criannicas♟️ Profile picture
Nov 28, 2021 21 tweets 7 min read Read on X
Hivi ndivyo Metaverse itawanufaisha content creators na kila mtu kujipatia kipato kama ilivyo kwenye real world.
Tayari metaverse tumeshaanza kuiishi >>> Kupitia hii thread nitagusi sehemu ambazo tayari watu wanajipatia fulsa
-Content creators
-Gamers
-Freelancers
-Real Estate brokers

Kabla ya kuendelea na hayo maeneo, tuelewe METAVERSE kwa ufupi.
Kama unafatilia movie za AVATAR issue ya metaverse sio kitu kigeni kwako, tumezoea kuona kwenye movie.
Makampuni ya games kama Roblox imekua inatumia visual reality kama sehemu ya watu kua entertained kwa kucheza games.
Asante kwa inventors waliochangia tech inventions >> 1970 Robert Khan akaja na Interent Protocol au Transmission control protocol IP/TCP.
1990 invetor Tim Berners akatuletea World wide web (www) web1 kutuwezesha ku-access taharifa mtandaoni kupiptia website na Hyperlink hadi.
Behind the scenes kuna kikundi kinaitwa Cypherpunks ambao hata kabla ya internet walijua hata ambayo hatujayaona. Walijua wapi tech inaelekea ndio haohao pia walianzisha Digital coins kama Digcash na Bitgold hata kabla ya Bitcoin ingawa zilifeli.
Cypherpunks pia walitengeneza EGold miaka miwili badae Elon Musk akaleta PayPal kama e-wallet amabayo hadi leo tunatumia.( >>> Hii itakua topic ya siku nyingine , tuendelee na metaverse)
2003 Facebook ilikua launched kama FaceMash kabla ya kuitwa Facebook 2004, Lengo ilikua kuiweka Dunia kua connected. Hadi kufika 2021 kupitia Facebook unaweza share Picha, video bila expression ya uwepo wako na mtu unaeshare nae moments
>>> Hapa ndio Metaverse inatuletea expression on moments in a real world. Yaani mtu wako yupo Kigoma huko kwa kina @Mpambazi wewe upo zako Dar Mnaenda kukutana Man city pale au Paris Ujerumani😅😅
So, Metaverse kwa ujumla ni visual world ambayo inawakilisha ulimwengu kwa uhalisia wake ( Physical world)
Kupitia metaverse unaweza miliki kiwanja (Land). Kama ilivyo ulimwengu halisia.
Sehemu yoyote ambapo kuna mkutano wa watu lazima kuna fursa
-Gamers & NFT Developers
-Event hosting
-Land Managers & designers
- Freelancing

Nitajitahidi nielezee moja baada ya nyingine. Ndugu zangu walio kalili fulsa za mtandaoni ni utapelihawatanielewa hata kwa bunduki
1/ Gamers na Content Creators (NFTs)
Utakua umesikia neno NFT (Non-Fungible Token) kama crypto asset. Kwenye Metaverse ni sehemu ya visual reality, tunahitaji arts, vidios na contents k ambazo watu wataweza nunua na kuzitumia kama ilivyo ulimwengu halisia.
Tembelea sites za Decentraland , Sandbox na Infinity ( AXIE) huko unaweza tengeneza games pia kupitia Opensea unaweza tengeneza NFTs na kuuza.
Kama huna uelewa kuhusu NFTs tembelea hiyo thread yangu
2/Freelancing
twitter kuna watu kama @mafolebaraka wanafanya kazi za watu/ makampuni mbalimbali na kulipwa >> hivohivo kwenye metaverse. Sehemu yoyoyte yenye mkusanyiko wa watu lazima kue na business owners na siku hizi biashara zate ni kupitia social medias.
Freelancers wenye Digital marketing skill, Graphics designers, Computer engineers na developers , community managers wanahitajika.
Last time Sandbox walihitaji watu wa kumanage communities zao kupitia groups za telegram, twitter na Facebook... hizo ndo fulsa.
3/ Events hosting
Metaverse ni sehemu ya kuvijali yani, moments na marafiki au ndugu mnapiga story. Nikiwa na kiwanja kwenye site kama Sandbox au Decentraland nitaweza host events za muziki na kulipisha.
4/ Land designers
Kuna watu wanasomea architecture na hawajui ni vipi itakua applied kwenye metaverse.
Ipo hivi >> nitakua na kiwanja Decentraland , ikiwa nahitaji kukifanya sehemu ya kuhost events za mpira au concerts lazima nihitaji architecture kupitia freelancing site.
5/ Real Estate brokers
Tunajua madalali wa viwanja, nyumba na majengo. Kupitia Sandbox na Decentraland utanunua kiwanja chako lakini itafikia muda utahitaji kukiuza >> hapa kati ndipo wataingia Dealers .
Cryptocurrencies zitakua zinatumika kwenye metaverse kama ilivyo huku utamlipa mtu kwa Dollar au Euro.
Kwenye Decentraland utanunua Ardhi kwa MANA COINS, Huwezi miliki NFTs bila kua na ETHERIUM COIN...
Kuna mtu atajiuliza pia, Kwani kwenye Metaverse kuna Bank? 😎Jibu ni HAPANA huku kuna Exchange wallets. Hutaweza kulipwa au kulipa pasipo kua na Wallet.
Hadi kufika 2030 kutakua na wimbi kubwa ukosefu wa ajira kutokana na Maendeleo ya Technology… AI ndio mfano dhabiti kuanza kutegemea Robots kufanya kazi Zaidi ya kutegemea binadamu.
Makampuni mengi yanaangalia kua cost effective, labour utilization with less supervision, kupitia hiyo wengi waatapoteza kazi. Unahitaji kujua wapi tunaelekea kuongeza skill moja baada ya nyingine. Asante

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with criannicas♟️

criannicas♟️ Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @criannicas_

Feb 11, 2023
The first two years of me trading I was losing money back to back ( Nilikua napoteza pesa! )

Here is how I made it back💰. Seven steps for you to make it in trading.
- Simple 7 steps

#thread 🧵
1/ Get educated

It’s nice to learn free material but they never show you exactly how to make money in a professional way.
- 2 years of me losing I had no guidance. It’s better to have a friend or a person who has done it before you.

It’s better than wasting time and money.
2/ Develop a trading strategy

I used to trade blindly like most beginners do, changing strategies day after day.
- My biggest mistake was trading without knowing what strategy i’m using.
- Build a strategy that will guide your decisions in the market.
Read 10 tweets
Apr 21, 2021
THREAD OF MY ALL BEST THREADS.
👇👇👇👇👇👇👇
Jinsi ya kufanya stocks investments na dividends companies
Read 13 tweets
Oct 1, 2020
#Thread. NON-FARM PAYROLL NI NINI NA JINSI YA KUTRADE KWENYE SOKO LA FOREX.

Hapa nitakuelezea jinsi NFP inaweza kuongezea profitability kwenye Forex market. Image
NON-FARM PAYROLL NI NINI?
Non-Farm Payroll kwa kifupi inajulikana kama NFP. Hizi hua ni economic data ambazo hutolewa kila Ijumaa ya mwanzo wa mwezi katika uchumi ya Marekani. Kwenye soko la Forex NFP inasababisha speed au volatility kubwa ya kubadilika kwa thamani ya sarafu.
Hizi data zinaashiria nini?
kama nilivosema hapo awali NFP reports ni kwa upande wa Marekani na hua zinapima namba au kiwango cha watu walioajiliwa na wasio ajiliwa ukitoa sector ya Kilimo. Effects zake kwenye soko la Forex inatokea with 30-45 minutes Image
Read 14 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(