Zay B_tz Profile picture
Oct 1 4 tweets 2 min read
Leo katika historia,Tarehe 1/10/2021 Kwenye mechi ya Dodoma Vs Simba.Dodoma waliahidiwa 10M na mbunge endapo wataifunga Simba au kutoa sare, kilichotokea kwenye hiyo mechi ilikuwa zaidi ya Ibra Vs Alan Pina🙌, Dakika ya 10 walimuumiza Sakho ankle na kushindwa kuendelea.. #Uzi 👇 ImageImage
... na mchezo na alikaa nje kwa kipindi kirefu ,dakika ya 44' Anuary Jabir anampiga kiwiko Kennedy Juma na kupewa red card ,huku Simba ikiwa na mechi muhimu ya #TotalEnergiesCAFCL Vs Jwaneng Galaxy, ni mwaka tuu umepita ,kesho (2/10/2022) ni Simba vs Dodoma Jiji again,..👇
wameshaahidiwa tena endapo watashinda au kusare na Simba kesho 10M, can you imagine itakavyokuwa ? Ikumbukwe Simba ina kibarua kizito wiki ijayo dhidi ya 1° De Agosto, imagine watuumizie Phiri , Okrah, Kanoute , Au Chama🤔.... 👇
Kiongozi angetumia uzalendo wake kuwasihi wachezaji wake kujali afya za wenzao kwanza kwa maslahi ya taifa 🇹🇿 🙌🙌 . Kila la heri @SimbaSCTanzania 🙏🏻

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Zay B_tz

Zay B_tz Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Zayb_tz

Oct 3
No Mambo 10 😱 !? , No problem ... I got you covered! Mambo 10 niliyoyaona kwenye mchezo wa Simba Sc Vs Dodoma Jiji: 👇
1. Simba imecheza kitimu Sana , mpira umeonekana licha ya Kocha kupumzisha baadhi ya key players (Kanoute & Okrah) ...well done Mgunda 👏👏 #Uzi 👇 ImageImage
2. Lisha ya ushindi ,upande wa kulia palivuja sanaa...walipoteza mipira sana, Israh na Kibu hawakuwa na siku nzuri kazini licha ya Wenzao kuziba makosa yao(ndio maana ya teamwork👏)
3. Kuna wachezaji wazawa hawaimbwi Sana Ila uwepo wa Mgunda ni kama wamezaliwa upya (Kennedy na👇
Mzamiru 🙌)
4. Cha ajabu ukipitia picha za mchezo wa Jana kwenye kurasa za timu huwezi ona picha ya Mzamiru, ambae kwangu Mimi ndio Man of the match, sad ! Huwenda @RabbiHume alitingwa 😌
5. Chama anaweza akacheza hata akiwa na 40 yrs, YES! Mchezaji...👇
Read 8 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(