@bawazir67 @SuluhuSamia Asante. Kwa uchache, Jana Rais Samia katika hotuba yake ambayo kwa sehemu kubwa ilikuwa nzuri alisungumzia kuhusu eneo la hifadhi ya Ngorongoro ambayo ipo kwenye wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. Katika hotuba aliashiria kuwa hatua zifanyike kwa kile alichosema NCAA inakufa
@bawazir67 @SuluhuSamia Kwa imani yangu naamini maneno yake yanatokana na taarifa ya kamati ya Ardhi Mseto (ambayo haikuwa yenyewe na uwakilishi mseto) iliyoundwa na wizara miaka minne iliyopita. Kwa sababu nimeona sehemu ya draft ya kamati, ninaweza kusema haiwakikishi ukweli kuhusu Ngorongoro
@bawazir67 @SuluhuSamia Rais @SuluhuSamia anasema watu wamezidi kutoka 8000 mwaka 1959 mpaka 90000 mwaka 2021. Tanganyika wakati inapata uhuru ilikuwa na 11m leo ni 60m. Binadamu ni lazima waongezeke lakini hakuna madhara yeyote yanayohusu ikolojia kusema sasa kwa maelfu yao waondolewe
@bawazir67 @SuluhuSamia Watu wanaotakiwa kuondolewa leo waliondolewa Serengeti mwaka 1959 kwa hakikishio kuwa hawataondolewa tena Ngorongoro. Hili Rais @SuluhuSamia alisema ulikuwa mkataba. Nadhani sharti waliheshimu japo mabavu ya kikoloni yalitumika kuhakikisha wazee wale wanahama Serengeti
@bawazir67 @SuluhuSamia Madai kuwa kuna hatari za kiikolojia yameshasemwa sana tangu mimi sijazaliwa na ukweli ulishawekwa bayana na watu na taasisi nyingi @TunduALissu @IssaShivji ni baadhi tu ya wengi waliosema hizo propaganda za kuwa Ngorongoro inakufa imekuwa ikitumika kwa uongo na makundi flani
@bawazir67 @SuluhuSamia @TunduALissu @IssaShivji Kwamba eneo la Ngorongoro watu wamezidi watu sio kweli, japo kuwa data za NBS za mwaka 2017 naamini ilifanyika kwa nia maalum ya kupata data to justify what they wanted, Ngorongoro ni kubwa mara saba ya Mkoa wa DAR, kubwa maradufu ya Zanzibar na karibu nusu ya nchi ya Rwanda
@bawazir67 @SuluhuSamia @TunduALissu @IssaShivji Kwa hiyo hoja ya carrying capacity, napata shida kuamiki watu 90000 wanatishia vipi wanyama ambao tayari wana eneo ambalo sio mseto (Serengeti) ambayo ni ni kubwa zaidi ya mara 12 ya DAR or Zanzibar. Nchi yetu bado haijatambua kuwa sehemu kubwa ya watalii wanafuata historia
@bawazir67 @SuluhuSamia @TunduALissu @IssaShivji Tangu miaka ya 80, lakini zaidi awamu ya kwanza ya Jk, ni kosa la jinai kukutwa na mfuko wa cement, bati ya kupaulia, ama mambo mengine ya maendeleo. Miaka miwili iliyopita, NCAA ilitoa maelekezo kuwa mwenyeji yeyote wa NCAA mwenye ajira kwenye taasisi za utalii waondolewe
@bawazir67 @SuluhuSamia @TunduALissu @IssaShivji It’s just a bad experience like slavery

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Joseph Moses Oleshangay

Joseph Moses Oleshangay Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Oleshangay

7 Apr
President @SuluhuSamia is saying Ngorongoro is in danger of extinction because of pastoralism in the area with their number rising from 8000/9000 to allegedly 90000 in six decades. Am certainly sure, she acted on tainted report from MLUM biased committee
that worked on unilateral directive of @visitngorongoro chief conservator without involvement of the direct victims of both the historical injustice in the place and the potential victims of any decision to be made out of these misinformation
That Ngorongoro cannot accommodate 100000 pastoral people? @visitngorongoro is four times @zanzibar, it’s six times bigger than @dar and the proposed fake report will grab the land more than 1/2 of @rwanda from the so called 100000 pastoral people
Read 18 tweets
6 Apr
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu tumefarijika sana na Hotuba iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati akiwaapisha viongozi mbalimbali wa juu serikalini. Tunatoa taarifa kwa Umma juu ya maswala machache yaliyoangaziwa katika hotuba hiyo ambayo ni pamoja na
Uhuru wa Habari
Kwa miaka kadhaa sasa kumekuwa na malalamiko yenye mashiko kuhusu uhuru wa Habari nchini Tanzania na ambayo kwa kiwango kikubwa ilikiuka katiba ya nchi katika Ibara ya 18. Kipekee kabisa tunamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa maelekezo
Tunaisihi serikali kuharakisha mabadiliko ya sheria na kuondoa viunzi vya sheria zinazotoa mianya kwa mamlaka za mawasiliano, na idara zingine za serikali kuminya uhuru wa habari kinyume na Katiba ya Nchi
Read 18 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!