7. Kubaliana na mitazamo tofauti kumbuka 6 kwako inaweza kuwa 9 kwa aliyekaa upande mwingine. Mawazo ya ziada ni mbadala mzuri.
10. Sema Asante mtu anapokusaidia jambo lolote.
11.Msifie Mtu hadharani, mpinge faraghani
Mpe mtu heshima yake mbele za watu na umseme baadae
14. Mtu anapokuambia anakwenda hospitali usianze kumuuliza " una tatizo gani?" Haikuhusu akitaka atakuambia mwenyewe
16. Ongea na mtu huku unamtazama machoni sio kuwa bize na simu yako au kutazama pembeni.
17. Usitoe ushauri wowote kama hujaombwa kufanya hivyo.