Sijui ilikuwaje hadi nkasahau kuandika kuhusu hiki kisa..🤭
Nadhani kwasababu mchizi hakua mtu wangu wa karibu sana..ilikua ni kuonana kwenye vigenge vya stori na kitaa.
Ila siku tulijikuta wawili tu kwenye kota za tanesco anapokaa,chobingo moja yetu pendwa..
Tulisalimiana kiwana tukiulizana mishe zinaendaje na vijistori vya hapa na pale vya kupoteza muda.
Mchizi alitoa sigara mbili huku akiniuliza kama natumia..nilimjibu situmii hvyo aliiwasha yake akavuta pafu mbili kubwa..alitoa moshi nje af akabaki kaduwaa
Nakumbuka alinambia
"aahh kmmk,nna kipengele kimoja hicho na sijui itakuaje" nkamwambia "nipange"
Alisita kidogo akaangalia sigara yake kidgo kisha akaanza kunipa stori
Hakunieleza kwa kina kwanini uhusiano baina yao ulikua hivyo..zaid ya kunambia kua kipindi chote alipokua chuo alirudgi mara moja tu nyumbani,tena kwa wiki moja..
Saleh hakua na mzuka sana na wanawake ila imani yake ilitetemeshwa kidgo.
Walisalimiana na akajitambulisha,kwa aibu manzi alimpokea huku akikwepa 👀
Basi mzee akamtambulishaga pale maisha yakaendelea...jamaa hakupanga kukaa sana ila kuna siku ndo ilimbadilisha mawazo..
Saleh hakuwa na mishe so muda mwingi alikua nyumbani kipindi hiko
Saa nyingine alimgongea hadi bafuni kuulizia kama anaoga bila sababu ya msingi..
Jamaa chini kule haelewi..
Manzi akamkumbatia kwa nyuma..
Saleh akamjibu "we mke wa mtu ujue,mbaya zaidi we mke wa baba angu"..
Manzi akamjibu "ila uzuri sio mama ako" akashusha mkono hadi chini
Jamaa kwa ugwadu wa kama miezi tisa na kiasubuh kile plus akipiga picha manzi iliyopo nyuma ake akaona mara moja tu haitakua mbaya..MARA MOJA TU..akapeleka mkono nyuma akakutana na paja..akapanda juu akakuta khanga..AKAIVUTA..
Kwa ufupi, walikamatwa..saleh akafukuzwa akaambiwa hasirudi..manzi akapigwa talaka tatu akaenda kwao..huko walipoenda manzi akamtafuta saleh..wakawa wanaishi pamoja..mzee wake akaumwa sana corona na saleh alimuuguza mpaka kifo
Leo sina cha kusema..
ila hapana acha niseme
"Saa nyingne MAPENZI USHENZI"
#fanani✍️ hapa
Plz turetweet,like kfollow pia.
Nafollow back watakao RT na follow