Bush Scientist 🇹🇿 Profile picture
https://t.co/T8A0vrKT7n | https://t.co/NLVk0fAiw7 | https://t.co/b3PubMt6Pw | Mol.Cell. Biology | Biotech | BioEcon | Stem Cell Biology & Reg. Sci.
Sep 3, 2020 12 tweets 5 min read
I had a similar discussion in a forum recently and this was my opinion. A thread..

As long as we started monitoring COVID in Africa from Feb 2020 then there will be lots of unexplained observations.
IMHO 1) The #SARSCoV2 most likely entered #Africa way before Feb 2020, probably October 2019. Unfortunately archiving of clinical #nasopharyngeal swabs is challenging, so we might not know for sure ...
May 10, 2020 61 tweets 23 min read
Mwanasayansi mwenye ubobezi wa kimataifa kwenye maswala ya vitendanishi na vipimo (Diagnostics), Dr. Ally Mahadhy, aliandika haya kwenye ukurasa wake wa facebook, ni vyema wadau humu wakayapata ili kuongeza uelewa @Udadisi
@MariaSTsehai @fatma_karume
#ElimikaWikiendi
Uzi 👇🏽 "Kutakucha tu!

Tukiwa tupo kwenye taharuki juu ya kipimo cha corona (covid-19) hapa nchini, baada kutoa majibu ya positive kwa mbuzi na papai, naomba nitoe maoni yangu kama mdau katika tansia hii ya vitendanishi vya maabara (diagnostics). ..." /1