~Hali hii ilimuhuzunisha sana Manjhi akaona ipo haja ya kufanya kitu kwaajili ya jamii yake. Ndipo 👇🏾
~Alipoanza hiyo kazi wengi walimcheka maana mlima wenyewe ulikua wa mawe.👇🏾
Njia hii ilirahisisha umbali wa kituo cha afya kutoka km 70 hadi km 1 tu. Pia ilirahisisha mawasiliano na vijiji vingine.
Wakati anaanza hiyo kazi wengi walimdhihaki👇🏾
~Manjhi alifariki 17/8/2007 lakini mchango wake hautosahaulika kamwe.
~Watu watasahau maneno yako ila si matendo yako.
~Na wewe unaweza hamisha mlima ktk jamii yako kama ukitaka
~Amini Kuwa unaweza
~Uvumilivu ni muhimu(Manjhi alitumia miaka 22 kuchonga barabara)
~Fanya kitu kwaajili ya wengi utakumbukwa na kuenziwa ziku zote.
~Mtumaini Mungu ktk kila unalofanya.
#ElimikaWikiendi