How to get URL link on X (Twitter) App

ya Mzee Kibao. Poleni nyote. Kwa sasa nina matatu:

Nimesita kumpongeza na nimesita kumlaumu.
Naamini mmeshaona maoni ya wananchi. Kwa asilimia 90 watanzania wamekataa hili dili lenu la ufisadi na uporaji wa bandari ya watanzania, bandari ambayo ndio chanzo kikuu cha mapato ya nchi

1. Je imeuzwa au imekodishwa?

Tulipoamua kuingia mtaani na kujipotosha juu ya haki sawa bila kujua undani halisi wa *haki, fursa na wajibu* hatukutafakari ya kesho.

Wapo walionuna pande zote mbili za CCM na Upinzani. Ni budi wawepo ili watukumbushe tulikotoka. Hata kuku wa pande mbili hizo hawakuruhusiwa kujamiiana. Leo twakumbatiana!
kikubwa omba Mungu usiishiwe hela nikaponyoka!" Hapa mwanaume unaweza kufa ghafla na wakati alikuwa anakutania tu.