Dr.Meya Profile picture
May 10 6 tweets 2 min read
“TUSIKATE TAMAA”
#Uzi shuka nao 👇👇

Kuna wakati kwenye maisha unaweza kujiuliza “Mbona mambo hayabadiliki kwa haraka kama ninavyotaka?”
Unakumbuka kitu kinaitwa “GESTATION PERIOD!?” Yaani ule muda tangu ujauzito umetokea hadi mtoto amezaliwa.
Usisahau, kwenye maisha kuna vitu ni MATOKEO YA MUDA.
Yaani ni kama mama mjamzito, haijalishi ana hamu ya mtoto kiasi gani ni lazima asubirie miezi tisa.
Changamoto kubwa utakayokutana nayo utakapotaka kulazimisha, ni kuishia kuharibu kile kizuri ambacho ulipaswa kukipata.
Kila unachokitamani kwenye maisha huwa kina “gestation period”.
Siku umepata wazo hadi litakapokuwa halisi, kuna muda wa kusubiri.
Siku umeanza kusoma hadi utakapomaliza, kuna muda wa kusubiri.
Siku umekutana na umpendaye hadi mfanikiwe kuishi pamoja, kuna muda wa kusubiri.
Siku umetamani kuwa kiongozi hadi kupata nafasi/ushawishi unayotaka, kuna muda wa kusubiri.
Ukikiuka kanuni hii ukataka “kuzaa” kabla ya muda utapata matatizo,
...sio kwa sababu Mungu hakupendi ila kwa sababu unakiuka kanuni muhimu ya maisha.
Kumbuka wakati huu ULICHOKIBEBA huwa hakionekani ila wewe ndio UNAKIJUA.
Huu si muda wa kutaka kila mtu akuelewe au akukubali.
Ni muda wa kuendelea kulea kile ulichobeba ndani hadi kitakapotokea.
USIKATE TAMAA unapoona wenzako “wameshazaa” na wewe bado uko kwenye “Gestation Period”, zamu yako itafika.
#Tuishi. ✊🏾🙏🏽
Credits: J.Nanauka

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Dr.Meya

Dr.Meya Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @DaktariKiongozi

May 8
~Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake...

~Mkumbushe Mwanao kuwa Msaada sio Haki yake asipopewa Asinung'unike atafute Chake...
~Mkumbushe Mwanao kuwa Tumeona mazuri kwa watu waliokuwa wakiitwa wabaya na Tumeona mabaya kwa watu waliokuwa wakiitwa wazuri kwahiyo Aishi na kila mtu kwa akili...

~Mkumbushe Mwanao kuwa bila Mungu hatofika popote
~Mkumbushe Mwanao kuwa Tunakosa Usingizi ili wanaotutegemea wapate kulala Vizuri..

~Mkumbushe Mwanao kuwa Akiwa baba hata akiumwa hatotamani watoto wajue maana tumaini lao pekee ni yeye...

~Mkumbushe Mwanao kuwa Kilicho bora kwake hakiwezi kuwa bora kwa watu wengine...
Read 6 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(