Fahamu jinsi ya kupiga window kwenye flash !!!

Je ulikua unasumbuka wapi utaweza kufanya installation ya window kuanzia 10, 11, 8, 7 kupitia flash yako ๐Ÿ–๏ธ relax Leo nakujuza.

Utaweza kufanya installation ya window 10 kupitia USB flash, Je kwanini tunatumia flash kupiga window?
Labda tuchukulie Cd huna , pia mlango wa Cd umekufa๐Ÿค“ sio lakini ni muhimu kujua kuhusu Laptop yako kama ina support mfumo wa UEFI Mode. Lazima ujue tofauti ya Bios pamoja na UEFI mode.
Computer nyingi za zamani zinatumia mfumo wa bios (basic input | output system) kwa ajili ya ku boot window pamoja na ku manage vitu vilivyopo kwenye OS na device lakini kompyuta nyingi za kisasa zinatumia mfumo wa UEFI Mode.
UEFI Mode (Unified extensible firmware interface) hii Teknolojia imekuja kuwa mbadala wa Bios kwani imekuja na mifumo ya legacy support UEFI inasaidia kompyuta kuweza kutatua changamoto mbalimbali zilizopo kwenye kompyuta bila kutumia software au media Fulani.
Jinsi ya kufanya installation ya window 10

โ€ข hakikisha kwanza umepakua file la window ambalo linaitwa Iso image we ingia Google andika window 10 iso image bonyeza link ya Microsoft download.





hakikisha una flash kuanzia 8Gb, 16Gb , 32Gb nk Kisha pakua software inaitwa Rufus au powerIso kuweza kufanya bootable flash Yetu kwa kuweza kuweka window ndani

fungua Rufus software kwenye device chagua flash Kisha kwenye boot selection chagua sasa window yako ambayo umedownload
Ifungue iyo program Kisha kwenye boot selection chagua ๐Ÿ‘‡
Kisha bonyeza select kuchagua sehemu uliyoweka window yako

kwenye partition scheme chagua Mbr kma unatumia PC zenye mifumo ya kizamani ila kama unatumia laptop za kisasa tumia Gpt ambayo ni UEFI
ukimaliza bonyeza start kuanza kufanya bootable flash yako.



Jinsi ya kupiga window sasa

Kama unahitaji link zote za kudownload Window 10 , program ya Rufus tembelea channel yetu ya telegram ๐Ÿ‘‡



Tunaendelea ๐Ÿ˜t.me/bongoTechs255
Jinsi ya kupiga window sasa
โ€ข zima na uwashe kompyuta yako Kisha chagua boot options menu unaweza Google boot options ya Kampyuta yako kujua kama unatumia F12 , F9, au Esc nk
utaweza kuchagua flash yako na ku boot baada ya hapo wanaweza kumuuliza bonyeza any key to continue au lah Kisha utabonyeza herufi yoyote mara mbili au moja nk

Utaweza kubonyeza sehemu ya press any to boot from Cd or DVD or flash nkutabonyeza key yoyote ile kama F , B , G mara mbili mbili
utaweza kuchagu lugha yako na kupiga next kwenye time zone chagua East Africa ambayo utaikuta Nairobi ukimaliza bonyeza next au start

chagua custom Kisha partition utachagua partition unayotaka kupiga window piga window ๐Ÿ–๏ธ

W

Window itaanza kufanya installation ikimaliza itazima kompyuta yako na kujiiwasha Kisha utachomoa flash ๐Ÿ–๏ธ
furahia window 10, 11, 12 na 7 kwenye laptop yako

Usisahau kutu follow @Bongotech255 kwa maujanja zaidi ๐Ÿ–๏ธ

โ€ข โ€ข โ€ข

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
ใ€€

Keep Current with bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ

bongotech2โต5๐ŸŽฎ๐ŸŽง๐Ÿ›œ Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Bongotech255

May 10
Vita ya Whatsapp na Twitter??

Mmiliki wa Twitter anasema Whatsapp sio sehemu salama ya kuaminika, baada ya Engineer wa Twitter akipost kuwa Whatsapp inatumia microphone kusikilizia vitu vyake bila yeye kujua wakati amelala.

Ebu retweet, like alafu tu follow kisha tuendelee Image
Swali la kujiuliza ni kweli Whatsapp ya mark Zuckerberg anaweza kusikilizia maongezi yako wakati unazungumza na mama ,baba, rafiki, mpenzi wako ? Kiuwalisia hapana haiwezekani, Image
Ebu tuchukue hii post iliyotumwa kwenye Twitter ya engineer wa Twitter kisha tumcheki Elon musk ambaye aliongeza kwa kusema Whatsapp sio ya kuaminika kabisa. Watumiaji wengi wa Twitter waliweza ku like na kutoa maoni yako kwenye Twitter ya Engineer pamoja na kwa Elon musk. ImageImage
Read 8 tweets
May 10
Uwahalifu wa kwenye Whatsapp mjihadhari !!

Juzi nilipost makala kuhusu Watumiaji wa Whatsapp wajihadhari wanaweza kuibiwa akaunti zao au kutapeliwa pesa

Kesho yake Kuna mtu amekutwq na maafa mazito shusha uzi chini ๐Ÿ‘‡ Image
Whatsapp najua ni mtandao pendwa ulimwenguni lakini kumekua na visaa kadhaa vya watu kuibiwa akaunti, pesa kupitia Whatsapp

Watumiaji wengi wa Whatsapp wamekua sio waangalifu sana haswa ikitokea mtu amemtumia link kuhusu jambo Fulani wanajikuta Wana gusa tu wala sio waangalifu Image
Kuna mdada ameibiwa pesa Zaidi ya milion 5 kwenye akaunti yake watu wamehamisha pesa zote hawajaachia ata kitu kimoja ๐Ÿ‘‡

Unajua waalifu wengi wa mitandao ya kijamii wanatoka India, Kenya, Nigeria, somalia, Marekani, Russia nk Image
Read 9 tweets
May 10
Twitter kufuta akaunti za watu

Mmiliki wa Twitter ana mpango wa kufuta akaunti za watu waliojiunga na Twitter ambao awako active kwa muda wa mwaka mmoja.

Elon musk mbona kama Yuko seriously ebu shusha Uzi chini ๐Ÿ˜ƒ inawezekana likakukuta jambo kwenye hii ?๐Ÿ‘‡ Image
Mr Elon musk ambaye mmiliki mpya wa Twitter aliyenunua October mwaka Jana amesema " ni muhimu Sasa kuondoa watu ambao vilaza kwenye akaunti ya Twitter watu ambao sio active kwa muda mrefu ili kuipa heshima mtandao huu" Image
Watu wengi wamekua wakitoa malalamiko juu ya hatua hii kwa kusema kuwa watu wanaohifia kupoteza akaunti za watu wao wa karibu waliopoteza maisha.

Wengine wakihofia kupoteza kabisa followers wao kwani inawezekana ikawapunguzia idadi ya followers kwenye akaunti zao.
Read 7 tweets
May 9
Maujanja kwenye kompyuta

Je umekua kuangaika jinsi ya kufanya activation ya window kwenye kompyuta lakini umeshindwa? Najua watu wengi wanatumia njia ya kmpisco ambayo sio salama kabisa !!

Leo nakupa maujanja ya kuondoa neno window is not activateduzi๐Ÿ‘‡ni wako follow & share Image
Hivi unajua unaweza tumia Cmd kufanya activation ya window 10 kwenye kompyuta yako.

Achana na kmpisco utaingiza virus kwenye kompyuta yako kwanza sio salama uwezi kutumia mpaka uzime antivirus ๐Ÿ˜ƒ achana nayo.

Ebu relax alafu like , follow kisha retweet tuendelee na maujanja. Image
Ikitokea kwenye kompyuta yako umetokea ujumbe wa " windows is not activated " Leo nakuambia jinsi ya kuactivate simple sana

1๏ธโƒฃ fungua Cmd kwenye kompyuta yako Cmd kirefu chake ni command prompt Sasa we ingia sehemu ya ku search andika Cmd kisha run as administrator Image
Read 17 tweets
May 9
Usichokijua kuhusu Tecno Camon 19

Kadri siku zinavyozidi kwenda kampuni ya tekno inaendelea Kuwa imara sana kwenye masuala kutoa simu Kali.

2022 Tecno iliachia simu mpya inaitwa Tecno Camon 19 Pro 5G yenye muonekano wa kipekee sana. Tekno wamekuja kivinge bhana.

Uzi ni wako Image
Specs:๐Ÿ‘‡
โ–ช๏ธ Processor Mediatek MT6833P dimensity 810 octa core
โ–ช๏ธRam: 8Gb
โ–ช๏ธ storage: 128Gb & 256Gb
โ–ช๏ธ Display:6.8inches
โ–ช๏ธCamera: Triple Camera 64mp +
โ–ช๏ธ battery Li-Po 5000mAh
โ–ช๏ธfast charging 33watts
โ–ช๏ธ Software: Android 12 Image
Ndani ya Box ๐ŸŽ
Nilichowapendea Tecno wamebadilika sana kwenye matoleo yao ya simu Toka series ya Camon16 wanazidi Kuwa Bora sana. camera wametoa Poa sana ukipiga picha inatoka clear pia ukizoom unaweza sema ni google pixel 6 pro. ImageImage
Read 11 tweets
May 9
Maajabu ya window 11 ๐Ÿ˜Š

Window 11 Sasa inakua window pendwa toka Microsoft baada ya kuachiwa kwake maana imefanya maisha kuwa rahisi kutokana na jinsi ilivyo rahisisha mambo mengi na feature za kibabe !!

Leo nakuambia feature za kibabe zilizopo fanya ku follow, like & retweet Image
1๏ธโƒฃ change voice to text
Kupitia window 11 unaweza Kubadili sauti yako kuwa ujumbe in real time. Utakua na uwezo wa kuzungumza kwa sauti alafu window yako ikabadilisha iyo sauti yako kuwa text kupitia kompyuta.
Pia labda uko kwenye Microsoft word unaweza sema tu new paragraph au
delete previous sentence basi itakua na uwezo wa kuongeza page mpya au kuondoa ujumbe kwenye sentence uliyosema bila kugusa mouse. Fanya hivi fungua app unayo...
Read 13 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(