Madinidotcom Profile picture
Jun 23, 2022 23 tweets 9 min read Read on X
UMESIKIA MENGI KUHUSU MGOGORO WA #RWANDA NA #DRC LAKINI PENGINE UNASHINDWA KUELEWA WTF IZ GOING ON?🧐🤭
Kuna njia mbili za kuelewa,ya kwanza ni usome Uzi ufuatao.
Pili usikose show'Jmosi hii eastafricaradio.com
History iliyorahisishwa na #SabulaMaarifa wa #MadiniDigital.
Iko hivi!! Kitambo hicho Rwanda iliwahi ku-operate chini ya mwamvuli wa KIFALME uliokuwa ukiongozwa na mwamba wa kuitwa KIGELI IV RWABUGIRI.
Rwabugiri alikuwa ni jamaa fulani hivi kutokea Kabila la walio wachache (TUTSI) kule Rwanda.
na aliingia kwenye vitabu vya kihistoria kama kiongozi pekee wa taifa hilo aliyeamua kufanya mashirikiano na Serikali za KIKOLONI. By the way kama tunavyojua kuwa RWANDA kuna Makabila makuu mawili, na la 3 ni nyongeza, kuna walio wengi ambao tunawatambua kama Wa-HUTU
na walio wachache ambao ni TUTSI lakini kabila la 3 ni TWA ambao kihistoria ndio wa kwanza kuja Rwanda.Wahutu na Watutsi waliwakuta pale ila ni wachache na shughuli zao za kijamii haziwapi kiki sana.
Sasa huyu RWABUGIRI alikuwa kutokea upande huu wa jamii ya walio wachache ambao Wa-TUTSI (anapotokea Kagame)
RWABUGIRI aliongoza kwa muda mrefu na baadae alifariki lakini misingi yake iliendelea kuishi.Sasa ujue issue ya kushirikiana na MABEBERU,
haikuwapendezea kabisa jamaa zetu wa KI-HUTU na mara kadhaa walishakinukisha kujaribu kuuondosha madarakani UTAWALA wa KIFALME bila mafanikio.
Ujue walichokuwa wakifanya WAKOLONI kule Rwanda ni kwamba waliacha milango wazi kwa MACHIFU wote kuja na kufanya nao mashirikiano.
Wa-HUTU wao jambo hili lilionekana kupingwa vikali kwakuwa waliamini walikuwa na uwezo wa kujitawala wenyewe.
RWABUGIRI ambaye alikuwa akiongoza jamii ya walio wachache aliona ni fursa kuamua kutembea na HASHTAG ya JK 🇹🇿 kwamba 'Ukitaka kula lazima na wewe uliwe kidogo' 🥳
Kwa namna fulani mgogoro baina ya jamii hizi mbili Wa-HUTU & Wa-TUTSI ni kama ulianziaga hapa .Hii dillema ya machaguo ya kijamii wakati wa uhuru iliwapata pia NIGERIA tulikuletea saga la BIAFRA.
So Wa-HUTU walianzisha struggle za kuhakikisha wanauondoa UTAWALA wa KIFALME.
Mapinduzi yale yalifanya jamii kubwa ya Wa-TUTSI kuikimbia nchi na kwenda kutafuta hifadhi kwenye mataifa jirani kama Uganda,Congo na Tanzania ikiwemo.

Sasa wakiwa huko bhn Wa TUTSI hawakulaza damu,wakaanza kujipanga kwa kutoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana wao...
LENGO KUU likiwa ni kuona siku moja wanarejesha UTAWALA wao ndani ya Rwanda 🇷🇼
Hapo katikati (Toka Mapinduzi ya mwaka 1960) kulifanywa majaribio kadhaa ya kupindua nchi by Wa-TUTSI ambayo yalifeli.
Ni katika kipindi hichi ndipo neno COCKROACHES (Mende) nchini Rwanda.
Wa-HUTU walitumia neno hili kuyaelezea makundi mbalimbali ya Wa-TUTSI yaliyokuwa yakijaribu kupindua Nchi. baadaye lilitumika kwenye Media wakati wa mauaji.
Mfululizo wa majaribio haya ya ki-mapinduzi yaliyokuwa yakifanywa na vikundi vya Wa-TUTSI uliendelea bila mafanikio.
Then ukafika mwaka 1990 Paul Kagame akiwa na kikundi Chake cha waasi Rwanda Patriotic Front (RPF) wakafanya Uvamizi wa NGUVU ulioitikisa Serikali.KIKAUMANA HASWA!
Wakati huu jamaa walikuja na nguvu kiasi cha kufanikiwa kushikilia baadhi ya miji na kushikilia mateka wa kivita
Kitendo cha kikundi kufikia kushikilia wapiganaji wa serikali,you can see walikua walikuwa zaidi ya kundi la waasi.Ikamlazimu Rais Juvenal Habyarimana kukubali kurudi mezani kwa mazungumzo.
Eneo la mazungumzo likawa ni CHUGANISTAN kwa Machalii wa R (Arusha-Tanzania)
na haikushangaza kuona trip za Kigali to Tanzania kwa Rais Habyarimana pamoja na delegation yake zikiongezeka maradufu kwa wakati huo
Huku mazungumzo baina ya Upinzani ambao ni ulikuwa ni Rwanda Patriotic Front (RPF) na Serikali ya Rwanda yakionekana kwenda vizuri kule ARUSHA.
Ghafla #PichaLinaanza taarifa zikaja, ndege ya Rais Habyarimana imetunguliwa ilipokuwa ikijaribu kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kigali(Rwanda) na kuuwa watu wote waliokuwa ndani ya ndege hiyo akiwemo rais wa Burundi ambaye aliomba Lift! ukawa ukaribisho wa RWANDA GENOCIDE!!
Jamii ya Wa-HUTU ililihusisha tukio hili la kutunguliwa kwa ndege ya wao Habyarimana na jamii za Wa-TUTSI so KIKAUMANA.
Yakafanyika mauaji dhidi ya jamii ya walio wachache (TUTSI) lakini hatimaye RPF chini ya Rais Paul Kagame wakafanikiwa kuyatwaa madaraka na kukomesha yote.
Utakumbuka tulikuletea Deep kuanzia hapa na kuendelea kwenye episodes zetu kuhusu visa na mikasa ya tukio hili.
AND THAT WAS THE BEGINNING OF THE NEW TUTSI SUPREMACY IN RWANDA.
Upande wa pili baadaye wengi ilibidi waikimbie nchi na kwenda nchi jirani ya CONGO.
Huko walikwenda kufanya makazi katika miji mbalimbali iliyopo Mashariki mwa nchi hiyo 🇨🇩Sasa wakiwa huko bhn ni kama nao wanaonekana kuendelea na mipango ya chini kwa chini ya kuona namna siku moja watarejesha tena UTAWALA wao ndani ya taifa la RWANDA 🇷🇼
Wanachofanya RPF (RWANDA) ni kuzuia uwezekano wa hawa jamaa kujipanga upya na kufanya kile walikifanya wao 1994 .Ukumbuke hadi leo kuna vikundi na watu binafsi wengi wanaopambana kumng'oa rais Kagame,na yeye ameshasema na kuonyesha mipango yake ya kupambana nao MAADUI WA TAIFA.
#Taarifa ya hivi majuzi iliyotolewa na Serikali ya Kongo imeonyesha kuishutumu moja kwa moja Serikali ya Rwanda kwamba inasapoti kikundi cha UASI cha M23 .Ni kwasababu kuna story ya MASLAHI ya jamii za wanyarwanda ndani ya DRC na maeneo hayo ambayo yana utajiri mkubwa
Jambo ambalo pengine utakuwa hulifahamu ni kuwa hawa wa M23 ni aina ya Wa-TUTSI wapatikanao CONGO ingawa kwa kule huwa wanaitwa BANYAMULENGE kwasababu ni jina(bandia)walilolitumia wakati wanaoung'oa utawala wa MOBUTU SESE SEKO wakisaidiana na LAURENT KABILA.
Usaidizi huu wa BANYAMULENGE wa MCHONGO yalikua makubaliano ya SIRI kati ya LAURENT KABILA na WANYARWANDA hao wakimbizi wakati huo,na unafahamika kama MAKUBALIANO ya Lemera ya mwaka I996.
Mkataba huu wa siri ...
Tunaujadili kiundani na YERICO NYERERE,mwandishi wa kitabu cha UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI.Ukitufuatilia utagundua unaunganisha doti nyingi za matukio ya dunia kwa lugha ya kishkaji.Usikose Eastafricaradio kila jumamosi saa 9alasiri hadi 10jioni .

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Madinidotcom

Madinidotcom Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @madinidotcom

Dec 22, 2022
MAFUTA YANATOKA-GA WAPI?🤔
#PICHALINAANZA...
Mpaka sasa jibu la kisayansi juu ya chanzo cha uwepo wa mafuta, hata mimi sipendagi sana kumuaminisha mtu😅,Tho nitakuelewesha wanasega nini ,ukiona haikuingii basi tuishie kukubali tu MUNGU FUNDI.Lakini wanasema...
ni matokeo ya mgandamizo(presha) wa mimea,viumbe waliowahi kuishi duniani na mazagazaga kibao yaliyovunda-ga ardhini ambapo vilitengeneza hewa ya HYDROCARBON.
Hii HAIDRO-KABONI wala isikuogopeshe,hili jina ni kitu kinachotokeaga pale...
Kemikali za asili wanaita Organic chemical yaani unajua kuna zile kemikali za maabara za mikonoYaWatu na hizi za Asili zinaweza kujiumba zenyewe tu labda umetupa takataka na vyakula sehemu moja,then zinajimix zikivunda huenda kuna chemical zinajitengeneza.
Read 25 tweets
Aug 25, 2022
SAKATA LA MAUAJI YA RAIS WA CONGO.
🧵🔥

#PichaLinaanza Hili ni picha kuhusu tukio la kuuawa kwa rais wa Congo Laurent-Désiré Kabila,ni kama movie la kutisha lakini BASED ON TRU EVENT. Mwamba ambaye ni Stelingi wetu anaitwa RASHIDI MIZELE,baadaye mastelingi watabadilika. Image
hii ndio story,ambayo tulikugusia episode zilizopita za rais aliyeingia mkataba maarufu wa kuigawa Congo MKABA WA LEMERA.HADI leo Congo juzi kati imekubaliwa kuwa sehemu ya africa mashariki,ni nchi yenye historia nyeusi.Licha ya kwamba imebarikiwa madini... Image
ANZIA HAPA......agiza popcorn kabisa

Acha turewind mkanda ,Lets go back hadi siku ya TUKIO lenyewe la mwamba aliyempiga risasi kadhaa Rais wa nchini na akatoka zake mbio akitarajia kutoroka.Huyu ndo mwenye siri hii nzito ya KWANINI alimuua rais wa Congo Laurent-Désiré Kabila Image
Read 20 tweets
Aug 23, 2022
SAKATA LA BILIONEA JEFF BEZOS NA KING SALMAN WA SAUDIA.

Did you know unaweza kuhack an Iphones? Unafahamu ndicho chanzo cha tajiri namb 1 duniani Jeff Bezos kuachwa na mkewe?unafahamu aliyefanya hilo tukio ni King Salman kiongozi wa Saudi Arabia? #PICHALINAANZA Image
Kuna imani kwamba iphones zina strong security ni ngumu kuichezea,yes inawezekena bhanaa lakini kudakwa ni njenje.Sasa hacking inahitaji vitu flani ambavyo sometimes ni teknolojia ghali au lazima uwe na connections kali .
Juzi kati ikatangazwa BREKING NYIUZ Image
WhatsApp imeishtaki kampuni flani inayodevelp computer programs kutoka Israel. Sababu inashtumiwa kumpa Paul Kagame wa Rwanda program ya computer iliyowezesha kudukua "WhatsApp conversation” za wapinzani wa serikali ya Rwanda wanaoishi uhamishoni wanaojiita 'wanaharakati' Image
Read 37 tweets
Jul 13, 2022
MAUAJI YA Mohsen Fakhrizadeh KAMA MOVIE.

Uzi 🧵

Kuiadhibu Iran kama taifa kwa adhabu za vikwazo vya kiuchumi hakujaweza
kuzuia hatari inayosemwa na mataifa makubwa, na 'NEXT' mbinu ni kudeal namtu mmoja kwasababu kuivamia kijeshi pia ni jambo linalowezekana lakini... Image
unahitaji kujipanga sawa sawa kama asemavyo Rose mhando.Kuna mauaji ya wanasayansi wa nyuklia yameshafanyika lakini huyu aliyeuawa Mohsen Fakhrizadeh,tunasema wahuni wamegonga ikulu. Iran sio mgeni wa hiki kinachowakuta kwasababu kilianzia IRAQ Image
aliyekuwa rais wa marekani George W bush sababu KUU aliyotoa ya kuanzisha vita na Iraq 2003, alisema Iraq ilikua inarutubisha na kununua kiwango kikubwa cha Uranium inayochimbwa Africa.Haya madini tuseme ni kama ndizi ambazo unaweza kuMIX ndizi moja na maziwa ukasaga kwenye Image
Read 25 tweets
Jul 11, 2022
Nni kinaendelea SRILANKA? Sehemu 2

Uzi🧵🙌

#PichaLINAENDELEA anzia post ya jana.

Ankali GOTABAYA alipoingia madarakani 2019 aliahidi kodi za kibwege atazifutilia mbali,wananchi wakaona “eheee,huyu ndo mwaisa mtu mbadi wetu”km ujuavyo ujuavyo kila mtazamo hujengwa na historia Image
so shida ya wana SRI LANKA ilikuwa kuona nchi inarudi kusimama kwa miguu yake,mambo ya wewe ni nduguyakeNani wala hawajali sana. Alipoingia ankali GOTABAYA alionekana ni mtu wa kusimamia maneno yake, akapitisha panga la kupunguza kodi kwa wananchi ,kampeni ambayo ilipunguza 25% Image
yaani robo ya pato la taifa ili wananchi wafurahi.Wakati anafanya hili ni wakati ambao alikuwa akijiandaa na uchaguzi mkuu.Watalamu wa kiuchumi hawakushauri hili lakini yeye alisema anataka biashara ndogondogo za wananchi wanyonge wa hali ya chini zichipue,so wasilipe kodi . Image
Read 25 tweets
Jul 10, 2022
Nini kinaendelea SRILANKA..?

Uzi🧵

#Trustory labda umeshaona story nyingi kuhusu SRI LANKA na labda hujui tumefikaje hapa na ndiyo sababu unasoma hapa,au unajiuliza hivi nchi inawezaje ku collapse kiasi cha kukosa hela?kwanza nchi inakosaje hela?inamaana noti zimepotea? Image
Mwingine hata huelewi SRI LANKA yenyewe ndo wapi. So twende nikupe historia simpo yenye MASUALA Mazima ya uchumi ndani yake. Sri lanka ni kisiwa kipo kusini mwa INDIA zamani sana inasemekana kulikuwa na barabara kabisa kutoka INDIA hadi SRI LANKA ya sasa Image
lakini #Trustory maji yalifukia hilo eneo na sasa wana mpaka wa kwenye maji,ni sawa na kusema SRI LANKA zamani ilikuwa #peninsula na sasa ni kisiwa, ukiangalia watu wake wanafanana na jamii ya wahindi.Ushaskiaga wahuni wanaitwa Tamil Tigers? ImageImage
Read 25 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us!

:(