Baba Afrika Profile picture
Jan 31, 2023 10 tweets 3 min read Read on X
Christiano Ronaldo hawezi kusahau wema wa Albert Fantrau.

Uziii.. ✍️✍️
Albert Fantrau ni rafiki wa Cristiano Ronaldo, Wana urafiki wa karibu, ambao huchukuliwa kama marafiki bora ambao wamefahamiana tangu umri mdogo.

Walicheza mpira wa miguu pamoja huko Ureno, ambayo pia ndio namna walivyokutana na kuwa marafiki wa karibu mpaka leo.
Ni nyota wachache wa kandanda wanaojulikana wanaweza kutangaza kwa uwazi jinsi watu walivyojitolea kwa ajili yao, jambo ambalo liliwasukuma kupata umaarufu.

Cristiano Ronaldo alifungua wakfu tuzo yake kwa rafiki yake bora Albert Fantrau,
ambaye ndiye chanzo cha kufikia kiwango alicho nacho pamoja na mafanikio yake.

Kulingana na jinsi ilivyokuwa kati yao, ni kwamba Albert alimsaidia Ronaldo wakati wa mchezo ambao ulimruhusu kupata fursa aliyohitaji kujidhihirisha
Ishara ya fadhili kwa Albert kwa Ronaldo ilitokea wakati wa mchezo wa kujaribu kupata fursa ya kupandishwa kwenye akademi ya Sporting Lisbon.

Alimsaidia Cristiano Ronaldo kufunga mabao mawili kwenye mchezo huo na baadaye akashinda nafasi ya kuichezea Sporting Lisbon Academy.
Nilimuuliza mara baada ya mechi; kwa nini alifanya vile. Akajibu, "kwa sababu wewe ni bora kuliko mimi." Alisema Ronaldo

Albert aligundua Ronaldo angeenda mbali bila kuhimizwa na wengine kwani ilikua anapenda mpira kuliko kitu chochote.
Hilo lilimsaidia sana nyota huyo wa Ureno, ambaye aliendelea kujidhihirisha kuwa mmoja wa wachezaji wakubwa wa soka ambao bado wanacheza.

Albert Aliendelea na mpira lakini alipambana na majeraha mengi, ambayo yaliathiri sana safari yake ya soka
Albert na Cristiano Ronaldo bado ni marafiki wakubwa ambao huwa pamoja wakati mwingine.

Albert Fantrau anaishi maisha mazuri ya kifahari licha yakutofanikiwa kwenye soka lakini Ronaldo analipa fadhila za Albert.
Hatuwezi kuthibitisha utajili aliokuwa nao Albert
Lakini anaishi maisha yakifahari na ameonekana katika mtukio muhimu ya Christiano Ronaldo

Uhusiano kati ya Albert na Ronaldo ni mkubwa

Shirika la Kimataifa la Ureno huwa linamsherehekea rafiki yake aliyefungua njia ya mafanikio yake.
Albert Fantrau na Cristiano Ronaldo pia wanaitwa ndugu na watu wengi kutokana na ukaribu wao.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Baba Afrika

Baba Afrika Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @BabaAfrika3

Feb 1, 2023
Samantha lewthwaite " white widow" mwanamke anayesumbua mamlaka za kijajusi duniani.

most wanted

Uziiiii✍️✍️✍️
Samantha lewthwaite alizawa December 1983 huko Northern Ireland UK, aliishi na wazazi wake Hadi pale walipotarakiana mwa 1994.

Baada ya wazazi wake kutengana, sasa Samantha ikwa anapenda kutumia muda wake mwingi Kwa jirani yake ambapo akaanza kujifunza Dini
ya kislamu kwani majirani hao walikua waisilamu.

2001, alipokuwa na umri wa miaka 17, Lewthwaite alisilimu na akaitwa Sherafiya, na mwaka 2002, alikutana na Germaine Lindsay kwenye maandamano ya "Stop the War" huko London baadae walionana Kwa ndoa ya kislamu
Read 16 tweets
Jan 31, 2023
Wa marekani weusi ambao Vifo vyao vilisababishwa na ubaguzi wa rangi.

"Black lives matter"

Uziii..✍️✍️
1. George Floyd, aliyekuwa na umri wa miaka 46-alikuwa anafanya kazi ya ulinzi katika mgahawa mmoja wa Minneapolis,

alifuatwa na polisi ambao walikuwa wanamtafuta mshukiwa wa mashtaka ya kughushi.

siku ya Ijumaa Mei, 25.
Video ya dakika 10-ambayo ilipigwa na shuhuda inaonyesha Floyd akimlalamikia afisa wa polisi akisema " siwezi kuhema

#BlackLivesMatter
Read 11 tweets
Jan 29, 2023
Ota benga, muafrika aliyefungiwa na kuishi kwenye bustani ya wanyama Pori huko marekani.

kindly retweet and follow me

Uziiii....✍️✍️✍️ Image
Ota Benga alikua raia kutokea Kongo
Alikamatwa Machi 1904 na mfanyabiashara wa Marekani Samuel Verner kutoka kule ambako kulikuwa kunafahamika kama Congo ya Ubelgiji.

Umri wake haujulikani, pengine alikuwa na miaka 12 au 13
Alisafirishwa kwa meli hadi New Orleans na baadae mwaka huo aliwekwa kwenye maonesho ya Dunia huko St Loius na vijana wengine wanane

Maonesho hayo yaliendelea hadi miezi ya baridi ambapo kundi hilo halikupewa nguo za kujikinga na wala malazi Image
Read 10 tweets
Jan 29, 2023
"Yeye sio mzito ni ndungu yangu"
Alisema.

Mtoto huyu aliyembeba mdogoake aliyefariki wakati wa vita ya 2 ya dunia, alimliza mwanajeshi wa kijapani.

Hadi Leo picha hii inatumika kama alama ya Umoja Japan.

Uziiii✍️✍️✍️ Image
Wakati Marekani ilipofanya shambulio la nyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japani mwaka wa 1945, sehemu kubwa ya miji hii iliharibiwa.

Ijapokuwa kulikua na baadhi ya vituo vya matibabu vilisalia. Image
hakukuwa na mtu yeyote aliyesalia kutoa msaada.

Raia wengi wa Japani waliuawa papo hapo, huku wengine wakiteseka vibaya kutokana na kuchomwa na miale.

Mashahidi walieleza walionusurika wakiwa na ngozi iliyochubua Mili yao Image
Read 12 tweets
Jan 26, 2023
Bradley Lowery mtoto huyu wa Miaka 6 shabiki wa klabu ya Sunderland, aliyegusa mioyo ya mashabiki na watu wengi duniani.

Hadi kuchangiwa zaidi £1 million.

uziii✍️✍️✍️ Image
Bradley Lowery aligusa mioyo ya mamia na maelfu ya watu alipoanzisha urafiki namchezaji wa surndaland Jermain Defoe

baada ya miezi 18 ya kuzaliwa kwake akagundulika anaugonjwa wa neuroblastoma (saratani).
Alikua shabiki wa klabu ya Sunderland ya nchini uingereza na mara nyingi alionekana uwanjani huku akibeba bango lilio Andikwa

"Saratani haina rangi."

Alikua akisumbuliwa na salatan Kwa mda mrefu.

Jambo hili Lili fanya wadau na vilabu vya mpira kuchanga pesa ili aperekwe
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(