Gillsant v7.5 Profile picture
I help people start and grow business online. I teach 21st Century Digital Skills. @swahilidigital founder. Co founder @punguzoapp Fill Form ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
PestKiller Enterprises Profile picture Zanzibar Times Profile picture Mwalimu Marwa Profile picture The GodFather Profile picture Makazi General & Car Dealers. Profile picture 6 subscribed
Jan 18, 2023 โ€ข 14 tweets โ€ข 5 min read
Kwa vile bado ni January, Tujikumbushe zile shule 10 zenye ada(Fees) ghali Tanzania 2023 Update. Mtoto wako utampeleka shule ipi? #UZI ๐Ÿงต Morogoro International School (MIS)

Location: Morogoro
Curriculum: Cambridge.
Nursery: 6.4 Million Tshs Per Year
Secondary: 18 Million Tshs Per Year
Michango Mingine: Not Included
May 1, 2021 โ€ข 17 tweets โ€ข 3 min read
๐™‰๐™…๐™„๐˜ผ 9 ๐˜ฝ๐™Š๐™๐˜ผ ๐™•๐™„๐™๐˜ผ๐™†๐˜ผ๐™•๐™Š๐™†๐™๐™๐˜ผ๐™‰๐™”๐˜ผ ๐™๐˜ผ๐™‰๐™•๐™€ ๐™…๐˜ผ๐™ˆ๐˜ฝ๐™Š ๐™‰๐˜ผ ๐™๐™๐˜ผ๐™‰๐™„๐™†๐™„๐™’๐™€ ๐™†๐˜ผ๐™๐™„๐™†๐˜ผ ๐™ˆ๐˜ผ๐™„๐™Ž๐™ƒ๐˜ผ ๐™”๐˜ผ๐™†๐™Š. #๐™€๐™ก๐™ž๐™ข๐™ž๐™ ๐™–๐™’๐™ž๐™ ๐™ž๐™š๐™ฃ๐™™๐™ž - ๐™๐™๐™ง๐™š๐™–๐™™ (๐™๐™•๐™„) Kila siku tunajishughulisha ili tutimize malengo yetu. Katika maisha kuna watu ambao wanafanikiwa katika mambo yao na kuna watu ambao hawafanikiwi. Tunajishughulisha kila siku kuyatimiza malengo hayo. Malengo yanaweza yakawa ni maswala ya Elimu, Kazi, Biashara, Uongozi nk.
Sep 26, 2020 โ€ข 19 tweets โ€ข 3 min read
๐‘ฐ๐‘ณ๐‘ฐ ๐‘พ๐‘จ๐’๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ๐‘ฒ๐‘ถ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ๐‘บ๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ ๐‘ณ๐‘ฐ๐‘ญ๐‘จ๐‘ต๐‘ฐ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘พ๐‘ฌ ๐‘ฝ๐‘ฐ๐‘ป๐‘ผ ๐‘ฝ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐’๐‘ฐ๐‘ต๐‘ฎ๐‘จ๐‘ป๐‘ฐ๐‘จ: ๐‘ผ๐’๐‘ฐ ๐‘ท๐‘จ๐‘น๐‘ป 2
Vitu vingine vya kuzingatia wakati unakuja na wazo lako la biashara. Yes unaweza fungua biashara kutokana na kitu unachokijua mfano Kinyozi ukafungua saluni yako au mpishi ukafungua restaurant yako. Kumbuka kwakua wewe ni mpishi mzuri sio kwamba utafahamu jinisi ya kuendesha restaurant yako vizuri. Kuna mambo mengi ya kuzingatia
Sep 26, 2020 โ€ข 22 tweets โ€ข 4 min read
๐‘ฑ๐‘ฐ๐‘ต๐‘บ๐‘ฐ ๐’€๐‘จ ๐‘ฒ๐‘ผ๐‘ฑ๐‘จ ๐‘ต๐‘จ ๐‘พ๐‘จ๐’๐‘ถ ๐’๐‘ผ๐‘น๐‘ฐ ๐‘ณ๐‘จ ๐‘ฉ๐‘ฐ๐‘จ๐‘บ๐‘ฏ๐‘จ๐‘น๐‘จ. Ili kuweza kufanikiwa kwenye biashara unahitaji kuwa na wazo zuri la biashara. Je unajua jinsi ya kupata wazo hilo zuri la biashara? ๐‘ผ๐’๐‘ฐ, ๐‘ท๐‘จ๐‘น๐‘ป 1 Watu wengi wamekuwa wakiniomba ushauri ni wazo gani zuri la biashara ambalo linaweza kuwapatia faida na mafanikio. Ukweli ni kwamba wazo ambalo ni bora kwa mtu fulani linaweza lisiwe bora kwako.
Aug 29, 2020 โ€ข 16 tweets โ€ข 3 min read
JINSI YA KUANZISHA BIASHARA UKIWA UMEAJIRIWA: Biashara yoyote iwe mpya au ya zamani ina changamoto zake especially kwenye mazingira yetu. 50% Ya biashara zote ndogo zinakufa katika mwaka wake wa kwanza kuanzishwa. UZI #ElimikaWikiendi Mtandao wa Investopedia ulitoa sababu ya biashara ndogo kufa, 1. Mtaji Mdogo, 2. Uendeshaji Mbovu, 3. Mpangilio Mbovu wa Biashara na Bidhaa yako au huduma yako haihitajiki sokoni (Hakuna wateja wanahitaji bidhaa zako). Pamoja na sababu zingine nyingi.
Aug 8, 2020 โ€ข 24 tweets โ€ข 5 min read
NJIA (Business Models) 10 ZA KUPATA PESA ONLINE. UZI Nimeshindwa kupata kiswahili cha Business Model (Mtanisaidia) Kwa uzoefu wangu watu wengi wanapotaka kuanza kufanya biashara Online or Offline. Hua wanafikiria njia moja au Mbili. #GillMadini Kununua Bidhaa kutoka sehemu fulani au Kutengeneza hio bidhaa na kuiuza dukani or ikizidi sana mtandaoni kupitia Instagram au Facebook wachache kwenye website. Leo nimewaletea Business Models zingine 10. Ambazo unaweza kutumia kupiga hela.
Jul 23, 2020 โ€ข 42 tweets โ€ข 7 min read
BIASHARA MTANDAONI: Kuna njia nyingi za kuanza kufanya biashara mtandaoni (Facebook, Twitter, Instagram). Watu wengi hua tunakwama ni wazo gani la biashara au bidhaa gani niuze itakua na wateja. Nimekuletea UZI huu ukusaidie njia fupi ya kupata bidhaa ya uhakika kuuza #GillMadini Kuna njia 2 ambazo ntazielezea kwa ufupi. 1. Kama tayari ushafahamu ni bidhaa gani utaenda kuuza mtandaoni 2. Hufahamu bidhaa au huduma gani uchague na kuuza mtandaoni.
Jul 11, 2020 โ€ข 21 tweets โ€ข 3 min read
"Namna Sahihi ya kuanzisha na kuendeleza biashara kwa mtaji mdogo mtandaoni." Nimejaribu kila naloweza kuandika points kwa kifupi ili hii topic iweze kueleweka lakini imeshindikana. Hivyo basi.. UZI (THREAD) #ElimikaWikiendi Kutokana na uzoefu wangu biashara nyingi za mtandaoni hazifaikiwi kwa sababu zinaendeshwa kwa mazoea au kwa kubahatisha. Ukifuata mfumo wa jinsi ya kuanzisha biashara kwa usahihi huwezi kulalamika hakuna wateja au bidhaa hainunuliwi.
May 2, 2020 โ€ข 5 tweets โ€ข 4 min read
#THREAD As a business person these are scary times.. So what to do? Yes biashara zetu zimekua slow, hazikui.. Tumeogopa kuanzisha kitu kipya but kwa upande mwingine kila janga linakuja na fursa zake.. Kwa kipindi hichi tumia muda wako kujiongezea ujuzi ambao utakusaidia either kukuza au kuanzisha biashara.. Hata Corona itakapoisha utatumia ujuzi huo.