(---) Onesmo Mushi Profile picture
Nov 2, 2022 16 tweets 10 min read Read on X
#TalkingScholarships
Mtu wangu @depedrodeniss juzi July 2022 alisafiri kuelekea Western Michigan University (USA) kama mshindi wa Scholarship za Fulbright 2022. Ameniruhusu kushare mawasiliano yetu kuanzia 15/2/2021 - 22/4/2022 ili kuwainspire wengine. Tulianzia hapa⬇️
14. Tukaishia hapa⬇️; mission accomplished. Natumaini umegundua kwamba ukipata mtu wa kukuelekeza na wewe ukawa na nia, kila kitu kinawezekana. 💪💪💪
@depedrodeniss
Kwa ndugu yetu yeyote yule unatetafuta #scholarships , nakushauri usome hizi meseji, kuna kuna baadhi ya maswali yatakusaidia.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with (---) Onesmo Mushi

(---) Onesmo Mushi Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @EduTalkTz

Jul 1, 2023
#ElimikaWikiendi
“MAFANIKIO” ni neno jepesi sana kuandika lakini gumu sana kulielewa. Kwenye mtandao wa Google trend, ni mojawapo kati ya maneno yanayotafutwa zaidi. Watu mbali mbali wameandika makala zaidi ya milioni 11 kwenye Google kuelezea hili neno, wengi wakiliita “Siri ya… https://t.co/CpnRAQaU6ntwitter.com/i/web/status/1…
#ElimikaWikiendi
Kabla sijaanza kueleza nilichoandaa, naomba kutafsiri neno MAFANIKIO kwa muktadha wa leo. Nafahamu wengi wana tafsiri tofauti, na Kila mmoja ana tafsiri yake. Kwa leo, ninaposema MAFANIKIO, ninamaanisha UFANIKISHAJI WA NDOTO NA MALENGO FULANI YENYE TIJA KWENYE… https://t.co/nKJWt9W2hmtwitter.com/i/web/status/1…
#ElimikaWikiendi
MAFANIKIO ni mepesi sana kwa sababu yanafuata sheria na kanuni, lakini magumu sana kwa sababu kufuata kanuni sio jambo jepesi. Kwa bahati mbaya sana, kanuni za MAFANIKIO hazina huruma, ukizifuata, zitakuneemesha, ukizikiuka, zinakuadhibu. Hata hivyo, kabla… https://t.co/Sr6sTqG8totwitter.com/i/web/status/1…
Read 15 tweets
Jun 7, 2023
Kwa wale ambao hamjapata ya kuusoma mkataba, usomeni hapa. Hii ni haki yetu sote.👇

UCHAMBUZI WA MKATABA WA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI NA KIJAMII KWA AJILI YA UENDELEZAJI NA UBORESHAJI WA UTENDAJI KAZI WA BANDARI TANZANIA KATI YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA… twitter.com/i/web/status/1…
SEHEMU YA I- TAFSIRI, UFAFANUZI NA MAWANDA (DEFINITIONS, INTERPRETATION AND SCOPE)
2.1. Ibara ya 1 (Definition and Interpretation)
Ibara ya 1 inatoa tafsiri na ufafanuzi wa misamiati na maneno mbalimbali yaliyotumika katika Mkataba huu.

SEHEMU YA II- WAJIBU WA JUMLA (GENERAL… twitter.com/i/web/status/1…
2.5. Ibara ya 5 (Rights to Develop, Manage or Operate)
Ibara ya 5 inatoa haki za kipekee (exclusive rights) kwa Kampuni ya DPW yenyewe moja kwa moja au kupitia kampuni washirika (Affliates), za kuendeleza, kusimamia na kuendesha miradi kama ilivyoainishwa kwenye Kiambatisho 1… twitter.com/i/web/status/1…
Read 9 tweets
Dec 5, 2022
1. MFUNDISHE MTOTO SKILLS MUHIMU KUPITIA GAMES

Mwalimu aliponifahamisha kuwa mwanangu ana tatizo la kuconcentrate kwa muda mrefu, nilijiuliza; ni kwa namna gani naweza kumsaidia?

Nilifahamu kuwa maneno matupu hayatomjenga, kwa hiyo nikaamua kumfundisha mchezo wa draft.
#Thread
2. Baada ya kumfundisha kusukuma kete, tulianza kuweka sheria ambazo niliamini zitamjengea mazoea ya concentration.

Sheria ya ONE TOUCH ilimsaidia mwanagu kujifunza kwamba ni lazima afikiri kwa umakini kabla kabla hajagusa kete Kwa sababu akishaigusa hana option nyingine.
3. Kwa hiyo ili kuhakikisha kuwa haadhibiwi na sheria ya ONE TOUCH, atakuwa anatumia angalau sekunde 20 kufikiri kabla ya kugusa kete. This was fair enough kwangu, nilifahamu akifanya hivi mara nyingi tabia ya kuconcentrate itaanza kujengeka.
Read 9 tweets
Dec 5, 2022
1/9
TAFITI ZINASEMAJE KUHUSU WANAFUNZI TANZANIA?

Data Thread
1. Kuna wanafunzi 13,000,000 katika shule za msingi na sekondari

2. Asilimia 90% wanazungumza au wanatoka familia zinazozungumza Kiswahili

3. Asilimia 35% walidumaa kabla ya umri wa miaka mitano
2/9

4. Asilimia 29% wanatoka familia ambazo wazazi hawajaenda shule kabisa

5. Asilimia 19% wanatoka familia ambazo wazazi hawakumaliza primary

6. Asilimia 70% wanatoka kwa wazazi wenye elimu ya shule primary

7. Asilimia 65% wanatoka familia zinazojishughulisha na kilimo
3/9

8. Watoto wengi wanatoka familia zenye members zaidi kati ya 4-5

9. Asilimia 59% wanatoka katika familia zisizoweza kugharamia lishe bora

10. Watoto 50% wanalalamika kufanyiwa ukatili na walimu

11. Asilimia 65% wanatoka katika familia zinazojishughulisha na kilimo
Read 9 tweets
Dec 4, 2022
Misconceptions Katika Mjadala wa Lugha ya Kufundishia.

1. Tusiposoma kwa Kiingereza tutatengwa na Dunia

2. Tusiposoma kwa Kiingereza tutadumaza elimu yetu

3. Hakuna uhusiano wowote wa lugha ya kufundishia na ufaulu 😎

4. Wanaotetea Kiswahili LYK wametumwa kutuangamiza
5. Tatizo sio lugha ya kufundishia, tatizo ni Curriculum🤔

6. Vitabu vya sayansi haviwezi kutafsiriwa Kwa Kiswahili

7. Kiswahili hakina misamiati ya kutosha hivyo hakijitoshelezi

8. Tukitumia Kiswahili kama lugha ya kufundishia tutatengeneza matabaka
9. Kiingereza ni lugha ya Dunia

10. Watoto wakisoma Kwa lugha ya Kiswahili watashindwa kushindana kwenye soko la ajira

11. Watoto wa siku hizi wanafanya vibaya Kwa sababu ni hawajitumi, “Mbona mimi nilifaulu?”😎

12. Sisi ni maskini, lazima tutumie lugha ya Sayansi na tekno
Read 5 tweets
Oct 30, 2022
Mwaka 2013 mtumbuizaji kutoka Japan, Kenichi Ebina, alishinda Dola 1,000,000$ katika shindano la American Gots Talent. Kenichi ananikumbusha maelfu ya watoto ambao wana talent lakini talent zao zinazikwa na mitaala isiyozipa nafasi.⬇️
@MabalaMakengeza @wizara_elimuTz @HakiElimu
Kenichi ananikumbusha Leoni Joseph, kijana aliyekuwa smart sana; anachora, anacheza mpira, anapiga sarakasi kuliko kawaida. Namkumbuka Amosi Kivulenge, kijana comedian ambaye anaweweza kukuchekesha hata ukiwa ktk mood ya aina gani. Hawa wote waliambiwa na elimu yetu WAMEFELI⬇️😰.
Kenichi ananikumbusha Joseph Lau, kijana aliyekuwa na uwezo wa kutupigia hadithi Katika series zaidi ya miezi miwili mfululizo bila kupoteza ladha wala kurudia events. Karibu darasa zima tulikuwa tayari kumlipa Lau shilingi 50 ili atupe uhondo. Huyu nae aliambiwa AMEFELI😰⬇️!
Read 4 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(