How to get URL link on X (Twitter) App

Mauaji ya Haraiki ya jonestown yalitokea Novemba 18, 1978 waumini kwa kimarekani wapatao 900 wa dhehebu la kidini lililoitwa "Peoples Tample walikufa kifo kilichoelezewa kama mauji ya kujiua ya Umati kufutia agizo la kiongozi askofu wao aliyeitwa Jim Jones aliyeishi
...maana tumewapiga bao hata wamerekani au?? Filamu hii ina kichapo kinachofanana kwa mbali na filamu ya ANNA kama umeiona utakuwa umeelewa kama hujaiona ni muda muafaka kuitafuta, filamu hii imeongozwa na Yate Taylor na kuandikwa na Matthew Newton wahusika wakuu wakiwa
...kwa majina mengi kama freak wave, monster wave, episodic waves, Killer waves, Extreme waves na abnormal waves...Haya ni mawimbi makubwa sana yanayoweza kwenda juu mita 70 hadi 300 (kwa utafiti wa hivi karibuni) sawa na viwanja vitatu vya mpira mguu kutokea kwenye usawa wa

1. The Long Road Home (Iko Season 1)




kuandika uzi huu, mimi sio daktari nitakayoyaongea hapa ni kutokana na kusoma vitabu, vijaranda na vyanzo mbalimbali sio lazima ukubaliane nayo.
pasipo kudharau kwa ajili ya Afya zetu
zinazoheshimika za ACADEMY AWARDS, Lakini tuzo za Razzie zimekuwepo kwa miaka 40 hadi hivi leo na zinaenda sambasamba kabisa na tuzo za Academy Awards
inaongelea kupotea kwa watu pasipo kujulikana walikoenda, kupotea kwa miji na isionakane tena, meli kubwa kutoweka kabisa katika uso wa dunia na kutoonekana hata kipande chake, ndege kupotea na abiria kutoonekana hata mwili mmoja wala kipande cha ndege
ambazo mostly huwa ni zenye matukio ya kufikirika zaidi. Jambo ili linaonekana kuwezekana, filamu na Tamthilia nyingi tu zimeonyesha uwezekano wa Jambo ili ata kwa kujaribu kutumia theory mbalimbali kuipa idea hii uhalisia flani uku nadharia zao zikiwa zimeegemea zaidi kwenye
katika jiji la Washington D C akiwa kijana wapekee wa mwanamama Elizabeth Harriet and Roy Henry Jackson alikulia zaidi katika mitaa ya Chattanooga , Tennessee. Baba alikuwa akiishi mbali na familia yao katika mji wa Kansas City , Missouri na baadae alifariki kwa matumizi ya pombe

mwaka 2019. Kuwa filamu bora na tuzo bwelele ndo iliyonifanya niitafiti kwa kupitia majalada mengi ya filamu duniani, pia nilifanikiwa kusoma ripoti mbalimbali za wachambuzi wa filamu duniani na mwisho niliweza kuitizama huku nikijiuliza nini hasa kilichopo kwenye filamu hii 

https://twitter.com/CipherdotM/status/1220574019654733829?s=19) ambayo inamzungumzia Gaidi wa dawa za kulevya aliyefanya ulimwengu kuchanganyikiwa kutokana na madhara ambayo dunia ilishuhudia
kutokana na ukatili wa huyu jamaa
maisha ya Halali na akifanya Biashara zake halali bila tatizo. Baada ya kukamatwa kesi yake inafika mikononi mwa wakili wa serikali wa mji wa New Jersey Nicholas Bissell. Akijifanya kuibeba na kuisimamia sheria kuhakikisha wanapambana na tatizo la madawa ya kulevya katika mji
simanzi kubwa sana kwa yale yanayotokea ndani yake ,kuonyesha hicho nilichokiongea hapo juu.
na kutokana na ukali wake na actions zake kuwa kali na za kufurahisha HAKUNA MUDA WA KUIMBA WALA HAKUNA NYIMBO kwenye filamu hii, Kichapo kinaanza kuanzia filamu ilipoanza hadi inaisha (hivi si unajua kuwa ukiangalia filamu kali na yenye hisia kali
Watu wengi wamekuwa wakiziona na kuzitizama filamu za IP MAN kama tu filamu zingine za mapigano ya kufurahisha. Lakini filamu hizi zinaongelea historia ya master wa Martial art aliyewahi kuishi kunako miaka ya 1893 hadi 1972. Master huyu alikuwa anaitwa YIP MAN aliyezaliwa tarehe
kwa pamoja wanatengeneza kitu kijulikanacho Kama Egual Justice Initiative. Baadae anasafiri na kwenda kukutana na mfungwa Walter "Johnny D" McMillian mfungwa Anae subiria hukumu ya kifo akiwa kahukumiwa kwa mauaji ya Ronda Morrison yaliyotokea mwaka 1986.