How to get URL link on X (Twitter) App
Mwamba: Okay
June mwaka 2021 kampuni ya mtanzania mzalendo aliyeanza biashara kwa kuuza sigara na pipi kifua kwenye sinia. Namaanisha Taifa Gas ya Rostam Aziz ilipewa kibali cha kuanza ujenzi wa plant yake maeneo ya Dongo Kundu mjini Mombasa..
Nikaona ni BINGO, nika-buy in.. nikampa zote (km 70k hivi) kwa makubaliano kuwa atanirudishia 100k
Mwaka 1993 tajiri namba moja duniani alikuwa m-Japan mmoja wakuitwa Yoshiaki Tsutsumi
1. Kwanza kabisa mimi ZOLENDRONIC ni mzaliwa wa wilaya ya Tarime mkoa wa Mara..
Hapa kuna Nasir Jones aka Nas, kule kuna Sean Carter au Jay Z.. kiitikio kimegongwa na James Fauntleroy
Rosey alimdiss sana mle ndani kutokana na jinsi mwana alivyokuwa anam-treat mshkaji wake wa muda mrefu Lil Wayne
Ndani ya ule wimbo kuna line inasema 'But he got me out my mama crib'