“Naitwa Franco, unakumbuka tulikutana kwenye interview!”
nikajibu kwa sauti ya kiume
“Ohh nimekumbuka! Franco jina lako zuri sana! Vip interview imeendaje!?” Irene akanijibu kwa madaha
@mpambazi_
“Hahaa! Hapana bwana we ndio itakuwa umefanya vizuri zaidi yangu! Actually mimi nimeenda tu kujifunza interview ikoje ila nikipata sawa na nisipopata pia hakuna shida kabisa” akajiibu Irene
“ Asante Irene! Nisiposema ukweli nitaonekana sifai! Irene tunaenda hospital ila mimi sina pesa kabisa” ili bidi niseme tu ukweli! Mficha uchi hazai na mficha maradhi kifo humuumbua! Sikutaka kuumbuka
Jibu lake likawa rahisi “we twende tutajua mbele ya Safari” Hatua zetu zikatufikisha sehemu ambapo taksi zilipark! Akaongea na dereva! Tukaingia na safari ikaanza kwa kukatiza mitaa kadhaa. Safari yetu ikaishia kwenye hospital nzuri na maridhawa kabis
Hatukukaa sana tukaruhusiwa! Sikujua hata bei ilikuwa shingapi! Yote aliyafanya yeye Irene! Hakika nilikuwa
Lakini kwanini nilimfanya mpka akajiua licha huu wema wote! Najuta kweli wakati nikiandika hapa! Nina dhambi kubwa mno, moyo wangu una huzuni kuu, sisitahili msamaha
Tulitoka hospital na jua lilikuwa likizma! Irene alinisihi niende home nipumzike
Alinijali ndani ya muda mfupi niliokutana nae! Japo hatukuwa marafiki
Kunijali kwake kukafanya nizidi kuwaza mbali! Kichwa kile cha pili kule chini ya miguu kikawa kinavimba kila nilipochat ama kuongea na Irene! Tamaa ikanikamata! Ama kweli
Zaidi nikamuomba kesho anitembelee na aka
Kokorikoooo! Ewaaa asubuhi hii hapa kumekucha! Cha kwanza kabisa ilikuwa kumtext Irene na baada ya salamu akiniambia
Ohh huyo nampata kilaini! Nikajipongeza kwa kujipiga ngumi kifuani! Ugumu wa maisha nikausahau kabisa! Tamaa ikaniteka nikawa namwaza tu Irene
Unaambiwa nilifanya usafi kila mahali, uvunguni mwa kitanda mpka juu ya dari!
Mpaka majirani walishangaa heka heka zangu! Chezea ujio wa Irene wewe!?
Masaa yaliyoyoma kweli! Saa 5 hii hapa! Nikapata breakfast na kuoga kisha nikajipendezesha kwa kuvaa vizuri sana
Ila mimi mjinga kweli! Maandalizi yote haya ya nini wakati hatujakubaliana kama kuna kamchezo!? Ona nilivyo mpuuzi! Akikataa je!? Noo! nitafanya lolote lile
“Tiiiiii tii tiiiiii” kiswaswadu changu kikaita! Kucheki mpigaji ni yeye yule Irene! Ewaa
“Helo Irene” nikasema
“Abee Franco! Unahamu nije ila mwenzio nimeshindwa kuja”
“What the F***k” nikaropoka
“Am joking,
Huyo fasta kwenda kumpokea Irene
***
Part 3
Usipange kukosa
Retweet
Comment
Folow 🔔 @IamFranco92
Tamaa mbaya sana
Usisahau kuretweet na ku nifolow @IamFranco92
@IamFranco92