Deograsius Andrew๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile picture
BA in Economics(UDSM) | Economical & Political Analyist| I Nyeupe ni Nyeupe โšช Nyeusi ni Nyeusiโšซ.| โ“โ“”โ“ฅโ“”โ“ก โ“ขโ“ฃโ“žโ“Ÿ โ“ฃโ“—โ“˜โ“โ“šโ“˜โ“โ“–
Aug 22, 2023 โ€ข 26 tweets โ€ข 5 min read
๐Ÿ…ค๐Ÿ…’๐Ÿ…—๐Ÿ…๐Ÿ…œ๐Ÿ…‘๐Ÿ…ค๐Ÿ…ฉ๐Ÿ…˜.

๐•›๐•– ๐•Ÿ๐•š ๐•œ๐•จ๐•–๐•๐•š ๐•ž๐•’๐•ก๐•š๐•Ÿ๐••๐•ฆ๐•ซ๐•š ๐•ช๐•’ ๐•œ๐•š๐•›๐•–๐•ค๐•™๐•š ๐•Ÿ๐•”๐•™๐•š๐•Ÿ๐•š ๐•Ÿ๐•š๐•˜๐•–๐•ฃ ๐•Ÿ๐•š ๐••๐• ๐•’ ๐•œ๐•จ๐•’ ๐••๐•–๐•ž๐• ๐•œ๐•ฃ๐•’๐•ค๐•š๐•’ ๐•ช๐•’ ๐•ฆ๐•œ๐•’๐•Ÿ๐••๐•’ ๐•จ๐•’ ๐•’๐•—๐•ฃ๐•š๐•œ๐•’ ๐•ž๐•’๐•˜๐•™๐•’๐•ฃ๐•š๐•“๐•š.?

๐ง๐š ๐๐ž๐จ๐ ๐ซ๐š๐ฌ๐ข๐ฎ๐ฌ ๐š๐ง๐๐ซ๐ž๐ฐ

#Thread #Repost #Shukanayo Image Huenda tunaitazama Niger kama nchi ambayo inapitia wakati mgumu kisiasa, hasa baada ya viongozi wa kijeshi wakiongozwa na jenerali Abdourahmane Tchiani kufanya mapinduzi na kumuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum hali iliyoleta migogoro mikubwa hasa kimataifa.
Jul 29, 2023 โ€ข 26 tweets โ€ข 5 min read
KUTAPELIWA DAR NI SUALA LA MUDA TU. ๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ

Short story. #Thread.

Mwaka 2020 kipindi nasoma degree pale Udsm nilikua nafanya biashara ya kuuza simu used online hasa kwenye mda wangu wa ziada ili kujipatia hela ya ziada maana boom lilikua halitoshi.

Please RT. Image Namshukuru Mungu kazi ile mimi binafsi ilinilipa sana na nilikua napata hela ya ziada. Kwani nilikua nanunua simu used kwa wanachuo waliofulia kisha nazipost mtandaoni iwe ni au facebook market place. Basi mteja akiona kule anakupigia mnakutana unamuuziajiji.com
Jul 23, 2023 โ€ข 18 tweets โ€ข 3 min read
SULUHISHO LA KWANZA LA KUDUMU LA TATIZO LA AJIRA TANZANIA.

Tukumbuke kuwa ukosefu wa ajira unasababisha

1. Msongo wa mawazo.
2. Unapalilia umaskini
3. Unapunguza kujiamini kwa vijana wengi ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Leo nimekuja na wazo lenye suluhu ya kudumu.

Na Deograsius Andrew.

#Thread Image Tanzania ina jumla ya Wakazi zaidi ya Milioni 60 kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022. Kati yao zaidi ya milioni 40 ni walio chini ya miaka 40 . lakini pia idadi ya watanzania wasio na ajira rasmi ni kubwa mno zaidi ya nusu ya watanzania wote. Na hili ni tatizo kubwa mno.
Jul 21, 2023 โ€ข 22 tweets โ€ข 4 min read
NDUGU WANASIASA NA WATAALAMU WA MASUALA YA SHERIA.

Barua yangu ya wazi kwenu.!

Kwanza nawasalimu sana. Mimi ni mtanzania mwenzenu tena wa hali ya chini mno.!

Nimeamua kuwaandikia ujumbe huu na kwa kheri uwafikie.

#Thread ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

Picha kwa hisani ya @Jambotv_ Image Nimeamua niseme kitu nanyi, Enyi wenye upeo wa siasa na sheria maana kwenye hili sakata lililoshika hatamu ninyi ndio hodari.

Pongezi zangu ni kwa juhudi zenu katika kuelewesha umma jinsi gani mmebobea katika taaluma zenu na hata leo tunafaidi upeo wenu kama Taifa.
Jul 13, 2023 โ€ข 24 tweets โ€ข 4 min read
ZILE NDOTO ZA UKRAINE KUJIUNGA NATO ZIMEZIMA GHAFLA. ๐Ÿ˜‚

Hii ni baada ya NATO kuonesha bado hawajaridhia maombi ya Rais Zelensky.!

Kwanini.? Basi shuka nao๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

UZI.(Siasa za magharibi)

๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
Tafadhali RT.

(Picha kwa hisani ya GETTY images BBC) Mkutano unaoisha hapo jana wa wakuu wa muungano wa kijeshi ulimwenguni NATO. unaohusisha wingi wa nchi za Ulaya na Marekani. Ulitegemewa kuleta matumaini mapya kwa Rais Zelensky juu ya ombi la UKRAINE kujiunga NATO pindi mgogoro wake na Urusi utakapokoma.
Jun 25, 2023 โ€ข 38 tweets โ€ข 4 min read
KILICHOTOKEA URUSI NI FUNZO KUBWA MNO.

Uzi.

Baada ya kiongozi wa Wegner Bw. Yevgeny Prigozhin kutangaza kusimamisha vikosi kuelekea Moscow na kurudi Rostov kuendelea na plan ya mwanzo dhini ya Ukraine. Hapa kuna Funzo kubwa sana kwa nchi yoyote duniani.

Please RT. Mapema jana Wegner walikua wamechachamaa kuelekea Moscow yaliko makao makuu ya nchi hiyo ya kisovieti. Kiongozi wa kundi hilo alisema wazi kuwa lengo lao si kuipindua serikali ya Putin V.
Jun 17, 2023 โ€ข 36 tweets โ€ข 7 min read
DILI YA SIKU MOJA. (Tena masaa machache tu)

Bila hata kutumia nguvu nyingi.

UNAPATA MILIONI MBILI (Tsh 2 mil)

Utajaa au hutojaa. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

#Thread. By Deograsius Andrew ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ Image Mapema kabisa asubuhi ya ijumaa moja mwaka 2021. Nimelala Hostel pale Campus mlimani (block extension room 220). Ilikua mishale ya saa mbili kasoro simu yangu iliashiria kupokea ujumbe mfupi wa maandishi (SMS). Nilijawa uvivu kidogo kuifuata simu kwani ilikua mbali.
Jun 16, 2023 โ€ข 25 tweets โ€ข 5 min read
TANZANIA NA CASHLESS ECONOMY (matumizi ya fedha za kidigitali) ITAWEZEKANA KWELI.?

Na JE.? Itakuwa na faida au hasara.

UZI.

๐Ÿ‘‰๐ŸฟLike huku unashuka nayo.
๐Ÿ‘‰๐Ÿฟnipe maoni yako.
๐Ÿ‘‰๐ŸฟRETWEET tuone wengine wana maoni gani.? ImageImage Kama una kawaida ya kuweka fedha zako kwenye kibubu, Sjui umejichimbia mahali fulani polini huko, pengine umeziweka chumba cha siri nyumbani basi ipo siku itakula kwako.

Mapinduzi ya kiuchumi hasa kwenye matumizi ya fedha kuhamia kidigitali yameshika kasi sana siku za kileo
Jun 15, 2023 โ€ข 12 tweets โ€ข 2 min read
KUELEKEA BAJETI KUU

TUFAHAMU BASI HALI YA UCHUMI NCHINI.

(Uchambuzi mfupi)

Na Deograsius Andrew

#Thread. Kama ilivyo kawaida miaka yote waziri wa fedha kabla hajasoma makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha inampasa kuainisha hali ya taifa ya kiuchumi. Na asubuhi ya leo amekwisha ainisha. Hivyo tupate uchambuzi kidogo kwenye baadhi ya dondoo muhimu.!.
Jun 12, 2023 โ€ข 18 tweets โ€ข 4 min read
JE.? UNAJUA KUWA.!

"OFISI YA MKAGUZI MKUU (CAG) IMEONGEZEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA WIZARA YA FEDHA MWAKA HUU."

Nani atasimama wa kwanza kupiga makofi.?

Na Deograsius Andrew.

#Thread Image Sitaki kunyanyuka nipige makofi peke yangu. Nimeamua kuwashirikisha wenzangu, Angalau ninyi mtaninyeshea pakavu pangu. Na hili litakaa sawia sawilia.

Tafadhari naomba urejee viambatanisho hapa chini ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟviliyotolewa na Wizara ya fedha na mipango.

Kimoja cha mwaka 22 kingine 23 ImageImage
Jun 10, 2023 โ€ข 5 tweets โ€ข 2 min read
TUPEANE ELIMU KIDOGO.

Moja ya matatizo makubwa ya serikali kuendesha sekta fulani ni kutokuwepo kwa ufanisi. So mi lilitegemea na naunga mkono alichokizungumza jamaa.

Wakati Raisi analeta uhuru wa vyombo vya habari tulimpongeza. Kwa sababu lilikua ni suala la kujenga taifa bora ImageImage Sasa sahizi kwenye masuala haya ya sasa. Tunapoanza kuleta uzanzibari nk. Kidogo inafikirisha.

Kama ambavyo ipo mahala popote pale. Ili bandari yetu iwe na ufanisi na hata zile kero za wafanyabiashara zipungue basi njia pekee ni kuendeshwa na sekta binafsi na TPA wasimamie tu.
Jun 10, 2023 โ€ข 25 tweets โ€ข 6 min read
TANZANIA IMEPEWA HADHI (RATED) KUWA NCHI YENYE IDR YA B+ ILIYOKADIRIWA NA FITCH NA MOODYS

NINI HASA MAANA YAKE.?

UZI. (Elekezi)

Nimejitahidi kuandika kwa lugha yetu ya taifa ili kila mmoja wetu aelewe maana halisi ya hii taarifa.

RETWEET, RETWEET, RETWEET

#Thread. Image Mwezi Machi 2023, zilisikika tetesi kuwa timu ya wataalam huru na wachambuzi toka fitch wa masuala ya ufafanuzi kwenye uwezo wa nchi hizi wa soko la kifedha na kukopa, kukopesheka kwa nchi yetu.

Lakini Tarehe 9 june 2023 Basi taarifa rasmi ya fitch inayoipa tanzania B+ imetoka.
Jun 7, 2023 โ€ข 18 tweets โ€ข 4 min read
BAADA YA KUSIKILIZA BAJETI YA WIZARA YA FEDHA ( @mofURT ) LEO NIMEGUNDUA MAMBO MATANO MAKUBWA.

Na wengi huenda huwa tunaitupia bure mawe wizara hii.

Kivipi.?

JITAHIDI USOME UZI HUU MPAKA MWISHO. ๐Ÿ™๐Ÿฟ

#Thread. Image Kati ya wizara ambazo zinapigwa mawe nchini basi wizara ya fedha inaongoza. Kwa sababu ndio wanasimamia sera za kodi, Wanakusanya mapato, Ndio wakopaji, Ndio walipa madeni, hivyo lawama dhidi yao haziepukiki.

Lakini. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
Jun 7, 2023 โ€ข 16 tweets โ€ข 4 min read
DP WORLD NA BANDARI YA DAR.

MASWALI 9 MUHIMU YA KUJIULIZA KABLA HUJACHAGUA UPANDE.

UZI.

RETWEET, RETWEET, RETWEET
#Thread Image Kwa ufupi sana baada ya kuwepo kwamjadala na mvutano mkubwa sana kati ya wale wanaosema bandari imeuzwa na wale wanaopigia chapuo faida za serikali kuingia makubaliano na State of Dubai ili kuendesha bandari ( Intercontinental agreement ) nimefanikiwa kupitia MOU hii ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ Image
May 19, 2023 โ€ข 16 tweets โ€ข 4 min read
MAFANIKIO NI TABIA.

LEO ZIJUE TABIA 10 ZINAZOWEZA KUCHANGIA MAFANIKIO YAKO.

"waliofanikiwa wengi wanazo."

UZI (muhimu kwa wote wanaohitaji kufanikiwa kwenye mambo mbali mbali.)

#Thread.

๐Ÿ‘‡๐Ÿฟphoto by @lugha_ya_pichaa Image Ndoto ya kila mtu ni kufanikiwa. lakini nikuambie tu kuwa ni vigumu kufanikiwa kama huna tabia hizi nitakazo zieleza leo.

Watu wengi sana wamefanikiwa kwa sababu wana tabia hizi na wanaziishi.

Karibu tuzichambue moja baada ya nyingine. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
May 16, 2023 โ€ข 26 tweets โ€ข 6 min read
MAMBO UNAYOPASWA KUJUA KUHUSU MKOA NJOMBE.(HALF LONDON)

(FAHARI YA TANZANIA)

UZI.

(Ukiusoma huu Uzi mpaka mwisho Nakuhakikishia Utahamia au utapata sababu ya kutembelea Njombe.)

#thread Image Ulipoumbwa ulimwengu, Ikaumbwa Afrika, Ikaumbwa Tanzania ikapambwa ikapambika, ndani yake Iliumbwa Njombe. Moja ya mikoa nadhifu sana kuwahi kutokea. Je unataka kujua zaidi kuhusu mkoa huu basi shuka na uzi huu mpaka mwisho. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
May 15, 2023 โ€ข 16 tweets โ€ข 4 min read
KARIAKOO KARIAKOO KARIAKOO.

(Baadhi ya vitu tusivyopenda kuvisikia kuhusu kariakoo.)

UZI mfupi. ๐Ÿ™๐Ÿฟ

Naomba usome mpaka mwisho uielewe vizuri sana hoja yangu.๐Ÿ™๐Ÿฟ

Pia retweet hoja hii iwafikie wengi. Image Malalamiko ya kodi yaliyoibuka na wafanyabiashara ni ya msingi sana katika kuboresha mfumo mzima wa kodi na urahisi wake kati ya walipaji na wakusanyaji @TRATanzania. Sasa wakati serikali imesema wazi kuwa watalimaliza kwa mazungumzo siku ya jumatano natumai litaisha

ILA ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ
May 13, 2023 โ€ข 14 tweets โ€ข 4 min read
UNATAKA KUWA TAJILI.?

"BASI KAPANDE MITI YA MITIKI. NDANI YA MIAKA 10 WEWE NI MILIONEA WA KUTUPWA."

Kivipi.?

Shuka na Uzi huu na Uretweet uwafikie wengine.!

๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ #Thread. Image Kwanza kama umewahi pita maeneo ya morogoro njia hii inayokwenda Ifakara au kule Ulanga ama Wale waliowahi kufika Ruvuma, maeneo ya Mbinga nk sio wageni na miti hii.

Unaambiwa ni miti yenye thamani mno. Na mbao zake ni ngumu mno. Na hutumika kutengenezea bodi za magari makubwa.
May 9, 2023 โ€ข 17 tweets โ€ข 4 min read
SIRI KUBWA 5 AMBAZO BENKI HAWAWEZI KUKWAAMBIA UKIENDA KUOMBA MKOPO NA JINSI YA KUZIEPUKA.

UZI.

Usijidanganye kama mkopo ni msaada kama huyajui haya. Utajikuta unalipa hela kubwa zaidi na ile uliyopaswa kulipa.

Fanya kuretweet tuelimishe wengi leo. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ Image Benki wahuni sana. Aliwahi sema @Makubi_Pol mtaalam sana wa masuaa haya. Leo ngoja na mimi nikupe ujuzi wangu kidogo kwenye hili.

Kuna mambo ambayo hawawezi kukwambia na huwa yanakuwepo kwenye nakala zao ila hawatokuambia na huwezi jua bila kuwa makini. Ila leo tutafahamishana.
May 8, 2023 โ€ข 14 tweets โ€ข 5 min read
TOP 10 OLDEST CONSTITUTIONS IN THE WORLD.

Thread. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ

RETWEET Image 10. CONSTITUTION OF CANADA.

๐Ÿ“… Retified date: July 1, 1867
๐Ÿ—’ Last amended: 1982
๐Ÿ“ Author(s): Canadian Confederatiom
๐Ÿ’ผ Government type: Federal Parliamentary Constitutional Monarchy. Image
May 8, 2023 โ€ข 15 tweets โ€ข 5 min read
#Leo_katika_Takwimu.

NCHI 10 DUNIANI ZENYE MAMILIONEA WENGI DUNIANI. (Kwa ulinganisho wa dola za kimarekani)

Uzi

Nambari 1 itakushangaza.

RETWEET. ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ Image Kuna zaidi ya milionea 56.1 duniani. Na kwenye hii orodha inahusisha nchi kumi za juu zenye milionea wengi duniani. Nikiwa namaanisha wale watu binafsi wenye utajili wa zaidi ya dola milioni moja. (Tsh Bil 2.3)

Follow @Deodravis shuka nayo ๐Ÿ‘‡๐Ÿฟ