Uzi : SMS "3" KALI ZA KUOMBA MSAMAHA KWA MPENZI WAKO ULIYEMUACHA AU MLIYEGOMBANA...☠
1.💕Ni kweli nakiri ndani ya nafsi yangu kwamba nilikukosea mpenzi wangu, naomba unisamehe na unipe nafasi nyingine katika moyo wako mpenzi wangu. Nakupenda sana,
Endelea Sasa fundi...😁👇
2.💞Hata kama nitajidanganya kwamba sikupendi, moyo wangu umeganda kwako, Röhö håinå furaha sababü ya ükimyä wåkö, näfsi håinå raha kükösä såuti yako,möyöni näsonönekä kükösä penzi läkö,håkikå naumia sana,
Najua nimekukosea baby, lakini fahamu kwamba
haikuwa nia...👇
Yangu kukupotezea furaha yako, nipe
nafasi nyingine moyoni mwako!
Nipe nafasi nyingine maishani mwako!
Nisamehe mpenzi wangu!
3.💕Kila ninapokukumbuka machozi yanidondoka,
naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nilikukosea, lakini amini nakupenda.
Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe!
naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa shetani ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!
nimegundua nilikukosea na naahidi kubadilika na kuwa mpenzi mpya, bora na mwaminifu,
Uzi : MAKOSA MADOGO MADOGO TUNAYOYAFANYA KWENYE UOMBAJI WA KAZI...👇
Please Re-Tweet iwasaidie wengi...🙏
_______________________
Wiki iliyopita nilipata nafasi ya kuchakata maombi ya kazi ya taasisi moja binafsi hapa nchini. Maombi takribani 450 yalipokelewa ya wahitimu wa..👇
vyuo mbali mbali.
Ninashauri tufikirie namna tunavyoweza kujipanga na kuelimishana namna sahihi ya kufanya maombi ya ajira. Yapo makosa madogo madogo yaliyofanya tuwatoe katika ushindani takribani 50% ya waombaji wote bila hata kuangalia CV au vyeti vyao.
Baadhi ya makosa...👇
niliyoyaona ni kama ifuatavyo;
1. Emails nyingi zilitumwa bila heading. Yani email haisemi ni ya nini. Au mtu anaandika "Application", au anaandika "My cv", au "Dear sir".
Hayo yote ni makosa. Kwa kawaida unapaswa kuandika heading ya email yako in a title cased format...👇
Uzi Mfupi : HAWA WATU SIO WA KUWATEGEMEA ASILIMIA 100%...👇
1. NDUGU alafu namba mbili😶
2. MARAFIKI
ukiwaunataka Support ya jambo utawalaumu bure kwasababu hata wewe mwenyewe unakuta upo ivyo kwa marafiki au ndugu zako yaani ni nature.
Unachoitajika kufanya ili...👇
msilaumiane ni kutafuta watu wapya katika maisha yako namaanisha watu wasio kufahamu yaani mkikutana msiofahamiana siku zote watakwambia ukweli kwamba hiki ni kibaya au kizuri na kama kununua au kupenda atapenda kutoka moyoni na kukusapoti.
Sasa hawa watu msiofahamiana...👇
utawapata wapi, kwasasa Dunia imerahisisha kidogo jibu la kwanza utawapata...👇
•kwenye mitandao ya kijamii
•Mazingira mapya ya kazi au shughuli yako
•Kwenye taasisi mbalimbali kama Chuo au shule au mambo mbalimbali.
Kikubwa jichanganye na watu alafu onesha unaweza..👇
Takwimu zinaonesha Wakala wa usajili, ufilisi na udhamini, kwa mwaka anapokea maombi ya talaka yasiyopungua 500+ Tanzania nzima.
Kilichonishangaza ni kwamba..👇
asilimia 78% ya Ndoa zinazovunjika ni wanawake ndio wanaoomba talaka na kupeleka maombi hayo.
Kilichonishangaza na Kunimaliza zaidi ni kwamba asilimia 89% ya wanawake wanaoomba talaka ni WANAWAKE WASOMI (Intellectual Women)
Swali; Wanawake wasomi wana SHIDA GANI, kwanini...👇
kwao talaka ziwe nyingi, kwanini wengi wanasumbuka na mahusiano na kwanini wengi ni single mothers?
Honestly kuna kitu hakiko sawa kwa hawa Intellectual women, kwa takwimu hizi tunaweza kusema elimu zimewaharibu badala ya kuwatengeneza wawe wake bora.
Uzi : MASWALI KUMI( 10 ) INABIDI UYAJUE KABLA HUJAINGIA KWENYE CHUMBA CHA INTERVIEW...😐
Kwa wale wanaotegemea kufanya usaili wa kazi Leo katika Taasisi na Makampuni mbalimbali, Hakikisha haya maswali una uelewa nayo, haya ndiyo yanakupa asilimia nyingi za kupata kazi; Twende👇
1. ●Tell me about yourself...!?
Hapa sisi hatutaki kujua kuhusu umezaliwa wapi na lini, umesomea nini na kuhusu maisha yako, Hapa waajiri wanataka kujua sifa ulizonazo ukihusianisha na nafasi unayoomba, yaani hapa stick kwenye Skills, Experience, Achievements, Performance na
ueleze kwanini unafikiri utaleta mabadiliko.
2. ●Why do you want to work for us...!?
Hapa hawataki kujua kuhusu ubora wa kampuni/taasisi yao kwani wao wanaujua, hapa wanataka uoneshe ni jinsi gani unafikiri taaluma, na sifa ulizoeleza kwenye moja hapo juu zitaisaidia...👇
Uzi : AINA saba( 7 ) ZA WANAWAKE WENYE UPUNGUFU WA AKILI.🦍
1️⃣. MWANAMKE Anaevaa nguo fupi(mini- skirt) halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti yake kwa mikono au kitambaa chake cha mkononi.😶
Re-tweet kwanza na endelea tuelimike wote ndugu yangu...👇
2️⃣. MWANAMKE Anaetoa mimba kisha analala na midoli kwenye kitanda chake, Ana upungufu wa AKILI.😶
3️⃣. MWANAMKE Anaetembea na mume wa mwanamke mwenzie miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaume wanaomchumbia wenye nia ya kumuoa. Huyu nae ana upungufu wa AKILI.😶