Alizaliwa kwenye familia ya kitajiri,akiwa na miaka 8 akafundishwa biashara.Akasoma chuo kikuu kisha akapewa mkopo na mjomba wake akaanza kufanya biashara.Baba wa watoto 3,aliyeoa mara mbili ila ndoa zikavunjika,tajiri namba moja Afrika,Aliko Dangote anazidi kuwa tajiri kila siku
Miradi ya uwekezaji anayofanya Aliko Dangote ambaye pia ni mtu mweusi tajiri zaidi duniani ni mikubwa mnoo.Kiwanda chake cha Sukari ndicho kinachozalisha zaidi Sukari bara la Afrika na cha 3 kwa uzalishaji duniani kote.Dangote anasomesha na ameajiri wengi,pia anatoa misaada sana.
Aliko Dangote ambaye pia ni miongoni mwa watu 200 tajiri zaidi duniani.Alipoulizwa Kwanini haachi kuzidi kutanua biashara alisema “kama huna malengo,haupaswi kuwa unaishi”. Dangote anapenda football na amesema ataichukua timu ya Arsenal baada ya mradi wake wa mafuta kukamilika.

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Ayubu Madenge

Ayubu Madenge Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @ayubu_madenge

23 Aug 20
Akiwa na miaka 27 alifanya mapinduzi akawa rais.Akainua uchumi wa nchi yake kupitia biashara ya mafuta,akaandika kitabu ambacho ilikuwa ni lazima wanafunzi wakisome “Green Book”.Miaka 42 ya kuitawala Libya Gaddafi akajiita Mfalme wa wafalme,kiongozi wa mapinduzi.Mwisho akauawa. Muammar al-Gaddafi
Gaddafi alipiga marufuku biashara ya pombe na lugha ya kiingereza kutumika nchini kwake.Pia akafunga kumbi za starehe na bar.Vile vile alifanikiwa kuweka makubaliano na Makumpuni ya mafuta yaliyoiwezesha Libya kupata Pesa nyingi.Akajenga shule,hospitali na miundombinu yakutosha.
Rais Ronald Reagan wa Marekani alipoingia madarakani alimuita Gaddafi “Mbwa Kichaa”1986 akaamuru ndege za kivita kushambulia makazi ya Gaddafi,Kwa bahati hakuwepo hivyo akanusurika. USA chini ya Reagan ikakataa mafuta ya Libya na kumuwekea vikwazo lukuki.Gaddafi hakurudi nyuma. Obama and Gaddafi
Read 6 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!