Siasa za Tanzania katika jicho la tatu: Nini kinaendelea?

1. Mkuu wa Nchi anafariki akiwa madarakani. Huyu ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Taifa hili. Sasa anafariki akiwa madarakani. Hiki kiti ndio cha juu zaidi kwenye kila nchi. Hiki kiti ndio nchi yenyewe.
2. Katibu Mkuu Kiongozi anaaga Dunia akiwa kwenye kiti chake. Kwa wasiofahamu, huu wadhifa ni mkubwa sana kwenye utawala wa nchi, hata Waziri Mkuu ni mdogo kwa kiti hiki. Naweza kusema hata Makamu wa Rais ni mdogo kwa umuhimu wa kiti hiki kwa Rais.
Huyu ni Rais mwenyewe kwa sura nyingine. Huyu ni mshikaji mkubwa wa Rais wa kupika na kupakua (Usidanganywe na protokali unayoona machoni hali ni tofauti sana katika uhalisia)
3. Waziri wa Katiba na Sheria anaaga Dunia akiwa kwenye kiti chake. Hiki kiti ni alama ya utamaduni na ustaarabu wa nchi katika kujitawala; sasa anafariki akiwa madarakani. Yaani huyu ni ustaarabu wa nchi katika kila eneo. Sasa, anafariki akiwa kwenye kiti chake.
4. Waziri wa Ulinzi anafariki Dunia akiwa kwenye kiti chake. Hiki kiti ni alama ya utekelezaji na uimara wa majukumu ya kiulinzi ya nchi. Kwa maneno mengine, huyu ndio mbeba mikoba ya ulinzi kwa ajili ya Rais.
Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi n.k. ni kama vitengo vya ulinzi tu, na Msimamizi wake mkubwa kwa niaba ya Rais ni Waziri wa Wizara hii.
5. Waziri wa Afya na Naibu wake naona wanapuyanga na Corona. Leo wanasema ipo Kesho wanasema haipo na Corona inaendelea kuwadondosha raia makumi kwa mamia. Kwa maneno mengine ukuta wa Afya wa nchi una-tikisika, nyufa kila mahali mithili umekumbwa na tetemeko kubwa.
7. Hatujakaa sawa, mwanamke anakaa kwenye kiti cha ukuu wa nchi (usiniambie hii ni kawaida). Mwanamke mwenyewe anatoka kwenye Imani ya watu wasioamini ukuu katika mwanamke. Na kama haitoshi, mwanamke mwenyewe anatoka kwenye nchi ambayo ni ndogo kiushirika wa Muungano (Zanzibar)
kulinganisha na mshirika mwenzie (Tanganyika). Sio kwamba hili haliwezi kutokea, la hasha ila hutokea kwa maandalizi mahsusi kabisa. Kinachotia fora zaidi mwanamke huyo anakaa kwenye kiti cha ukuu kwenye Jamii ya mfumo dume ulioshika hatamu.
7. Unadhani yameisha? Sikia na hii: Mjenzi Mkuu wa madaraja na barabara wa nchi anaaga dunia akiwa kwenye kiti chake. Yaani ni sawa na kusema huyu ndio anajua ramani ya namna ya kuunganisha nchi yote. Sasa, bila hili wala lile anadondoka kwenye kiti na kuhitimisha safari yake.
8. Kwa kuongezea Kiongozi Mkuu wa chama pinzani @freemanmbowetz anatiwa jela. Yes, ana kesi kubwa ya ugaidi. Hii haijawahi tokea tangu tupate Uhuru, Nini kinaendelea?
9. Kwa kuendelea mbele zaidi japo muhimu: Hivi nani anaelewa chanzo cha msimamo wa Mbunge anayepingana na Serikali yake (anayejiita askofu ‘Josephat Gwajima’). Anampinga Rais na wateule wake katika vita ya #UVIKO-19, kimaadili hii imekaaje? Mbona chama kipo kimyaaaaaa!
Kwa jicho la tatu, nabaki najiuliza: Je, kuna nini kinaenda kutokea kwenye ardhi na anga ya Taifa hili?

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with The Magna Carta 同理心 人性

The Magna Carta 同理心 人性 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @RealHauleGluck

Aug 24, 2022
#Ethiopia: The African Union cannot deliver peace to Tigray.
Tigray leaders are highly critical of African Union-led efforts to bring peace to Ethiopia - including AU negotiator Olusegun Obasanjo's suggestion that Eritrea should join the peace process.
A peaceful resolution of Ethiopia’s current crisis is not imminent. The genocidal war on Tigray rages unabated. Western Tigray remains under brutal occupation by Amhara regional forces and their Eritrean patron.
Read 39 tweets
Aug 24, 2022
🇪🇹The Addis Ababa regime has started bombing #Tigray forces on Southern fronts. I truly don’t see any progress towards any peaceful resolution; in fact, it looks like we are back to zero. More civilian deaths, more crimes against humanity and more #TigrayIsSuffering
Fighting between forces from Ethiopia's rebellious northern region of Tigray and central government forces has erupted around the town of Kobo, residents and the spokesman for the Tigrayan forces said on Wednesday, ending a months-long ceasefire.
3 residents confirmed they had heard heavy weapons since early morning and confirmed that in the past two days there had been major movement of troops ranging from local Fano militia, to Ethiopian army soldiers and special forces from the neighbouring Amhara region to the area.
Read 10 tweets
Aug 24, 2022
#TigrayUnderAttack: What’s Happening
in Tigray?

On November 4, 2020, unelected Prime Minister of #Ethiopia Abiy Ahmed declared a genocidal war on Tigray, the northernmost regional state of Ethiopia, in collaboration with President of #Eritrea Isaias Afwerki.
Since then, his administration has limited and/or blocked access to, aid, food, water, electricity, telecommunications, health services, and banking services for millions of Tigrayan civilians.
Under the leadership of Abiy and Isaias, the Ethiopian National Defense Forces (ENDF), Eritrean Defense Forces (EDF), Amhara Special Forces, and Amhara militias (Fano) have committed genocide, crimes against humanity, and war crimes against the people of Tigray.
Read 6 tweets
Aug 13, 2022
#KenyaDecides2022: There is a huge problem because UDA allegedly hijacked Nation servers transmitting results and installed an algorithm to increase Ruto's votes on screen by 100,000 per 500,000 votes.
Then, using their contacts at IEBC, they hacked the server and uploaded bogus forms whose content do no correspond to polling station results on form 34A.
Consequently, IEBC has decided that only verified results at the Constituency level will be announced by the electoral body as valid. So far, Chebukati has announced two Constituencies.
Read 8 tweets
Jul 25, 2022
#TigrayCantWait⚡️ Meet the Guy Who Stormed the Track After the Women’s 5,000 at the 2022 Worlds

- Seconds after Ethiopia’s Gudaf Tsegay won her first global outdoor title in the 5,000 meters at the 2022 World Athletics Championships at Hayward Field,…
… a bearded man in dark blue shorts and a white patterned shirt unbuttoned below his chest ran onto the track, lifted up Tsegay and fellow Ethiopian fifth-placer Letesenbet Gidey and, after a brief chase, was apprehended by security and led away from the track.
It was a bizarre moment if you haven’t been following what’s been going on in Ethiopia for the last year and a half. If you have, you may have noticed the red-and-yellow flag the track invader carried with him as the flag of the Tigray region of Ethiopia,
Read 14 tweets
Jul 20, 2022
#Tanzania⚡️Katika hatua za kuboresha Mfumo wa Haki Jinai nchini Mhe. @SuluhuSamia amefanya mabadiliko ndani ya Jeshi la Polisi (@tanpol) nchini kwa kumteua aliyekua Kamishna wa Polisi Camillus Wambura kuwa Inspekta Jenerali na Mkuu mpya wa Jeshi la polisi nchini (IGP).
IGP Wambura anachukua nafasi ya IGP- Sirro (mstaafu) ambaye ameteteuliwa kuwa Balozi nchini Zimbabwe.
Moja ya jukumu kubwa la IGP Wambura no kuigeuza taswira ya @tanpol na kuhakikisha Jeshi la Polisi nchini linabaki kuwa kiungo muhimu cha kulinda Haki, Ulinzi na usalama wa raia.
IGP Camilius Wambura kitaaluma na kiutendaji ni mpelelezi aliyebobea, pia ana weledi katika nyanja ya upelelezi, ni mara chache sana kusikikia malalamiko kwenye kazi ya upepelezi ya aliyekuwa Kamishna Wambura (IGP).
Tunategemea IGP -Wambura ataendelea kusimamia Haki na Weledi.
Read 6 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(