Baba Afrika Profile picture
Feb 1 16 tweets 4 min read
Samantha lewthwaite " white widow" mwanamke anayesumbua mamlaka za kijajusi duniani.

most wanted

Uziiiii✍️✍️✍️
Samantha lewthwaite alizawa December 1983 huko Northern Ireland UK, aliishi na wazazi wake Hadi pale walipotarakiana mwa 1994.

Baada ya wazazi wake kutengana, sasa Samantha ikwa anapenda kutumia muda wake mwingi Kwa jirani yake ambapo akaanza kujifunza Dini
ya kislamu kwani majirani hao walikua waisilamu.

2001, alipokuwa na umri wa miaka 17, Lewthwaite alisilimu na akaitwa Sherafiya, na mwaka 2002, alikutana na Germaine Lindsay kwenye maandamano ya "Stop the War" huko London baadae walionana Kwa ndoa ya kislamu
Mnamo Septemba 2004, Lindsay na Lewthwaite walikutana na Mohammad Siddique Khan na kuwa karibu naye mtu huyu alikua mpanga matukio ya kigaidi.
Julai 7, 2005, Lindsay na wanaume wengine watatu Waingereza walijilipua mabomu yakujitoa mganga na kupelekea Vifo vya watu 26 na wengine wengi walijeruhiwa

Tukio hili lilikua kubwa huku uingereza na mania ya watu walilani kitengo hiki, na Samantha lewthwaite alijitokeza na twitter.com/i/web/status/1…
kulani tukio hili

kumbe yeye ndio alikua gaidi na ndiye aliyekua kiungo muhimu wa tukio hili.

Polisi walikuja kujua baadae Samantha alikua na mawasiliano na Mohammad Siddique Khan gaidi wa kupanga matukio ya kujitoa mhanga
lakini Samantha lewthwaite alikua ameshatoroka na watoto wake

Inadaiwa kuwa Lewthwaite alihamia Kenya mwaka 2007 au 2011 alitumia passport feki,

kwa jina Natalie Faye Webb, na muda mfupi baadaye alianza kufanya kazi na makundi yenye itikadi kali
Kulingana na wataalamu, awali Lewthwaite alilindwa na Kitengo cha al-Qaeda "kikosi cha kujitoa mhanga,"

lakini baadaye alichukua nafasi katika kundi la al-Shabab na alikua mpangaji na mtekelezaji mashambulizi
Desemba 2011, polisi wa Kenya walivamia nyumba ambayo iliaminika alikuemo Samantha Lewthwaite huko Mombasa.

Polisi walipata kemikali zinazofanana na zile zilizotumiwa katika milipuko wa July 7 2005 tukio la kule uingereza.

Lakini hawakufanikiwa kumkamata Lewthwaite
Bali polisi wa Kenya walimkamata raia wa Uingereza Jermaine Grant ambaye alidaiwa kua anafanya kazi na Lewthwaite

Mamlaka ya Kenya inadai kwamba wawili hao walikuwa wakipanga shambulio la bomu huko Mombasa.
Januari 4, 2012. Mamlaka ya Kenya ilitoa kibali cha kukamatwa kwa Lewthwaite, lakini hawakuweza kumpata.

Machi 2012, iliripotiwa kwamba Lewthwaite alitorokea Somalia

Juni 24, 2012. Samantha lewthwaite na asikali wa Al-Shabab walilenga baa moja huko mombasa
Watu walikua wakitazama mechi ya soka ya Euro 2012 kati ya Uingereza na Italia.

Shambulizi lilisababisha Vifo vya watu wa Tatu na wengine kujeruhiwa.

Shuhuda anasema alimuona mwanamke aliyevali hijab kabla ya tukio ilikua mida ya usiku. Mwanamke Yule aliaminika kua ni Samantha
Samantha pia alihusishwa na shambulio la kutisha la kituo cha biashara cha Westgate Nairobi lililotokea

Septemba 21, 2013, al-Shabab walivamia kituo hicho wakiwa na guruneti na kuwafyatulia risasi kiholela Kwa wanunuzi.
Shambulizi hilo liliua watu 71 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 200.

Tukio hili lilifanya kumtangaza Samantha lewthwaite kua gaidi mkubwa Dunia

Mnamo Septemba 26, 2013, Interpol ilitoa notisi nyekundu kwa Lewthwaite kwa tuhuma
Mbali mbali za kupanga mashambulizi
yalio pelekea kuua watu wengi.

Samantha lewthwaite alitafutwa lakini mpaka sasa hajulikani Yuko wapi

vyanzo vya kijasusi vya Uingereza vilidai Samantha Lewthwaite alifunga ndoa na Hassan Maalim Ibrahim, a.k.a Sheikh Hassan, kiongozi mkuu wa al-Shabab nchini Somalia
Lewthwaite bado hajulikani aliko, ingawa inashukiwa kuwa analindwa na wapiganaji wa al-Shabab kwenye kambi ya al-shabab huko Somalia.

Follow me asante.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Baba Afrika

Baba Afrika Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @BabaAfrika3

Jan 31
Christiano Ronaldo hawezi kusahau wema wa Albert Fantrau.

Uziii.. ✍️✍️
Albert Fantrau ni rafiki wa Cristiano Ronaldo, Wana urafiki wa karibu, ambao huchukuliwa kama marafiki bora ambao wamefahamiana tangu umri mdogo.

Walicheza mpira wa miguu pamoja huko Ureno, ambayo pia ndio namna walivyokutana na kuwa marafiki wa karibu mpaka leo.
Ni nyota wachache wa kandanda wanaojulikana wanaweza kutangaza kwa uwazi jinsi watu walivyojitolea kwa ajili yao, jambo ambalo liliwasukuma kupata umaarufu.

Cristiano Ronaldo alifungua wakfu tuzo yake kwa rafiki yake bora Albert Fantrau,
Read 10 tweets
Jan 31
Wa marekani weusi ambao Vifo vyao vilisababishwa na ubaguzi wa rangi.

"Black lives matter"

Uziii..✍️✍️
1. George Floyd, aliyekuwa na umri wa miaka 46-alikuwa anafanya kazi ya ulinzi katika mgahawa mmoja wa Minneapolis,

alifuatwa na polisi ambao walikuwa wanamtafuta mshukiwa wa mashtaka ya kughushi.

siku ya Ijumaa Mei, 25.
Video ya dakika 10-ambayo ilipigwa na shuhuda inaonyesha Floyd akimlalamikia afisa wa polisi akisema " siwezi kuhema

#BlackLivesMatter
Read 11 tweets
Jan 29
Ota benga, muafrika aliyefungiwa na kuishi kwenye bustani ya wanyama Pori huko marekani.

kindly retweet and follow me

Uziiii....✍️✍️✍️ Image
Ota Benga alikua raia kutokea Kongo
Alikamatwa Machi 1904 na mfanyabiashara wa Marekani Samuel Verner kutoka kule ambako kulikuwa kunafahamika kama Congo ya Ubelgiji.

Umri wake haujulikani, pengine alikuwa na miaka 12 au 13
Alisafirishwa kwa meli hadi New Orleans na baadae mwaka huo aliwekwa kwenye maonesho ya Dunia huko St Loius na vijana wengine wanane

Maonesho hayo yaliendelea hadi miezi ya baridi ambapo kundi hilo halikupewa nguo za kujikinga na wala malazi Image
Read 10 tweets
Jan 29
"Yeye sio mzito ni ndungu yangu"
Alisema.

Mtoto huyu aliyembeba mdogoake aliyefariki wakati wa vita ya 2 ya dunia, alimliza mwanajeshi wa kijapani.

Hadi Leo picha hii inatumika kama alama ya Umoja Japan.

Uziiii✍️✍️✍️ Image
Wakati Marekani ilipofanya shambulio la nyuklia kwenye miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japani mwaka wa 1945, sehemu kubwa ya miji hii iliharibiwa.

Ijapokuwa kulikua na baadhi ya vituo vya matibabu vilisalia. Image
hakukuwa na mtu yeyote aliyesalia kutoa msaada.

Raia wengi wa Japani waliuawa papo hapo, huku wengine wakiteseka vibaya kutokana na kuchomwa na miale.

Mashahidi walieleza walionusurika wakiwa na ngozi iliyochubua Mili yao Image
Read 12 tweets
Jan 26
Bradley Lowery mtoto huyu wa Miaka 6 shabiki wa klabu ya Sunderland, aliyegusa mioyo ya mashabiki na watu wengi duniani.

Hadi kuchangiwa zaidi £1 million.

uziii✍️✍️✍️ Image
Bradley Lowery aligusa mioyo ya mamia na maelfu ya watu alipoanzisha urafiki namchezaji wa surndaland Jermain Defoe

baada ya miezi 18 ya kuzaliwa kwake akagundulika anaugonjwa wa neuroblastoma (saratani).
Alikua shabiki wa klabu ya Sunderland ya nchini uingereza na mara nyingi alionekana uwanjani huku akibeba bango lilio Andikwa

"Saratani haina rangi."

Alikua akisumbuliwa na salatan Kwa mda mrefu.

Jambo hili Lili fanya wadau na vilabu vya mpira kuchanga pesa ili aperekwe
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(