My Authors
Read all threads
KIJANA TENGENEZA CONNECTION
—————————————

Si ajabu siku hizi huku mtaani wamejaa vijana wengi magraduate wana masters na degree zao lakini hakuna michongo! Kuna watakao sema kukosa mchongo ama kazi ni uzembe au watasema ujiajiri! Very simple watasema jiajiri wakati wao
Wameajiriwa, siwalaumi ila utajiajiri vipi bila mtaji? Bila elimu ya kujiajiri!? Mfumo wetu unamwandaa graduate kujiajiri!?

Si jambo la kushangaa kumkuta graduates ana degree katika Business administration lakini hata genge tu la nyanya hawezi kufungua! Tuwe wazi kuwa mfumo
Wa elimu bongo hautujengi kuwa watu wa kujiajiri ila kuajiriwa! Unatujenga kuwa waajiriwa na watu wa kutenda kazi sio kitengeneza kazi
Najua wapo watakao nipinga ila ukweli mchungu ndio huo! Tunafundishwa kuajiriwa

kijana ambaye uko chuo still unayo chance ya kufanya mabadiliko
1:Tengeneza connection kwa kujitahidi kukutana wa watu wa aina tofauti tofauti

Usitengeneze urafiki na marafiki wasiofaa wanaowaza pombe, madawa sigara na mademu, marafiki wa hivyo hawatakufikisha popote sababu mtaishia tu kulewa na kupata mateso na majuto baadae maishani
2: Jichanganye na watu ambao angalau wamepiga hatua fulani kimaisha au wana maisha kidogo ya juu kuliko wewe! Hii itakupa morale na kujikuta ukihangaika kujikwamua kimaisha na wewe

3: Ukipata nafasi ya kuwa karibu na watu wenye connection kwenye makampuni na serikalini basi
usiache nafasi ipite bure! Tumia kila fursa vizuri bila kuogopa sababu kila unayekutana nae hujui kesho yako atakusaidia

4: Jijengee tabia njema, good character na kuwa mwaminifu! Hata uwe na connection vipi kam sio mwaminifu kijana ni kazi bure! Linda uaminifu watu wanaokupa
na usivunje ili upewe michongo zaidi! Kumbuka ukivunja uaminifu ni ngumu mno kuaminiwa tena

5: Jifunze skills mbali mbali ili hata ukipewa kazi usishindwe! Jifunze computer, program mbali mbali ili uuzike! Kwa ulimwengu wa sasa kijana lazima ujue bila kuwana something extra
basi utapata taabu sana

6: Kumbuka kujiweka kiheshima! Sio unavaa vaa tu km shetani katoroka kuzimu! Create first impression on the way you look! Ni ngumu mtu kukuamini km style yako ya kuvaa tu inasaliti sifa za mtu mwenye tabia njema

Mwisho kabisa uhalisia wa elimu ya bongo
kuandaliwa kufanya kazi na sio kutengeneza kazi hivyo! Sitapingana na wanaotaka tujiari huku wao wakiwa wameajiriwa!

Na pia nafahamu kujiari ni bora kuliko kuajiriwa ila kama mfumo unakuforce utafanya nini!?

Vijana tugutuke, tujitume pale tunapopewa nafasi ili tuaminiwe zaid
Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh.

Keep Current with Sultan M N Y A L U 🇹🇿🇹🇿🧚‍♀️🧚‍♀️

Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

Twitter may remove this content at anytime, convert it as a PDF, save and print for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video

1) Follow Thread Reader App on Twitter so you can easily mention us!

2) Go to a Twitter thread (series of Tweets by the same owner) and mention us with a keyword "unroll" @threadreaderapp unroll

You can practice here first or read more on our help page!

Follow Us on Twitter!

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3.00/month or $30.00/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!