Paul. A. Bomani Profile picture
Realtor ➡️Arthur ➡️Founder @MakaziGeneral I help Intreprenuers (Tanzanian) to Achieve Their Dreams in Real Estate Investment & Car Dealerships
Makazi General & Car Dealers. Profile picture 2 subscribed
Aug 26, 2023 10 tweets 2 min read
A Dead girl walking Thread 🧵

Kwa muonekano ni pisi kali ya kwenda.
Ila ukiongea nae dakika 2 Tu, unagundua upstairs ni empty 🫗

Nikajiuliza ,huyu chuo alikuwaga anaenda kufanya nini?

Nikamuuliza what's your dream
Anajibu- mishe yoyote tu inayolipa

Kweli na degree yako
⬇️ Image Bado hujui dream yako ni ipi?

Slay queen 👑 mindset bila ya kuwa na shughuli yoyote ya kukuingizia kipato.

Sawa unajitafuta.

Ndio udange for the living?

Ngoja nikupe kisa hiki cha ukweli kabisa cha binti niliyepotezana nae kitambo.

Ilikuwa hivi

Katika mtaa wetu, kulikuwa
⬇️
Aug 22, 2023 11 tweets 2 min read
Mbinu hatari zaidi iliyo watajirisha wafanyabiashara wengi Duniani...

Unataka kujua mbinu hii ni ipi?

Nb- Ukiitumia kimakosa utakimbia mji, mchana kweupeee.

Ngoja kwanza.

Nifollow @Paulbomani1
Kisha repost, tuendelee

Thread 🧵
⬇️ Image Najua Utakuwa umeshawahi kuiskia mahali au kuona mtu akiitumia na ukaipuuzia.

Au pengine ulishashuhudia mtu aliyeitumia mbinu hii kimakosa,
Akafilisika na kukimbia mji kabisa

Najua unajiiliza ni mbinu gani tena hiyo Bomani?

Mbinu hii inaitwa👉 O.P.M
(Other People's Money)
⬇️ Image
Mar 31, 2023 9 tweets 3 min read
Je Una Taarifa za Soko la Mali Isiyohamishika- [ Real Estate ]
Tanzania 2023 ?...

Taarifa ya Soko Hutoa Muongozo wa Hali Halisi ya Soko na Fursa Zilizopo Sokoni Kwa Wakati Husika.

Nisikuchoshe
⬇️
⬇️ Miongoni Mwa Fursa Zilizopo Sokoni kwa Sasa Ni Pamoja na-

1. Ujenzi wa Nyumba za Makazi -

Tanzania ina Idadi Kubwa ya Watu Jumla- [61741,120]

Ni Watu Wengi Sana Wanaohitaji Makazi ya Kudumu Kila Siku

Kuna Fursa Kubwa Katika Ujenzi wa Nyumba za Makazi
Nchini Kote.
⬇️
Mar 25, 2023 9 tweets 3 min read
Je Unazijua Mbinu Bora za Kukarabati Nyumba au Jengo Lako?..

Usipokuwa Makini Lazima Utaingizwa Mjini.
⬇️ Kukarabati Nyumba au Jengo Lako ni Hatua Muhimu Katika Kuhakikisha Kuwa Linabaki Salama, Linaboreshwa na Kudumu kwa Muda Mrefu.

Hapa Kuna Mbinu za Kufanya Ukarabati Kwenye Nyumba au Jengo Lako.

1. Kufanya ukaguzi wa nyumba au jengo.

Kabla ya Kuanza Ukarabati, ni Muhimu
⬇️
Mar 24, 2023 7 tweets 3 min read
Taarifa ya Soko la Mali Isiyohamishika Jijini Mwanza Tanzania...

Tarehe - 24 March 2023

The Market Report
⬇️ Upungufu wa Mali Isiyohamishika Katika Jiji la Mwanza

Kumekuwa na Upungufu Mkubwa wa Mali Isiyohamishika Katika Jiji la Mwanza.

Hii Inatokana na Ongezeko la Mahitaji ya Mali Isiyohamishika Katika Jiji Hilo, na Ukosefu wa Mipango Mizuri ya Ujenzi wa Mali Isiyohamishika.
Kwa
⬇️
Mar 23, 2023 5 tweets 3 min read
Soko la Mali Isiyohamishika
(Real Estate) Lipoje Kwa Sasa
Dar es salaam?...

#RealEstateInvesting
#PropertyForSell
#HomeBuying
#DreamHome

The Market Report
⬇️ Kuongezeka kwa Thamani ya Mali Isiyohamishika Katika Eneo la Masaki.

Kumekuwa na Ongezeko Kubwa la Thamani ya Mali Isiyohamishika Katika Eneo la Masaki Jijini Dar es Salaam.

Eneo Hili Linajulikana kwa Kuwa na Majengo ya Kifahari, Huduma Bora za Kijamii, na Usalama Mzuri.
⬇️
Mar 23, 2023 13 tweets 4 min read
Ukitumia Mbinu Hizi Kuwekeza
Kwenye Mali Isiyohamishika
( Ardhi na Majengo)
Maarufu Kama
Real Estate Investing

Hakuna Wakukugusa...
🧵🧵 Acha Kwanza Kila Kitu

Hapa Chini Nimekuandalia Mbinu za Uwekezaji Kwenye Mali Zisizo Hamishika, yaani Real Estate:

Mbinu za Uwekezaji Kwenye Mali Zisizo Hamishika (Real Estate)
Kwa Kiingereza, ni Aina ya Uwekezaji Ambayo Inahusisha Umiliki wa Ardhi na Majengo.

Uwekezaji ⬇️
Mar 22, 2023 14 tweets 6 min read
Kama Unadhani Unazo Taarifa Muhimu na Sahihi Kabla ya Kuwekeza Kwenye Ardhi na Majengo Tanzania
( Mali Zisizo Hamishika )

Yaani Real Estate Investment

Usisome Hapa⬇️

Uzi 🧵 🧵🧵 Najua Umekuwa Ukiskia Mengi Kuhusu Uwekezaji Kwenye Ardhi na Majengo Tanzania.

Ni Ukweli Kuwa 90% ya Matajiri Duniani Wamewekeza Kwenye Ardhi na Majengo Yaani
Real Estate.

Leo Utaenda Kufahamu Taarifa Muhimu Zaidi Kuhusu Uwekezaji Kwenye Ardhi na Majengo Tanzania

Kama⬇️
Jul 9, 2022 16 tweets 3 min read
Ukifanya Makosa Haya Wakati wa Kuwekeza, Hautokaa Ukatoboa Kamwe...

Na Leo Nakupa Njia Kuu 2 za Uhakika za Kuyaepuka Makosa Haya, na Utafanikiwa Kwa %90.

Njia Hizi Zimejaribiwa na Kuthibitishwa Kabisa.
Kama Wewe ni Kijana Ndio Umeanza Maisha Hii Inakuhusu
Kwa %100... 👇🏻 Kabla Hatujaanza Kuchimba Madini.
Naomba Ujiulize Maswali Haya na Uandike Majibu Yake Kwenye Karatasi.

1: Je ni Kwa Nini Masikini ( Wasiokuwa na Msingi Imara wa Uchumi ) Wanatumia Nguvu Kubwa na Pesa Kuiaminisha Jamii na Marafiki, Kuwa Wako Vizuri Kiuchumi? 👇🏻
Jul 6, 2022 12 tweets 2 min read
True Story...

Jinsi Bro Omy Alivyotumia Phycology Kufanikisha Ndoa Yake ya Gharama Kubwa Bila ya Kuwa na Pesa...

Mwamba ni Bingwa wa Manipulation... 👇🏻👇🏿 Nilifahamiana na Omary Miaka 9 Iliyopita Jijini Arusha.
Maeneo ya Maghofa ya Technical.

Nilikuwa na Rafiki Yangu Anaishi Pale Alinitambulisha Kwa Omary.

Alikuwa ni Bro wa Heshima Sana.
Usafiri Mzuri, Dress code za Kishua
na Maunyunyu Kama Yote.

Bro Alikuwa Mchangamfu Sana👇🏻
Jun 19, 2022 14 tweets 3 min read
Affiliate Marketing Part II...
👇🏿 Kama Ulipitwa na Sehemu ya Kwaza ya Hii Thread Anza Nayo
Kisha Tuendelee...
👇🏿threadreaderapp.com/thread/1535918…
Jun 16, 2022 4 tweets 2 min read
Ukiona Unaambiwa UDeposit Mkwanja Halafu Usuburie Commission Kimbia Mpaka Usahau ni Nani Alikuwa Anakukimbiza...

Hiyo ni Networking Marketing
Ambayo Kwa Bongo %80 Kama
Sio 90 ni Scam.

Usidanganywe Kuwa ni Affiliate Marketing.
Never, Hakuna Affiliate Marketing
Inayo 👇 Mtaka Affiliate Marketer
Kutoa Pesa Kwanza.

Ma Affiliate Marketers Wote Hulipwa Baadae ya Huduma/Bidhaa Husika Kuuzwa.

Makampuni Kama eBay na Amazon
Zinawalipa Affiliate Marketers Wao Commission Kila Mwisho wa Mwezi.

Na Kuna Kampuni Kama AirBNB
Ina Options ni Ama Ulipwe 👇
Jun 12, 2022 17 tweets 4 min read
Affiliate Marketing ni Nini?...
na Inafanyaje Kazi?....

Madini Time 👇🏿 Miongoni Mwa Skills Ambazo Zinaongelewa Sana Siku Hizi ni Pamoja na Affiliate Marketing.

Je Affiliate Marketing ni Nini?

Affiliate Marketing ni Ujuzi (Skills)
Unao Kuwezesha Kuandaa Mfumo au Jukwaa La Kutangazia na Kushawishi Wateja Kununua Huduma au Bidhaa.

Ambapo Kila 👇🏿
Jun 6, 2022 11 tweets 2 min read
📢 High Income Skills ni Tools za Kukuunganisha Wewe, Kampuni Yako na Wateja....

Kabla Hujauza Chochote, Jiuze Kwanza Wewe...
HOW?
Kaa Kitaalamu 👇🏿 Kila Siku Nakutana na Maswali
Haya.
- Nianzishe Biashara Gani?
- Natumiaje Social Media Kuongeza
Wateja?
- Nina Apply Vipi High Income Skills Kwenye Biashara Yangu?
-Nyie Mnaongeleaga Online Business Tu, Je Sisi Tunaouza Bidhaa Nje ya Mtandao?

Ni Maswali Mazuri Sana.
Majibu 👇🏿
Jun 5, 2022 7 tweets 2 min read
Jinsi Affiliate Marketing ilivyosababisha, Ben Caballero
Akavunja Rekodi 3 za Mauzo ya Nyumba Duniani....
Guinness World Records.

Madini Time👇🏿 Kwanza Kabisa Ben Caballero ni Nani?

Huyu Mwamba ni
Founder na C. E. O. wa Kampuni
Kubwa Sana ya Real Estate
Inayoitwa- HomesUSA. com

Jamaa Alianza Kujihusisha na Projects za Mijengo na Uuzaji Miaka
ya 1980s.

Record ya Kwanza Aliiweka Mwaka
2016, Pale 👇🏿
Dec 28, 2021 23 tweets 6 min read
Kweli Wewe Ni Wakuniacha Kwenye Chumba Cha Hotel Peke Yangu!! na Nimekuja Mwanza Kwa Ajili Yako Paul??
Ilisomeka Sms Ya Catherine Kwenye Simu Yangu Saa 8 Usiku wa Xmass ya Juzi. Unajua Ilikuwaje? 👇 Nisikuchoshe, Catherine Ni Msichana Mrembo Haswaaa
Niliyekutana Nae Miezi 6 Iliyopita Jijini Arusha. Nikiwa Kwenye Biashara Zangu Za Uwekezaji Wa Ardhi Na Majengo. Kwa Wenyeji wa Chuga Najua Mnaifahamu Vizuri
Mount Meru Hotel. Nakumbuka Ilikuwa Siku ya Jmos Yenye Baridi Kali👇 Image
Nov 12, 2021 8 tweets 2 min read
Jinsi Swali La Binti Yangu Lilivyobadili Mtazamo Wa Maisha Yangu.

Nakumbuka Ilikuwa Ni Jmosi Moja Yenye Bariadi Kali Sana Katika Maduka Yanayopatikana Ndani Ya Viunga Vya ShopRite Jijini Arusha. Ilikuwa Majira Ya Saa 5 Asubuhi
Mzee Mzima Nimempeleka Binti Yangu Vaileth Shopping Ya Nguvu. Ukizingatia Nilikuwa Na Mshahara Na Mwezi Huo Kulikuwa Na Bonus Ya 10,000 Without Accident. Waliofanya Kazi Mining Wananielewa.
Sasa Baada Ya Kumaliza Pilika Zote Za Shopping Na Mifuko Yetu Kibao
Nikaona Sio Mbaya Tukipita Ken Garden Tukapige Msosi Kisha Turejee Home
Nov 20, 2020 8 tweets 3 min read
Kuna elimu,maarifa na kuna ujuzi. Hivi vyote ni nyenzo muhimu sn Ktk kuzifikia ndoto zako. Je umewahi kujiuliza kuhusu nguvu ya connections ? Shuka na uzi 👇 Najua unajiuliza connection inaweza kuwa na nguvu kiasi gani Ktk kubadilisha maisha yako. Umewahi kuskia wakulungwa km @chapo255 wakimzungumzia mwamba waliemaliza nae A level . Utaskia unamkumbuka @NyandaAmosi siku hizi yuko NBC ni branch manager tawi la rumumba.
Oct 15, 2020 7 tweets 2 min read
Je unafahamu jinsi ya kujinasua na madeni sugu?. Watu wengi wamejikuta wako kwenye lindi la madeni ya kawaida au yaliyopindukia. Fahamu njia kuu za kujinasua,shuka nayo👇 Kwanza kabisa ni kufanya uchambuzi wa madeni yako. Hapa namaanisha uandike idadi ya wadeni wako na viwango wanavyokudai kila mmoja. Baada ya uchambuzi,panga mtiririko wako kwa namba.
Deni kubwa lipe namba moja,mbili,tatu nk.