Mdude Chadema Profile picture
I'm back from prison. MDUDE PEOPLE'S VOICE (MPV). An Activist For Democracy and Good Governance. Tanzanian🇹🇿.
Mar 17, 2023 19 tweets 4 min read
KUMBUKUMBU KIFO CHA JPM.
#UZI.

Ilikuwa saa 5 usiku 17 March 2021. Nilikuwa ndani ya kuta za gereza la Ruanda selo namba 17. Nikasikia kelele nyingi selo zingine ukizingatia kelele haziruhusiwi usiku mpaka kuwe na tatizo. Maana kelele ndio alarm ya kuwaita askari kuashiria kuna👇 tatizo ndani ya selo husika. Sasa kwa uzoefu wangu nilijua kelele zile ni mtu kanyatiwa. Maana haiwezi kuisha wiki tukio la mtu kunyatiwa halijatokea. Kwa waliokaa jela wanaelewa maaana ya kunyatiwa. Lakini kelele zile zilinishtua maana zilikuwa kelele za shangwe kiasi kwamba👇
Jun 7, 2022 16 tweets 6 min read
Uzi👇👇

KUKAGULIWA NA KUPEKULIWA NDANI YA GEREZA.

BEI YA KITABU NI 20,000/- NJE YA GHARAMA ZA USAFIRI NA UNAWEZA KULIPIA AU KUWEKA ODA KITABU HIKI KWA NAMBA ZIFUATAZO;
0767654303,
0710879487.

VITABU VINAPATIKANA DAR ES SALAAM, KILIMANJARO NA MBEYA NA MIKOA MINGINE TUNATUMA Ni utaratibu wa magereza yote kwamba, lazima mfungwa au mahabusu akaguliwe anavyoingia na kutoka ndani ya jengo la magereza. Na Kuna aina moja ya upekuzi ambayo inahusisha kuvuliwa nguo na kubaki mtupu. 👇👇