Mchachu🇸🇧 Profile picture
Jan 21 19 tweets 3 min read
Sifa 15 za Mwanaume mwenye future na anayejitambua....☟😎

Thread -🧵👇
Hizi hapa ni sifa 15 ambazo mwanaume mwenye future na anayejitambua lazima awe nazo..☟
1. Husimama kama Mwanaume

Siku zote hujitahidi kuonesha kuwa yeye ni mwanaume na sio mvulana mkubwa.
2. Ana malengo yaliyo wazi

Anajua na kusimamia malengo yake, ngumu kumkuta akiishi bendera kufuata upepo. Na anapenda kile anachofanya.
3. Anajiamini Mno

Mwanaume anayejitambua anaamini anaweza kufanikisha chochote na kwanza kila muda anapaswa kujifunza mambo mapya kwa ajiri ya ukuaji wake.
4. Anasapoti Wengine

Husaidia wengine kukua na wala hawezi kuwashusha ili yeye apande. Hawezi kuchukia wale anaowasaidia wakimpita kimaendeleo kwani anaamini mtoaji ni Mungu pekee
5. Husimamia Kauli zake

Haongei kitu ambacho hakimaanishi . Anaamini kuwa akiongea uongo ataharibu hadhi yake.
6. Mwenye Busara na Hekima

Ukiongea nae kila wakati unajifunza kitu, anakufanya ujisikie na ujiamini kuwa unaweza. Vijana wengi humuita rolimodo wao.
7. Kuwa Smart na Kunukia Vizuri

Haijlishi kazi au mazingira aliyopo, Atajitahidi awe smart na anukie vizuri no mara waaaaa...
8. Hatishwi na mafanikio ya wengine

Mwanaume imara, anayejiamini, anayejitambua na kuelewa wajibu wake, hatishwi na uimara wala mafanikio ya wengine.
9. Hukubari kukosolewa

Mwanaume anayejitambua atafurahi zaid pale anapokosolewa kuliko kusifiwa sifiwa hovyoo.
10. Hakimbii Matatizo

Hata kama tatizo ni kubwa namna gani hawezi kukimbia, atatafuta mbinu yoyote ya kulitatu hata kwa kushirikisha wengine.
11. Halii lii Hovyo.

Hata kama akifiwa au mahusiano yake yakivunjika, Humkuti akilia lia au kulalamika hovyo mbele za watu au mwenye mitandao ya kijamii.
12. Humjari Mpenzi wake

Hufanya kila njia mwanamke wake awe na furaha na amani na kumtimizia mahitaji yake yote.
13. Hawezi kucheat

Mwanaume anayejitambua hawezi kucheat, na hata ikitokea kwa bahati mbaya, hatokiri ili kulinda imani na amani ya mwanamke wake kwake.
14. Hana Mzaha

Sio mtu wa kupenda mzaha na wala sio mtu wa kuomba omba msamaha kila wakati isiyokuwa na kichwa wala mkia.
15. Mtu wa Watu

Mwanaume anayejitambua jamii yake humtambua kwa mchango wake. Hakosi kuhudhuria shughuli zote za kijamii labda awe na dharura. Ni mtu wa wapwa haswaa.
Hizo hapo ni baadhi tu ya Sifa za Mwanaume mwenye future na anayejitambua. Ukiwa na hizi sifa unaweza kuleta mabadiriko chanya kwako na kwa jamii nzima.
Kama umejifunza kitu kupitia #Uzi huu, ni muda wa kulipa fadhira kwa kufanya haya...☺☟

1. Nifollow @mchachu_ 💯

2. Retweet iwafikie wengi na usisahau kuweka notification on.

Weekend Njema❤

• • •

Missing some Tweet in this thread? You can try to force a refresh
 

Keep Current with Mchachu🇸🇧

Mchachu🇸🇧 Profile picture

Stay in touch and get notified when new unrolls are available from this author!

Read all threads

This Thread may be Removed Anytime!

PDF

Twitter may remove this content at anytime! Save it as PDF for later use!

Try unrolling a thread yourself!

how to unroll video
  1. Follow @ThreadReaderApp to mention us!

  2. From a Twitter thread mention us with a keyword "unroll"
@threadreaderapp unroll

Practice here first or read more on our help page!

More from @mchachu_

Jul 19, 2022
Biashara ya kuonesha mipira - Vibanda umiza..💰⚽

Nakusogezea Uzi huu ujue namna ya kuanzisha na kuendesha biashara hii kwa mafanikio✌

#Thread
Twende Chap..Kwa sasa; watanzania hufatilia kwa ukaribu sana ligi maarufu na hata hii ya bongo hivyo fursa hii haikulazi njaa. Ukipita uko mtaani story ni Simba, Yanga, Chelsea nk.
Mambo ya msingi ya kuzingatia ili kuanzisha na kuendelea biashara hii ni haya...☟

1. MTAJI💰

Hakikisha una mtaji usiopungua 5m ili kufanya biashara yenye tija. Mtaji mkubwa utakuwezesha kutoa huduma bora zaid na kuvutia wateja wako.
Read 12 tweets
Jul 17, 2022
Kwa nini Mungu alimfyekelea mbali Onani alipomwaga nje..🙌☟

Thread📖 Image
Alikuwapo mtu mmoja aitwae Yuda mwana wa Israel, huyo alioa mwanamke mkanaani na kuzaa wana watatu Eri, Onani na Shela Mwa 38:2-5
Huyo Eri alioa mke aitwae Tamari. Unaambiwa Eri alikua muovu kinoma, Mungu akamuua, sasa alikua anafanya dhambi gani me sijui lkn mnaweza kuhisi😊 Mwa 38; 6-7
Read 10 tweets

Did Thread Reader help you today?

Support us! We are indie developers!


This site is made by just two indie developers on a laptop doing marketing, support and development! Read more about the story.

Become a Premium Member ($3/month or $30/year) and get exclusive features!

Become Premium

Don't want to be a Premium member but still want to support us?

Make a small donation by buying us coffee ($5) or help with server cost ($10)

Donate via Paypal

Or Donate anonymously using crypto!

Ethereum

0xfe58350B80634f60Fa6Dc149a72b4DFbc17D341E copy

Bitcoin

3ATGMxNzCUFzxpMCHL5sWSt4DVtS8UqXpi copy

Thank you for your support!

Follow Us on Twitter!

:(