MSAMAHA NI MZURI, LAKINI KUTOKOSEA NI VIZURI ZAIDI

๐Ÿงต#UZI

~Kijana mmoja alikua mtu wa hasira sana na ugomvi hata kwa jambo dogo. Baba yake alijaribu kumwelimisha madhara ya ugomvi na majibu mabaya kwa watu lakini hakuelewa.

~Siku moja baba yake alimuita na kumkabidhi Nyundo.๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Ubao na misumari. Akamwambia "ukigombana na mtu yoyote chukua msumari mmoja njoo gongelea hapa kwenye ubao."

~Siku ya kwanza yule kijana aligongelea misumari kumi, na baada ya mwezi mmoja ubao wote ulijaa misumari.

~Baba yake akamwambia, "fikiria huu ubao ni mioyo ya watu..๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Je ni watu wangapi umewajeruhi mioyo yao kwasababu ya maneno yako?" Basi sasa fanya hivi, mfuate kila mmoja uliyemkosea umuombe msamaha, na akikusamehe njoo ng'oa msumari wake.

~Ulikua ni mtihani mgumu lakini mwisho alifanikiwa, basi baba yake akamuambia "Ni sawa watu...๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
wamekusamehe, lakini tazama ubao, umetoka misumari yote lakini umebaki na matundu. Fikiria ni watu wangapi wamekusamehe lakini wamebaki na majeraha au vinyongo mioyoni mwao kwaajili yako."

~Yule kijana alisikitika sana na kumuomba baba yake msamaha na kumshukuru kwa ushauri...๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Mzuri aliompatia.

~Baba yake akamwambia, hakuna asiyekosea sababu sote ni binadamu, ukikosea omba msamaha. Lakini vyema zaidi kutofanya kosa ambalo unaweza kuliepuka.

Shukrani kwa kusoma uzi huu, ukikupendeza RT

Ukitaka kusoma nyuzi zangu nyingine ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ

โ€ข โ€ข โ€ข

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
ใ€€

Keep Current with ๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐‘พ๐’‚ ๐‘ฝ๐’Š๐’‹๐’‚๐’๐’‚ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ|๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ

๐‘ฉ๐’‚๐’ƒ๐’‚ ๐‘พ๐’‚ ๐‘ฝ๐’Š๐’‹๐’‚๐’๐’‚ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ|๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @Kamigakikumbise

22 Feb 20
Masikini Aliyehamisha mlima.

Siyo pesa tu inayohamisha milima bali hata wewe unaweza kuhamisha mlima kama ukiamua.
Jifunze kitu ktk uzi huu wa Kapuku aliyehamsha mlima na kuitwa "The Mountain Man"
Anaitwa Dashrath Manjhi ni mzaliwa wa kijiji cha Gehlaur nchini India. Kisa cha ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
yeye kuhamisha mlima kilizuka baada ya mkewe aliyekuwa anampelekea chakula Manjhi kuanguka mlimani na kufariki, walishindwa hata kumpeleka hospitali sababu kulikua ni mbali.
~Hali hii ilimuhuzunisha sana Manjhi akaona ipo haja ya kufanya kitu kwaajili ya jamii yake. Ndipo ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
akaamua kuchonga njia ktk mlima Gehlaur kwa "Nyundo na Patasi tu" ili kurahisisha mawasiliano kati ya kijiji chake na kijiji kingine na kituo cha afya pia endapo kutatokea tatizo kama lililompata mkewe.
~Alipoanza hiyo kazi wengi walimcheka maana mlima wenyewe ulikua wa mawe.๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Read 6 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Too expensive? Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal Become our Patreon

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(