My message to Her Excellent Hon Madame President Samia Sulu Hassan
👉A lot of us would choose to pursue life differently and i personally choose to speak for my country and my people since i love them dearly
👉I know the danger and the price to pay for that noble role i am doing
there is a price to pay and the taste of it is very bitter and i have tasted it for the past 5-6 years and iam ready to die for it
👉Tanzania as a country is attractive to parasitic individuals like Bashiru,Kinana,Kabudi etc who will destroy the country and once done they will go
for individuals business people,churches ,universities,media houses etc.
👉Today i need to tell you we need to get politics in this country right the we can pursue the rest of our lives freely ad happily
👉That call is very important and costly to the extent few of us stood tall
and defiant to MEKO iron first leadership. This was not easy,alot of people compromised and bowed - we choose to say NO and we choose to die for whet we believe to be right and correct,regardless the pains we endured in the process.
👉In life you choose to do what you believe it
add social value to your country and your people..
👉 I choose to defend the Tanzanian’s rights and the constitution and this is my nobble call and iam proud of doing it
NO LESS NO MORE,NO MATTER WHO IS THE PRESIDENT - respect human rights and KATIBA we will be friends
🙏
• • •
Missing some Tweet in this thread? You can try to
force a refresh
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. Umeshaapa na sisi tunakutazama wewe;
👉Turudishe kwenye sayansi na toeni muongozo juu ya covid 19
👉Toa tamko hatma ya kesi za hovyo na za kubambikiwa za watu walioko ndani
👉Evaluate miradi gani ni ya muhimu kufanya kwa sasa iliyobaki STOP
👉 Review mishahara ya wafanyazi kwenye bajeti hii ijayo
👉 Review mahitaji ya kuajiri watu serikalini
👉 Anza kuvutia wawekezaji na kuondoa milolongo ya vitisho iliyopo sasa
👉Anza kutembea nje kujenga mahusiano na nchi zingine
👉Open up nchi kwa biashara na uwekezaji mwanana
👉Wezesha sekta binafsi iwe huru na wawe na confidence ya kufanya biashara
👉Acha bunge lifanye kazi yake,Mahakama iwe huru na serikali iwe kivyake ilikuwe na checks and balance
👉Toa Gavana wa BoT ni dead wood-ingiza kwenye mzunguko 3-4tr kila mwezi ili ku stimulate biashara etc
MATAGA wana shida mahali:
👉Kipindi MBOWE anahubiri maridhiano walikuwa wanamkejeli( hata mimi nilikejeli lakini nilifuta kauli na kuomba msamaha)
👉Kipindi Mbowe anaongea Mwanza kuwa taifa limebonoka hili linahitaji kuunganishwa walimkejeli sana
👉CCM wakatumia ubabe na dola
wakapora uchaguli wa serikali za mitaa bila haya nchi nzima. Sisi tukakaa kimya na kumshukuru Mungu
👉Oktoba 2020 kwenye uchaguzi mkuu CCM na Dola wakapora uchaguzi waziwazi na kujitwalia madaraka - tukakaa kimya na kumshukuru Mungu tena kwa nguvu zote na tukawa na amani sana
👉Mkajipa utukufu na mpaka Kangi akamwita Meko ni YESU ndani ya Bunge na CCM wakanza propaganda za kuwa atawale milele maana hakun akama yeye- tukakaa kimya
👉LEO kafa MEKO mnakuja kutaka mapatano sijua maridhiano? Kuhusu nini? Na kwa sababu gani? Yaani hofu yenu ni ipi kwani?
Ambacho watu hamuelewi ni hiki
👉Rais anakuwa mwingine lakini sheria zote za hovyo ni zile zile
👉Mifumo ya hovyo ni ile ile- na akitaka kubadili siyo kazi ya 24 hours imeisha. It will take years
👉CCM ni ile ile na watu wake ni wale wale walioifikisha hapa hii nchi JK+EL+Kinana
👉Samia hata depart from that route being a President from CCM
👉Mambo ya kusema sijui Rais wa kwanza mwanamke , sijui nini- inasaidia nini kuondoa sheria kandamizi?
👉Inasaidia nini kuondoa gerezani watu waliobambikiwa kesi?
👉Inasaidia nini kuzuia watu kuporwa fedha zao?
👉Inasaidia nini kuondoa nchi kwenye orodha ya nchi zinazodharau haki za binadamu?
👉Hili jambo halihitaji uanamke au uanamme wa mtu - hapa tunazungumzia mamlaka ya Rais na hatma ya nchi! Tusileteane mambo ya kalumekenge hapa ooh sijui mwanamke sijui nini! That is 100% nonsense
👉Katiba ya Tanzani iko wazi kabisa nini kinatakiwa kufanyika nchi inapofika kwenye hali hii tuko nayo sasa.Utaratibu uko wazi kabisa kabisa
👉Kama @ccm_tanzania kimeshindwa kuheshimu katiba hii ambayo waliapa kuilinda WATOKE waingie watu watakaoheshimu katiba ya nchi
👉Hatuwezi
kuendelea kuwa kimya nchi inaendeshwa kilofa lofa hivi for 18 days Meko anagalagala kwenye mamashine ya kupumulia huko.Mambo ya kuumwa hayao anajuana yeye na Mungu wake.. Sisi tunataka nchi iwe na uongozi wakati anapambana na magonjwa yake
👉CCM mmekwama kabisa kuongoza na sasa
uchakavu wa chama chenu uko wazi.. Mliruhusu chama kichukuliwe na wasukuma na wahuni sasa haya ndiyo madhara yake.Mme depart kutoka kwenye misingi na chama kikawa cha MEKO na mnashindwa kujinasua hapo.. Hivi haya mngefanya Nyerere angekuwa hai?
👉 Haya ya wafanyabiashara wezi
JAMANA PRINTERS LIMITED WALIVYOJAA DAMU MIKONONI KWA KUSHIRIKI WIZI WA KURA OKTOBA 2020
👉Mauaji na wizi uliofanywa kwenye uchaguzi wa mwaka huu una mikono ya hawa wamiliki wa kampuni ya Jamana Printers Ltd
◇ Kazim Kermali
◇FK Fazal
◇Mustafa .K. Fazal
◇K. Kermali
Hawa walipewa tenda ya kuchapisha makaratasi ya kura kwenye kiwanda chao kilichopo Nyerere Road na makubaliano yote na kulipwa 14bn TZS za kitanzania yalifanywa kati ya Dr Magera,Diwani na Meko mwenyewe pamoja na Kazim Kermali(pichani)
👉simu yake 0782 871400 imewasiliana zaidi
ya mara 56 kati ya mwezi wa September na Oktoba 2020 kwenda simu 0782 991 553 na 0767 991553 namba za Dr Mahera wa NEC
👉Kermali amewasiliana zaidi ya mara 23 na Diwani Athumani kwenye namba 0737 775 555 kati ya tarehe 4 Oktoba 2020 mpaka leo tarehe 04 Oktoba 2020
👉Kermali pia
JOHN MALLYA mmiliki wa @darmpya_
👉Alikiwa mwanachana wa Chadema jimbo la Kawe ila ma CCM yalikuwa yanamtumia akawa anatoa siri za chama
👉Kuna siku aliscreenshot mjadala kwenye group la Chadema akawa anamtumia Bashite kama anavyofanyaga Niki bahati mbaya akajikuta katuma.
kwenye group hilo hilo alilo screenshot basi vijana wa chama walimsaka wakamata walimpa kipondo kitakatifu na ndiyo mqanzo q kuhama Chadema kwenda ACT kabla hakakwenda CCM
👉John hivyo vihela amekupa Bashite na Kitila kufanya propaganda tutakudjalilisha na kashfa yako ya kulewe
Shwa kule Magomeni Mikumi mpaka wakakujaza mimba watu wa CCM kwa kupenda kwako kulewa lewa kama kenge
👉 Wewe nina kesi na wewe yaani kama alivyo Meko ,jilange yaani ntakuchakaza kuanzia Januaru mpaka December JIPANGE...