How to get URL link on X (Twitter) App



Njia rahisi ya kuelewesha ni hii. Serikali imefanya kazi kubwa ya kusambaza UMEME, kujenga ZAHANATI, si ndio! Sasa ni lini mmesikia Upinzani unasema msisambaze Umeme au Msijenge Hospitali? Hivi ni vitu MUHIMU kwa Jamii, ndiyo maana Upinzani hawavipingi. Lakini unaponunua NDEGE👇