Fortunatus Buyobe Profile picture
Mar 12 18 tweets 6 min read
CODE AND DECODE

The Dark day 11st Sept 2017
 
Ni jumatatu Kisiwani
 
Jamaa fulani anaona pikipiki mbili zinampita kwa mwendo wa kasi sana.
 
Kila pikipiki imebeba abiria wawili(mshikaki)
 
Hii ni baada ya kusikika milio mitano ya risasi
 
Yes A Dark day indeed Image
Baadae zikasambaa habari pale kisiwani kuwa Mlinzi mmoja wa mpaka wa shamba alikuwa “kalambwa vyuma” vitano na majambazi.
 
Naam!
 
It was a news tailored for journalists digest
 
Lakini nyuma ya pazia walinzi wa mipaka walikuwa wamegombana na bwana shamba two years back. Image
Kwanza walimchukia bwana shamba kwa kumleta kijana mdogo tu ndio awe kilanja wao lindoni.
 
Kijana huyo hakuwa na elimu dunia ya kutosha zaidi yao.
 
Yeye elimu dunia yake iliishia tu shule ya upili. Image
Elimu pekee aliyokuwa amebobea ni maswala ya mipaka.
 
Hakutegemewa kuwa Kilanja
 
Wakulima waliendelea kula ubwabwa na maharage na kwenda kulala.
 
Bila kujua mpakani mwa shamba kuna chess inachezwa.
 
Sasa Bwana shamba kuna maelekezo alitoa kwa kilanja akawaambie wenzake. Image
Ule haukuwa utaratibu
 
Namaanisha nini?
 
Yaani pale mpakani huwa kuna wazee ambao kiutaratibu kukiwa na jambo lolote, basi bwana shamba anatakiwa aongee nao pamoja akiwemo kilanja wao.
 
Sasa huu utaratibu wa kumtuma kilanja aongee nao hawakuupenda.
 
Na zaidi ya yote, Image
Maelekezo yaligusa maslahi yao
 
Unajua pale mpakani kulikuwa na Zabuni nyingi sana kuanzia catering services, Mafuta n.k
 
Zabuni hizi zilikuwa kiutaratibu zinachukuliwa na wazee ili nao wafurahie keki ya shamba kidogo. Image
Kwani wazee walikuwa wanaona wizi mkubwa tu pale shambani na kukaa kimya.
 
Zile zabuni angalau zilikuwa zinawafanya wazee wakae kimya na kutoingilia kwani uwezo wa kuingilia wanao na wanaweza kumweka bwana shamba yeyote kutokea kwenye kundi lao la wazee. Image
Sasa maelekezo yakatolewa kwa kilanja kwenda kwa wazee.
 
Kuwa zabuni sasa basi!
 
Yaani mchakato wa zabuni mpakani utakuwa unafanywa na bwana shamba kuanzia siku ya maelekezo hayo.
 
Mkutano ulikuwa wa moto!
 
Wazee wakafura!
 
Wakamuuliza kilanja huyo bwana shamba yuko wapi? Image
Kwa nini kakutuma wewe asije hapa azungumze hayo mbele yetu?
 
Wakamwambia unajua wewe ingawa ni kilanja lakini wewe ni bwana mdogo sana.
 
Wakamwabia kwanza wewe umeishia shule ya upili.. wewe sio size yetu, kamwite bwana shamba aje atueleze hayo. Image
Kilanja akarudisha zile taarifa kwa bwana shamba.

Bwana shamba alikuwa na tabia za ujeuri,
 
Hakuwa anapenda hata siku moja aonacho yeye ni sahii atokee mtu wa kukipinga. Image
Alishapewa ushauri na kilanja wa zamani kuwa kuna nyaya za kuchezea pale shambani lakini sio nyaya za transformer.
 
Hata bwana shamba wa zamani alimshauri hilo
 
Yeye hakutaka kusikia,

Sasa taarifa zile za mkutano wa mpakani zikamjia.
 
Akapuuzia kwenda mkutanoni. Image
Yeye akaanza kuwa anajihusisha na zabuni za watu wa mpakani.
 
Yaani wazee waliendelea kuhudumiwa bila wao kumtafuta muhudumu.
 
Bwana shamba hakujua kama swala lile ni nyeti.
 
Hakujua kama vikao vya usalama ndivyo vilivyoamua kuwa wazee wajipe zabuni wenyewe za kujihudumia. Image
Sababu kubwa ilikuwa kuwa kama mtu kutoka nje angewahudumia, angeweza kuwafanya chochote walinzi wa mpaka.
 
Mtu wa nje angeweza kuwa compromised akawawekea hata sumu kwenye chakula Image
Wazee walipoona tu Bwana shamba amewakwepa na kuanza kuwawekea watu wa nje kuwahudumia wakaamua kuandika barua kwa pamoja kuomba kuacha ulinzi.
 
This action a distress message security wise
 
Ikabidi bodaboda guy amfate bwanashamba. Image
Bodaboda guy without mincing words dared to inform Bwana shamba kuwa “Mzee hapa inamaanisha umeng’oa kiraka kwenye jeans ya bishoo”
 
Akamwambia “Find a way to resolve the matter before this deteriorated relationship with “wazee” sours much more.
 
Kama kawaida jamaa hapangiwi Image
Jamaa akaona hakuna threat yoyote
 
Lakini akawa ni mtu wa wasiwasi mwingi
 
Mara siku nyingine asilale kwenye nyumba ya bwana shamba.
 
Mara ajizungushie ulinzi wa “bahima”
 
Sasa akaamua naye atume ujumbe kwa wazee Image
Ujumbe  kuwatisha wazee
 
Hili lilikuwa ni moja ya kosa lake kubwa Image
Sogelea telegram link 👇

t.me/fbuyobe

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Fortunatus Buyobe

Fortunatus Buyobe Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @fbuyobe

Mar 5
September 11 2018 Wakazi wa Mapinga Bagamoyo walishtushwa na milio ya risasi usiku.
 
Milio ile ilikuwa ikitokea katika kambi ya mafunzo ya kijeshi Comprehensive Training Center (CTC) Mapinga.
Kwa wasioifahamu, Kambi hii ni ya pili na mpya mahususi kwa mafunzo ya Makomandoo baada ya ile ya 92KJ Ngerengere.
 
Kijiografia kambi hii haiko mbali sana na majengo ya watu wa Kaunda Suti.
Ilishatokea mara nyingi wanakamatwa watu wanaoingia katika kambi ile ya Jeshi na katika mahojiano ambayo sometimes yanahusisha mabavu, watu hao walionyesha ustahimilivu mkubwa wa mateso.
 
Ikabainika watu wanaoingia pale kambini sio raia wa kaida.
 
Tuhuma zikaelezwa Kaunda suti
Read 9 tweets
Mar 5
SOMETIMES IN 1990
 
Ulanga, Mahenge
 
Bwana EBO MALAYA anawaajiri vijana watatu kwenye mgodi wake.
 
Vijana hawa ni MATHEW NGONYANI na ndugu wawili ambao ni SABINUS na EPHRAIM
 
Biashara inaenda vizuri na baadae vijana hawa wanajitegemea kwa kila mmoja kufungua mgodi wake.
Pamoja na kwamba vijana hawa kila mmoja anakuwa na mgodi wake, lakini ukaribu baina yao unaendelea.
 
MATHEW NGONYANI anaishi mahenge lakini ana nyumba Dar es salaam maeneo ya Sinza.
 
Sabinus na nduguye Ephraim wao ni wakazi wa Mahenge pekee.
 
Mke wa Mathew anaishi Sinza Dar.
1995
 
Tunduru, Ruvuma
 
Katika upande mwingine, vijana wawili wanakutana Tunduru katika harakati za kutafuta madini.
 
Vijana hawa ni VENANCE WILLIAM CHAMI na MATHIAS LUNKOMBE
 
Baadae vijana hawa wawili wanakutana tena kwenye machimbo ya Mahenge.
 
Unazaliwa urafiki wa yamini.
Read 114 tweets
Mar 3
Captain wa MV BUTIAMA Bwana MANASE EPHRAIM KOMBO alikuwa ndio anaamka.
 
Saa 12 na Dk 20 captain huyu akawa ameshafika kwenye “Bridge” ya MV BUTIAMA ili ku “take watch”
 
Meli hii ilikuwa ikirejea Mwanza kutoka Port-bell Uganda.
Actually hii ndiyo ilikuwa route ya awali ya MV BUKOBA kabla ya kupangiwa route ya Mwanza-Bukoba

Captain Manase alipofika Chumba cha naodha(Bridge) alimkuta Chief Officer wake Bwana BENSON akiendelea na majukumu.
BENSON akamjulisha kuwa bado hajafanya mawasiliano yoyote na bandari ya Mwanza

Capt. MANASE akawasha radio na kuwasiliana na bandari ya Mwanza kuwa atawasili saa 3 na dk 30 asubuhi.
 
Aliyewasiliana naye ni Bwana MPANGALA ambaye ndiye alikuwa zamu bandari ya Mwanza.
Read 38 tweets
Feb 28
Wednesday,13th May 2015

Rais Nkurunzinza anaondoka Dar Es Salaam majira ya saa 12 na robo jioni kurundi nchini kwake Burundi.

Anaondoka huku akiwa tayari ana taarifa ya kupinduliwa kwake Image
Baadae tulikuja kushangaa kuona ndege ile iliyombeba Rais Nkurunzinza yenye namba ZS-OPR ikigeuza na kutua tena katika anga la uwanja wa ndenge wa Dar Es salaam masaa machache tu baada ya kuondoka.

Haikufanya hivi kwa kupenda.

La hasha! Image
Neno la mapokezi kutoka kwa waongoza ndege katika uwanja wa ndege wa Bujumbura, ndio hasa liliwafanya wageuze. Image
Read 34 tweets
Feb 26
Jan 9, 2017, 22:00 HRS

Central Police Morogoro

Naam!

Ni shift ya usiku kwa mujibu wa Roaster (List inayoonyesha ratiba ya kazi na majukumu ya askari)

Askari G. 6409 JOSEPHAT ambaye ni dereva, anapewa gari yenye usajili PT 3391 mali ya Jeshi la polisi aendeshe. Image
Hayuko peke yake!

Anatakiwa aambatane na askari wengine wawili wenye silaha.

G. 1231 Detective Corporal SIMBA

na

Police Constable MUHANDO

Wanaambiwa wakafanye doria barabara ya Morogoro kwenda Iringa mpaka kwenye mpaka wa mkoa wa kipolisi kati ya Morogoro Mjini na Mvomero Image
Askari hawa wanapiga doria hali ikiwa shwari kabisa kwa zaidi ya masaa matatu.

Sasa wameegesha gari yao ya doria kwenye njia panda ya kwenda Mzumbe wilayani Mvomero.

Naam!

Imeshahitimu saa 7 na nusu usiku

Uzi👇

YOU MAY RUN BUT, YOU CANT HIDE MURDER Image
Read 21 tweets
Feb 24
Mwaka 2004 kabla hajaingia madarakani, mwishoni mwa mwaka 2005 akiwa Madarakani,na hata miaka iliyofatia katika utawala wake, Rais Kikwete alipata Changamoto kubwa sana ya ujambazi kwenye mabenki.
 
Mwaka 2004 May 21 majambazi yalivamia NBC Moshi na kupora 5.3 billions. Image
September 20,Mwaka 2005, duka la kubadilisha pesa la Mc Sons lilivamiwa jijini Dar na majambazi walikwapua Tshs Milioni 150 na kuondoka bila wahusika kubainika.
 
March 30,2006 benki ya Standard charted Dar ilivamiwa zikakombwa Tshs Milioni 300.
 
Huu mchezo sasa ukazoeleka! Image
Mwaka ule ule wa 2006(mwezi mmoja tu uliofuata) tarehe 20 April likapigwa tukio Kabambe pale lilipokuwa eneo maarufu kama Ubungo mataa (Sasa Kijazi interchange)
 
Naam,
 
Ilikuwa ni saa 6 na dk 30 mchana watu wa dar walishuhudia movie la kivita katika uhalisia.
 
Ilikuwa hivi, Image
Read 56 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(