda Syria kufanya mazoezi. Image
NATO nao wakaendelea kusogeza vikosi karibu na wao kufanya mazoezi.

Putin huwa anasema Ukraine ni ndugu zake na watarudi kwenye himaya ya Urusi. Image
KARATA YA VIKWAZO
Hii inaonekana ni karata ya hovyo iliyochangwa mbele ya Urusi, kuna nchi unaweza kuziwekea vikwazo na zikarudi nyuma kutaka majadiliano.

Marekani ilisimama mstari wa mbele kumuwekea Urusi vikwazo huku nchi nyingi za Ulaya zikiwa zinalia wakiongozwa na Ujerumani Image
Kuna mradi wa bomba la gesi la Nord Stream 2 ambalo linatoa gesi kutoka Urusi kupeleka Ujerumani, hili Bomba limetengenezwa bado halijaanza kufanya kazi. Image
Sasa Ujerumani ikamtishia Urusi kuwa tutaliwekeza vikwazo ilo bomba lisitumike hapa ni sawa na Rafael awatishie Tanesco anajikatia umeme

Kumbuka bado ile Nord Stream 1 bado inaendelea kusafirisha hiyo gesi kwenda Ujerumani. Kinachotokea sasa Ulaya ni vitu kupanda bei. Image
Urusi wamewekewa vikwazo vingi vya kiuchumi kitu ambacho kinaziathiri nchi za Ulaya yaani hivi vikwazo vikitoboa miezi 3 bila kulegezwa watanyooka.

Urusi wala hajali yupo kwenye aridhi ya Ukraine na NATO haina uwezo wa kumpiga Urusi zaidi ya kumtegemea Marekani. Image
Je Marekani atasubutu kuingiza mguu kwenye maji yaliyorojeka? Na kwa faida ya nani? Marekani tumezoea kumuona akizivamia nchi ambazo anajua akifika anazitembezea dozi huku kwa Mrusi haelewi atatembeza au atatembezewa dozi.

Biden ataendelea kuzingumza kauli za kibabe dhidi ya Image
Urusi? Ikiwa hivyo lazima kidimuliwe.

Putin anasema wanaojiingiza kwenye mzozo wa Ukraine watashuhudia madhara ambayo hawajawahi kuyaona hapo awali.

Hiyo ni kauli inayotoka kwa Mwamba mmoja aliyeko kwenye nchi moja dhidi ya nchi zaidi ya 30 zinazompinga
Image
Putin alitangaza maeneo ya Donetsk na Luhansk kuwa ni maeneo huru akamkemea vikali kwamba anavunja sheria za kimataifa.

Leo Ukraine yote unapigwa moshi tatu tatu mpaka Kyiv mji mkuu wa Ukraine wajuba wamefika. Urusi inaharibu assets za majeshi ya Ukraine. Image
Urusi wameivamia Ukraine na wanataka Wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini.

Raisi wa Ukraine anasema watapambana kulilinda taifa lao na raia yeyote anayetaka silaha atampa. Muda huo huo Raisi wa Mtata wa Belarus anasema Ukihitajika msahada wa kijeshi Ukraine atamsaidia Urusi. ImageImage
NATO na Marekani zitathubutu kusaidia?

Raisi wa Ufaransa Emmanuel ameitisha kikao cha dharura cha NATO tusubirie majibu

Umoja wa Mataifa unamsihi Urusi arudishe majeshi nyuma.

Antonio Guterres anawaomba Urusi wafanye amani ndani ya Ukraine πŸ™Œ
twitter.com/antonioguterre… Image
Tusubirie hatua zitakazochukuliwa na NATO na Marekani turn on πŸ””

Je hii ndiyo sehemu ndiyo sehemu ofisi za @SimuZaNjiwa zilipo? ndio ni hapa Infinix Tower, Roundabout ya zamani Uhuru/Msimbazi, Kariakoo.
πŸ“ž 0745100757 ImageImage

β€’ β€’ β€’

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
γ€€

Keep Current with James Munisi

James Munisi Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @NjiwaFLow

Sep 23, 2023
πŸ’¨ Kuna maswali mengi yamekuwa yakiendelea juu ya kipi salama wakati wa kucharge simu.

Nilishatoa tips za mambo ya kufanya ili kulinda battery lako la simu pamoja na Kompyuta.

Leo nakuletea maswali Saba(7) muhimu ambayo watu huniuliza sana katika mada hii... Image
Ya kuhifadhi Battery la simu.

Ungana na mimi mwanzo mpaka mwisho. Naamini Swali lako ulilokua ukijiuliza litajibiwa na huu uzi.
1. Je ni salama kucharge simu yako Usiku?

HAPANA.
Kama utakuwa umegundua, simu zinapungua charge hatakama ukuwa huitumii.

Kuthibitisha hilo icharge simu yako mpaka 100% kisha uiache ikiwa ON bila kuitumia, baada ya muda flani utakuta imepungua charge kwa asilimia kadha.
Read 16 tweets
Sep 19, 2023
πŸ’¨ Tumeona kuwa simu mpya za Apple, iphone 15 series zimetoka.

Simu hizo zinatarajiwa kuanza kuuzwa madukani Tarehe 22, September 2023.

Lakini kabla ya kununua hizi simu unatakiwa ujue tofauti zake.

Leo nakuletea tofauti kati ya matoleo yote ya iPhone 15 na bei zake. Image
iPhone 15 series zimetoka katika makundi makuu manne.
~ iPhone 15
~ iPhone 15 plus
~ iPhone 15 Pro
~ iPhone 15 Pro Max

Ambazo zote zinatofautiana kulingana na specsification zake.

Leo nitakuelezea tofauti ya kila moja kwa kipengele kimoja kimoja.
1. UKUBWA WA SCREEN NA SIZE.
Kwenye ukubwa wa screen hapa
iPhone 15 na iPhone 15 Pro zitakuwa na ukubwa sawa wa 6.1 inch.

ambayo ni ndogo ukilinganisha na iPhone 15 Plus na iPhone 15 Pro Max ambazo zinakuja na display yenye 6.7 inch

Vipimo hivyo ni sawa na iPhone 14. Image
Read 18 tweets
Aug 27, 2023
πŸ’¨ Kufanya Partition katika Pc au kompyuta ni jambo muhimu sana katika kompyuta.

Humuwezesha mtumiaji wa kompyuta kugawa Hard disk yake katika makundi ya storage.

Hapo utaweza tenganisha storage yenye ma-file ya system na yako yenye ma-file binafsi. Hii itasaidia kuzuia... Image
Pertion ya system kujaa!!

Bila kupoteza Muda ungana na mimi leo nikuelekeza step by step namna ya kufanya pertition kwenye Pc au kompyuta hako!.

Ziko njia Mbili za kufanya pertion kwenye kompyuta yenye Windows 10/11

1. Kwa kutumia Disk Management
2. Kwa kutumia Diskpart
1. Kwa kumia Disk Management
Swali:
Utawezaje kufanya Pertition ya C. Drive, bila kufuta vitu(formating disk)?

Utaweza kufanya hivyo kwa kugawanya space iliyobakia ambapo itakubidi uache storage kidogo kwenye local Disk C ili isijae.

Zifuatazo ni steps za kufanya pertition
Read 14 tweets
Jul 18, 2023
πŸ’¨ Hivi unafahamu cha kufanya pale simu yako itakapo dumbukia kwenye Maji??

Leo nimepa ta ujuzi kidogo nikaona sio mbaya ku-share na nyinyi.

Yawezekana simu yako ni water resistant. Hii inamaanisha kuwa simu yako haitaathiriwa na maji kwa muda flani, haimaanishi kuwa..πŸ‘‡πŸΎ Image
Simu yako ni water proof!. Mpaka sasa hivi duniani hamna simu ambayo ni water proof.
Water proof inamaana kuwa simu yako haiingii maji hatakama utaiacha Mwaka mzima kwenye maji yenye kina chenye urefu wowote.

Tuache stories twende kwenye point.
Simu yako imedumbukia..πŸ‘‡πŸΎ
Kwenye maji, na ni water resistant means itakuwa inaendela kufanya kazi. Ila simu huwa na matundu ya speaker kwa ajili ya kutoa sauti ambayo matundu hayo huongiza maji.
Yafuatayo ni mambo ya kufanya simu yako inapoingia kwenye maji!
Read 6 tweets
Jul 8, 2023
πŸ’¨ Mark Zuckerberg anapenda sana ushindani kwa upande wa Social media apps ambapo, huchukua idea za wenzake na kuzinadi kwa namna yake.

Kama una kumbukumbu Facebook ilikuja kuiua My Space, Stories kwa instagram zinashindana na Snapchart, Instagram reels nazo ni kwaajili..πŸ‘‡πŸΎ
Ya kuiua Tiktok, sasa wameleta threads kuondoa Ubaguzi unaondelea Twitter!!

Wakati tukiendelea, kusubiri updates mpya na feature mpya kuwa added kwenye Threads, acha tulinganishe Twitter na threads, ili tujue ni feature gani zinatakiwa ziongezwe kwenye Threads..πŸ‘‡πŸΎ
1. Ukomo wa character (Character Limit).
Apps zote hizi mbili zina limits ambayo, mtu anatakiwa asizidi wakati wa kuandika Uzi wake.
Kama tunavyojua twitter ina limit ya 280 characters kwa thread moja lakini kwenye Threads wametupa limits ya characters 500 per thread...πŸ‘‡πŸΎ
Read 25 tweets
May 15, 2023
πŸ’¨ #ChactGPT AI nzuri kwa kutumia mpaka sasa
Kutokana na uwezo wake
Lakini leo nakuletea mambo 10 yanayofanywa na Bard ambayo ChatGPT haiwezi kuyafanya!

Source: [You need a robort] Image
1. Uwezo mkubwa wa kuperuzi (Internet access)

Bard inauwezo mkubwa wa kperuzi online kutokana na imeunganishwa na google search severs!
Hii inaipa uwezo wa kupata majibu mapya ya muda huo kwa haraka zaidi.

Mfano: video kiwango cha pesa kilichowekezwa kwenye AI 2023.
2. Vyanzo (Plugins)
Kutokana na Supercharge google wame-connect Bard na makampuni mbalimbali ili kumuwezesha mtumiaji kufanya vitu tofauti tofauti kwa kutumia bard
Mfano;
-unaweza nunua baiskeli kwa bard toka ebay
-panga reservation ya hoteli
- Agiza vitu kwa instacard
Na zaidi
Read 12 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(