Hacking ni kitendo cha Kufatuta Madhaifu katika system.
Hacker - Mtu anaetafuta Madhaifu kwenye System
Aina za Hackers
White Hat : Hackers wanaotafuta madhaifu kwenye system na Kutoa report kwa System administrators ili Madhaifu yaweze kukarabatiwa
BlackHat - Aina ya Hackers Ambao wanatafuta madhaifu kwenye System na kuyatumia kwa Maslahi yao Binafsi
GreyHat- Aina ya Hackers ambao huwa na sifa za BlackHat na WhiteHat hackers
Note: hacking sio illegal, ila Kuhack bila ridhaa ya individual ni illegal